Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Shughuli za uhakiki wa wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) zimefanyika na kufikia muwafaka wa kupata idadi kamili
Ambapo Idadi ya wajumbe wanaoenda kupiga kura mpaka kufikia hatua ya sasa waliokamilisha uhakiki
118 - Kaskazini
91 kati
69 pwani
Viktoria 81
Pemba 65
Serengeti 92
Unguja 74
Kusini 92
Nyasa 112
Magharibi 94
Mabaraza 91
Kamayi Kuu 17
Jumla ya Wajumbe: 996
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Ambapo Idadi ya wajumbe wanaoenda kupiga kura mpaka kufikia hatua ya sasa waliokamilisha uhakiki
118 - Kaskazini
91 kati
69 pwani
Viktoria 81
Pemba 65
Serengeti 92
Unguja 74
Kusini 92
Nyasa 112
Magharibi 94
Mabaraza 91
Kamayi Kuu 17
Jumla ya Wajumbe: 996
Soma Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?