Jumla ya ada ya kusoma degree ya udaktari katika chuo kikuu cha Kairuki kwa miaka yote mitano ni milioni 32, swali langu is it worth it ?

Jumla ya ada ya kusoma degree ya udaktari katika chuo kikuu cha Kairuki kwa miaka yote mitano ni milioni 32, swali langu is it worth it ?

Mtu mwenye uwezo atafanya patent hata 40, anaweza kukosa 39, akapata moja tu, na hiyo moja ikazibeba zote hizo 39.

Ukisoma historia ya Thomas Edison alivyogundua taa ya umeme hakugundua mara ya jwanza, alifanya majaribio mara nyingi sana kabla ya kufanikiwa.

Halafu hizo hela si lazima utoe wewe, wewe unakuja na the right idea tu, kuna watu wanakuwa na hela zao wanatafuta idea nzuri ya ku invest.

Ndivyo watu smart wanavyofanya dunia hii, hao matajiri wote kina Sergey wa Google kina Elon Musk ndivyo waliavyonza hivyo. Sisi hatujachangamkia fursa katika kutambua vipaji na kuvipa support, kwa njia ya investment. Watu wana hela kibao, halafu wote wanagezana kwenye biashara. Wakati tuna matatizo kibao yanahitaji ufumbuzi, tuna watu kibao wanaweza kuja na ufumbuzi hawana funding tu.

Ndiyo watu smart wanavyofanya ma billionaire wote ma venture capitalists wanaoanzisha startups za dunia huwa wanafanya hivyo.

Jamaa aliyeanzisha Uber alipewa dola milioni 100, akawa kama anazimaliza bila results, akamuendea venture capitalist aliyempa hela akifadhaika sana kwamba kapoteza hizo dola milioni 100. Akitegemea atakaripiwa. Yule venture capitalists akamwambia kuwa ni kawaida sana kwa wazo zuri la biashara kushindwa mara ya kwanza, ila kama bado anaamini ni wazo zuri, ajipange kimkakati upya tu, fedha zitakuwepo tu.

Baadaye akafanikiwa Uber ikashika chati dunia nzima.

Tatizo kwetu tuna umasikini mkubwa, umasikini si wa hela tu, bali hata wa fikra.

Na umasikini huu unakuja na a very low tolerance for initial failure. Yani tuna uoga mkubwa sana wa risk. Na hii ni moja ya sababu hatuendelei. Kwa sababu maendeleo yanataka kukubali risk, yanataka uweze kufanya patents 39 zifeli zote na uwe na uwezo wa kufanya ya 40 ambayo itakutoa.

Kwetu hatuna mentality hiyo, hatuna uthubutu huo, na si kwamba nawalaumu sana. Naelezea tu mambo yalivyo. Naelewa kwa nini mambo yako hivyo.

Ni vigumu sana kuwa na high tolerance ya initial failure katika jamii ambayo ina umasikini mkubwa na margin of error yake ni ndogo sana.

Yani huko kwetu ukikosea kidogo tu unabwengwa unatukanwa unatupwa.

Angalia hata watoto wanavyocheza ni hivyo hivyo. Mtoto akicheza kwenye matope akichafua nguo kidogo tu anatukanwa, anapigawa, anakatazwa.

Wenzetu mtoto akijichafua kwenye matope mzazi anamwambia "Oooh, Johnny, why are you so naughty?. Look, you are bringing mud into the house. Are you exploring your creative skills? What did you make today, a castle?". Mzazi anaweka nguo kwenye washing mashine maisha yanaendelea.

Sisi mtoto atachapwa hapo mpaka akome, na hatujui pengine mtoto alikuwa anajifunza na kujenga interest ya kuwa architect udongoni, na tunapomchapa ndiyo tunamuondolea interest yake hiyo.

Na hata huko kwenye patents ni hivyo hivyo, one mistake, you are out.

Sasa uvumbuzi hautaki hiyo approach.

Ndiyo maana kila siku tunalalamika, kwa nini Waafrika hawavumbui kitu?
Heshima kwako umetisha hili ni bonge la pointi ,umemaliza kila kitu
 
Mtu mwenye uwezo atafanya patent hata 40, anaweza kukosa 39, akapata moja tu, na hiyo moja ikazibeba zote hizo 39.

Ukisoma historia ya Thomas Edison alivyogundua taa ya umeme hakugundua mara ya jwanza, alifanya majaribio mara nyingi sana kabla ya kufanikiwa.

Halafu hizo hela si lazima utoe wewe, wewe unakuja na the right idea tu, kuna watu wanakuwa na hela zao wanatafuta idea nzuri ya ku invest.

Ndivyo watu smart wanavyofanya dunia hii, hao matajiri wote kina Sergey wa Google kina Elon Musk ndivyo waliavyonza hivyo. Sisi hatujachangamkia fursa katika kutambua vipaji na kuvipa support, kwa njia ya investment. Watu wana hela kibao, halafu wote wanagezana kwenye biashara. Wakati tuna matatizo kibao yanahitaji ufumbuzi, tuna watu kibao wanaweza kuja na ufumbuzi hawana funding tu.

Ndiyo watu smart wanavyofanya ma billionaire wote ma venture capitalists wanaoanzisha startups za dunia huwa wanafanya hivyo.

Jamaa aliyeanzisha Uber alipewa dola milioni 100, akawa kama anazimaliza bila results, akamuendea venture capitalist aliyempa hela akifadhaika sana kwamba kapoteza hizo dola milioni 100. Akitegemea atakaripiwa. Yule venture capitalists akamwambia kuwa ni kawaida sana kwa wazo zuri la biashara kushindwa mara ya kwanza, ila kama bado anaamini ni wazo zuri, ajipange kimkakati upya tu, fedha zitakuwepo tu.

Baadaye akafanikiwa Uber ikashika chati dunia nzima.

Tatizo kwetu tuna umasikini mkubwa, umasikini si wa hela tu, bali hata wa fikra.

Na umasikini huu unakuja na a very low tolerance for initial failure. Yani tuna uoga mkubwa sana wa risk. Na hii ni moja ya sababu hatuendelei. Kwa sababu maendeleo yanataka kukubali risk, yanataka uweze kufanya patents 39 zifeli zote na uwe na uwezo wa kufanya ya 40 ambayo itakutoa.

Kwetu hatuna mentality hiyo, hatuna uthubutu huo, na si kwamba nawalaumu sana. Naelezea tu mambo yalivyo. Naelewa kwa nini mambo yako hivyo.

Ni vigumu sana kuwa na high tolerance ya initial failure katika jamii ambayo ina umasikini mkubwa na margin of error yake ni ndogo sana.

Yani huko kwetu ukikosea kidogo tu unabwengwa unatukanwa unatupwa.

Angalia hata watoto wanavyocheza ni hivyo hivyo. Mtoto akicheza kwenye matope akichafua nguo kidogo tu anatukanwa, anapigawa, anakatazwa.

Wenzetu mtoto akijichafua kwenye matope mzazi anamwambia "Oooh, Johnny, why are you so naughty?. Look, you are bringing mud into the house. Are you exploring your creative skills? What did you make today, a castle?". Mzazi anaweka nguo kwenye washing mashine maisha yanaendelea.

Sisi mtoto atachapwa hapo mpaka akome, na hatujui pengine mtoto alikuwa anajifunza na kujenga interest ya kuwa architect udongoni, na tunapomchapa ndiyo tunamuondolea interest yake hiyo.

Na hata huko kwenye patents ni hivyo hivyo, one mistake, you are out.

Sasa uvumbuzi hautaki hiyo approach.

Ndiyo maana kila siku tunalalamika, kwa nini Waafrika hawavumbui kitu?
Madini haya ila ndo tupo hivyo aisee
 
Akili za ki-peasant sana.
We boya hutamani kuwa na maisha mazuri!? kwann unaamka asubuhi na mapema na kuanza kuisaka chapaaa? Chapaaa ndio Kila kitu, Haba bible imesema Chapaaa huleta majibu ya mambo yote bhana.
 
We boya hutamani kuwa na maisha mazuri!? kwann unaamka asubuhi na mapema na kuanza kuisaka chapaaa? Chapaaa ndio Kila kitu, Haba bible imesema Chapaaa huleta majibu ya mambo yote bhana.
Mkuu,

Tufanye thought experiment moja.

Vipi ikiwa madaktari (na manesi for that matter) wote duniani wakiona udaktari hautengenezi chapaa sana, wakaenda kuwa wafanyabiashara, dunia ikakosa madaktari, watu wenye chapaa na wasio na chapaa wakawa wanakufa kwa mafungu mafungu kwa sababu hakuna daktari wa kuwasaidia.

Hayo maisha yatakuwa mazuri kwa sababu watu watakuwa na chapaa zaidi huku wakifa kwa mafungu na life expectancy ikidondoka sana kwa sababu hakuna madaktari wala nesi kuwahudumia?
 
Haya braza, Mimi siwezagi kubishana na wajuaji, nimemaliza chuo 2020, ni kweli ada Sasa hv zimepanda ila siyo mil 6 na kuendelea kama unavyosema,
Nimeona 5.8 M ni nyingi sio kidogo sasa swali langu wewe umesema ulikuwa unalipa 3.6 mbona ongezeko limekuwa kubwa sana kwa kipindi kifupi. Uljichanganya nadhani bora ungesena hata 4.6 M .CUHAS nadhani itakuwa 6+ M
 
Back
Top Bottom