Jumuiya kama za Kikatoliki zinapaswa kuigwa na jamii zote na taifa kiujumla

Jumuiya kama za Kikatoliki zinapaswa kuigwa na jamii zote na taifa kiujumla

Jumuiya mkikutana muwe mnafanya maombi ya umaskini uondoke Mungu kila mwanajumuiya ampe pesa hata akipata shida asiwe tegemezi kwa wanajumuiya

Sasa kama ingekuwa wanajumuiya wote watoto wenu wamepata ajali wa utoto mtakatifu wanaenda sherehe yao na wakajeruhiwa wote nani angemchangia nani?
😂😂Inaonekana una makasiriko sana na Wakatoliki ...Kanisa/dhehebu lolote halikupeleki mbinguni kitakachokupeleka mbinguni ni uhusiano wako binafsi na Mungu.
Kanisa ni mfano wa kamba unapopanda mlima mrefu ile tu kupewa kamba upande haikusaidii kitakachokufikisha juu kileleni ni nguvu zako na stamina .

Nijuavyo apa bongo Wakatoliki ndio walianzisha mambo ya Jumuiya ...mwanzoni madhehebu mengine walikua wanawakejeli ila sasa cha ajabu karibu madhehebu yote wameiga mfano Anglican,KKKT,TAG n.k
 
😂😂Inaonekana una makasiriko sana na Wakatoliki ...Kanisa/dhehebu lolote halikupeleki mbinguni kitakachokupeleka mbinguni ni uhusiano wako binafsi na Mungu.
Kanisa ni mfano wa kamba unapopanda mlima mrefu ile tu kupewa kamba upande haikusaidii kitakachokufikisha juu kileleni ni nguvu zako na stamina .

Nijuavyo apa bongo Wakatoliki ndio walianzisha mambo ya Jumuiya ...mwanzoni madhehebu mengine walikua wanawakejeli ila sasa cha ajabu karibu madhehebu yote wameiga mfano Anglican,KKKT,TAG n.k
Soma Biblia kitabu cha Matendo ya mitume walianza kukutana jumuiya miaka hiyo majumbani kabla kanisa katoliki hata halijakuwepo wala mtu kuwaza liwepo

Hata Roho mtakatifu walijazwa nyumbani sio kanisani hiyo sherehe mnaita siku ya pentecoste hawakujazwa kanisani Vatican walijazazwa ibada za jumuiya nyumbani

Usisikilize utapeli wa mapadre na elimu ya kitapeli ya seminary wamesoma soma Biblia kitabu cha Matendo ya Mitume kitakusaidia uelewa kuelewa ibada ya jumuiya nini hasa?

Sikukuu ya pentecoste mwanzo wake ibada za jumuiya sio kanisani wala kanisa la Roma Vatican kwa tapeli mkubwav anajiita mama kanisa

Vatican kuna matapeli wa dunia baba wa utapeli
 
Soma Biblia wewe hayo ya sala ya nyumba kwa nyumba za jumuiya yalianza kipindi cha mitume uwe unasoma Biblia sio tu kushindia misale ya waaumini na kusikiliza padre tu au unacholishwa matango pori seminary

Tatizo wakatoliki hamsomi Biblia ndio masna huwa mnaamini kanisa la Kikristo lilianzia Roma Italia mnasahau kuwa Kristo mwanzillishi wa Ukristo alizaliwa Israel sio Roma Italia mnalishwa ujinga

Ukiristo ulianzishwa uyahudi na Kristo mwenyewe anayeitwa Kristo sio Petro au yeyote


Ukristo ulianza uyahudi na Kristo ndio maana tunaitwa wakristo wafuasi qa Kristo myahudi wa uyahudi sio wa Petro wafuasi wa Petro papa wa kwanza wa wa Roman Catholic wabaojitia kanisa la kwanza lilianzia Roma kwa Petro

Sisi hatuhiji Roma na hatuna mpango tunatambua kanisa la kwanza lilianzishwa Uyahudi na Kristo mwenyewe alipozaiwa,kuhubiri kuteswa ,kufa na kufufuka

Hilo kanisa lenu mnaita la kwanza aliloanzisha Petro bakini nalo wenyewe na utapeli wenu

Kanisa la kwanza mwanzilshi Kristo hakuna cha Petro ,wakoritntho wala nani

Ni Yesu Kristo tu
Tupo pamoja:

Who is the author of the church?

Aswers:

1. Jesus Christ is described as the founder and cornerstone of the Church.

Matthew 16:18: "And I tell you, you are Peter, and on this rock, I will build my church, and the gates of hell shall not prevail against it."

Ephesians 2:20: "Built on the foundation of the apostles and prophets, Christ Jesus himself being the cornerstone."

Colossians 1:18: "And he is the head of the body, the church. He is the beginning, the firstborn from the dead, that in everything he might be preeminent."

2. The Holy Spirit is credited with establishing the Church on the Day of Pentecost.

Acts 2: This chapter describes the Holy Spirit descending upon the disciples, empowering them to preach the Gospel, and leading to about 3,000 people being baptized and added to the Church. This event, Pentecost, is often seen as the birthday of the Church.

Key Points:

Authorship: The Church is divinely initiated by God (Father, Son, and Holy Spirit), with Jesus as the foundation and the Holy Spirit as the empowering presence.

First Church: The "first church" can be understood in two ways:

The universal Church: This refers to all believers throughout history, both past, present, and future, who are united in Christ.

The first local gathering: The events of Acts 2, where believers were added to the Lord, forming a community in Jerusalem, mark a significant moment in the establishment of the visible Church:

41 Nao waliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku ile wakaongezeka watu wapata elfu tatu.
42 Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali.
43 Kila mtu akaingiwa na hofu; ajabu nyingi na ishara zikafanywa na mitume.
44 Na wote walioamini walikuwa mahali pamoja, na kuwa na vitu vyote shirika,
45 wakiuza mali zao, na vitu vyao walivyokuwa navyo, na kuwagawia watu wote kama kila mtu alivyokuwa na haja.
46 Na siku zote kwa moyo mmoja walidumu ndani ya hekalu, wakimega mkate nyumba kwa nyumba, na kushiriki chakula chao kwa furaha na kwa moyo mweupe,
47 wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.

Summing up: While the Bible doesn't use the term "author" in this context, it attributes the origin and foundation of the Church to the work of God the Father, Son, and Holy Spirit. Jesus is the cornerstone, the Holy Spirit is the empowering presence, and the events of Pentecost mark a pivotal moment in the establishment of the visible Church.

tf
 
Mwanangu alipata accident ya kuungua na moto jumuiya wamenichangia zaidi ya Tsh 400,000/= lakini ukikutana na watu dizain ya kaa chini na Shotocan utaona namna tupo na wagonjwa wengi wa akili ya imani Tanzania.
Yaani kwenye msiba unapata faraja sana....
Watu wa JF wengi waropokaji hawajui chochote
 
Tupo pamoja:

Who is the author of the church?

Aswers:

1. Jesus Christ is described as the founder and cornerstone of the Church.

Matthew 16:18: "And I tell you, you are Peter, and on this rock, I will build my church, and the gates of hell shall not prevail against it."

Ephesians 2:20: "Built on the foundation of the apostles and prophets, Christ Jesus himself being the cornerstone."

Colossians 1:18: "And he is the head of the body, the church. He is the beginning, the firstborn from the dead, that in everything he might be preeminent."

2. The Holy Spirit is credited with establishing the Church on the Day of Pentecost.

Acts 2: This chapter describes the Holy Spirit descending upon the disciples, empowering them to preach the Gospel, and leading to about 3,000 people being baptized and added to the Church. This event, Pentecost, is often seen as the birthday of the Church.

Key Points:

Authorship: The Church is divinely initiated by God (Father, Son, and Holy Spirit), with Jesus as the foundation and the Holy Spirit as the empowering presence.

First Church: The "first church" can be understood in two ways:

The universal Church: This refers to all believers throughout history, both past, present, and future, who are united in Christ.

The first local gathering: The events of Acts 2, where believers were added to the Lord, forming a community in Jerusalem, mark a significant moment in the establishment of the visible Church:

41 Nao waliolipokea neno lake wakabatizwa; na siku ile wakaongezeka watu wapata elfu tatu.
42 Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali.
43 Kila mtu akaingiwa na hofu; ajabu nyingi na ishara zikafanywa na mitume.
44 Na wote walioamini walikuwa mahali pamoja, na kuwa na vitu vyote shirika,
45 wakiuza mali zao, na vitu vyao walivyokuwa navyo, na kuwagawia watu wote kama kila mtu alivyokuwa na haja.
46 Na siku zote kwa moyo mmoja walidumu ndani ya hekalu, wakimega mkate nyumba kwa nyumba, na kushiriki chakula chao kwa furaha na kwa moyo mweupe,
47 wakimsifu Mungu, na kuwapendeza watu wote. Bwana akalizidisha kanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.

Summing up: While the Bible doesn't use the term "author" in this context, it attributes the origin and foundation of the Church to the work of God the Father, Son, and Holy Spirit. Jesus is the cornerstone, the Holy Spirit is the empowering presence, and the events of Pentecost mark a pivotal moment in the establishment of the visible Church.
Thanks so much for clarification
You are right hundred percent

God bless you so much You and your family for defending the truth
 
Thanks so much for clarification
You are right hundred percent

God bless you so much You and your family for defending the truth

Yesu ameanzisha Kanisa kwa gharama ya mauti yake. The church belongs to the Lord Jesus Christ. Kanisa linaitwa Bibi harusi wa Bwana Yesu. Kanisa ni mali ya Kristo.

Injili yoyote ambayo haitambui au kueleza waziwazi kuwa Yesu Kristo aliteswa, akafa na siku ya tatu akafufuka kutoka wafu, na kwa gharama ya mauti yake, amelinunua Kanisa, yaani kwa damu yake amewatakasa wale wote wanaoamini ya kuwa kwa kupigwa na kufa kwake dhambi zao zimesamehewa, nao wamekuwa wakristo, yaani wafuasi wa Kristo, ambao ndio Kanisa.
 
Soma Biblia kitabu cha Matendo ya mitume walianza kukutana jumuiya miaka hiyo majumbani kabla kanisa katoliki hata halijakuwepo wala mtu kuwaza liwepo

Hata Roho mtakatifu walijazwa nyumbani sio kanisani hiyo sherehe mnaita siku ya pentecoste hawakujazwa kanisani Vatican walijazazwa ibada za jumuiya nyumbani

Usisikilize utapeli wa mapadre na elimu ya kitapeli ya seminary wamesoma soma Biblia kitabu cha Matendo ya Mitume kitakusaidia uelewa kuelewa ibada ya jumuiya nini hasa?

Sikukuu ya pentecoste mwanzo wake ibada za jumuiya sio kanisani wala kanisa la Roma Vatican kwa tapeli mkubwav anajiita mama kanisa

Vatican kuna matapeli wa dunia baba wa utapeli
Nimekwambia una makasiriko sana na Wakatoliki ndiomana unachanganya topics kibao huna hoja inayoeleweka zaidi ya negativity tu unaruka ruka marahili mara lile.
Huku mtaani kwetu zamani tulikua tunawaona wakatoliki pekeyao wanasali Jumamosi asubuhi sasa kinachonishangaza mbona madhehebu mengine mengi yameiga huu utaratibu sikuhz wakati mwanzo walikua wanawaponda wakatoliki 😂
 
Sio mkatoliki; ninawakubali hawa jamaa kwenye maeneo haya.

Elimu: wamewekeza sana kwenye shule na vyuo. huduma za elimu zinaptikana kwa watu wa dini zote.
Afya: Wana miliki shule, vituo vya afya ambavyo ni kimbilio la wengi, bila kujali kabila, dini
Uchumi: wanavitegauchumi kama benk na wanaviendesha kwa mafanikio.

Haya sasa njoo kwa sisi;
-ni mwendo wa kufukuza mapepo,
-ni mwendo wa kuagua wachawi!
-biashara kubwa ni kuuza udongo, maji, mafuta, keki
-ni makusanyiko ya watu maskini kimwili, kiakili na kiimani pia.
 
Jumuiya mkikutana muwe mnafanya maombi ya umaskini uondoke Mungu kila mwanajumuiya ampe pesa hata akipata shida asiwe tegemezi kwa wanajumuiya

Sasa kama ingekuwa wanajumuiya wote watoto wenu wamepata ajali wa utoto mtakatifu wanaenda sherehe yao na wakajeruhiwa wote nani angemchangia nani?
Hakika kwenye imani wajinga wajinga ni wengi sana na mtapigwa nyie mpaka vichwa viwakae sawa,huyo Yesu unayesema ni mwanzilishi wa Ukristo alisisitiza ”asiyefanya kazi na asile” lakini wewe hapa leo unaamini kuna siku utaombewa umaskini wako uondoke.

Ndiyo maana Kiboko Ya Wachawi natamani leo kesho arudi kuwanyoosha zaidi,aliwadanganya kuna siku atawaombea umaskini wenu uishe huku yeye akinunua V8s na Range Rover Sport sasa amerudi kwao Congo anakula jasho la wajinga,naona na mtume Musa wa Msuguli mmemjengea kijighorofa pale pembeni ya banda lake Mwamposa nae mmezawadia Hotel Tunduma.
 
Kuna wengine wanazitumia ka njia ya kufahamu ka nyumba ina totoz nakishi nakishi kupata utelezi kwa shemeji yao ama totoz waliopo

....... Alisikika mpagani akimnong'oneza mwenzie ....
Hamna kitu apo wakitoka Sali ,salam Maria kifuatacho umbea ,katoriki ilikua zamani sio sasa ,mwana jumiiya anatoa michango kama yote ,ila siku akifa ndo mizengwe inaanza.

Katoliki ni dini yangu mama nimehudum mle , ila ya sasa sio ile enzi zetu, ya sasa hamna kitu, kuanzia watishi wake wakuu.

Siku Mungu wangu akaniambia haupo sehem sahii , nikasema naam bwana wangu , nami nikaipiga chini.

Udongoni kila mtu anaenda mwenyewe , hivyo hivyo kila mtu atakula elefu wa kamba yake kadri Mungu alivyomjalia , padri ,mchungaji ,askofu n.k ni binadam tu .

Kwa sasa RC imepoteza mwelekeo bora niambie Gwajima au wachungaji wa namna iyo ,kwa mfano tu.
 
Mkuu Shotocan,

Wakatoliki tunamfuata Kristu; sisi ni Wakristu, sio Wapetro.

Sisi ni wafuasi wa Kristu. Kristu alimkabidhi uongozi Mtume Petro (Papa wetu wa kwanza). Hapa chini ni maneno ya Kristu mwenyewe:

Mathayo 16:18
Nami ninakuambia: Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, wala milango ya kuzimu haitalishinda.


Ukitueleza Kanisa lako la Ulokole tutakueleza mwanzilishi wa kanisa lako ambaye huenda aliasi Ukatoliki.

Ni Ukatoliki pekee una mizizi ya moja kwa moja kutoka kwa Kristu, kwenda kwa Petro (Papa wa kwanza)... Mpaka sasa kwa Fransisko (Papa wa 266).
Christu yupi ili hali wakatoliki wengi wenu mambo yenu hayaendani na matendo ya Christu, ? Ni jambo la kawaida kumkuta kasisi Amepiga pombe ,sasa kama yeye ndivyo vipi wafuasi wake?
 
Christu yupi ili hali wakatoliki wengi wenu mambo yenu hayaendani na matendo ya Christu, ? Ni jambo la kawaida kumkuta kasisi Amepiga pombe ,sasa kama yeye ndivyo vipi wafuasi wake?
Ukisoma Yohana 2:1-11 utakutana na habari ya muujiza wa kwanza wa Yesu wa kubadili maji kuwa divai kule Kana ya Galilaya. Divai ni pombe. Pombe hata siyo tatizo kama inanywewa kwa kiasi.
 
Christu yupi ili hali wakatoliki wengi wenu mambo yenu hayaendani na matendo ya Christu, ? Ni jambo la kawaida kumkuta kasisi Amepiga pombe ,sasa kama yeye ndivyo vipi wafuasi wake?
Wakristo mbinguni hatutahukumiwa kwa kuulizwa swali eti Mchungaji wako alikua nani au ulikua unasali kanisa gani au ulikua kwenye kikundi gani.
WOKOVU ni suala binafsi sio la taasisi
 
View attachment 3129561
Huu utaratibu wa waumini wa kanisa katoliki kukutana kila Jumamosi kwa ajili ya taratibu zao za Jumuiya nadhani linapaswa kuigwa na liwe jambo la kila Mtanzania.Jumuiya hizi hujengwa na familia kadhaa zisizopungua tano hadi kumi na tano zilizo jirani.Familia hizi hushirikiana katika mambo yote ikiwa ni pamoja na kusali pamoja,kusoma na kushirikishana katika kutafakari Neno la Mungu, kufarijiana,kulea watoto,kusaidia wenye shida,kupanga maendeleo yao,nk.

Mbali na faida za kiimani wanazopata waumini hao kwa kusali pale wanapokutana, Hilo nisingependa kulizungumzia sana, Lakini pia kuna manufaa mengine ya kijamii.

1- Ni chachu ya ushirikiano na umoja kwa wanajamii.

2- Ni sehemu ya kufarijiana na kusaidiana katika changamoto mbalimbali kama za kiafya nk.

3- Husaidia kulea vijana na watoto katika miito na maadili sahihi ili kuwa watumishi bora kwa jamii na taifa.

4- Sehemu rahisi ambayo kila mwanajamii anaweza kutoa maoni, ushauri na mapendekezo yanayohusu masuala mbalimbali.

5- Hutumika kutatua migogoro mbalimbali kama ya wanandoa kwa utaratibu sahihi.

6- Inakuza imani na maadili kwa familia (kaya); hasa baba, mama, watoto na ndugu wanaoishi pamoja wakishiriki kikamilifu.

7- Jumuiya hutoa misaada mbalimbali kwa jamii inayoizunguka.

8- Pia, jumuiya hutumika kujengana kiroho kwa kurekebishana pale mmoja anapoyumba kimaadili.

Kwa hayo machache, nadhani kukutana mara kwa mara, hususan kwa majirani au wanajamii kwa ujumla, Kuzungumza mambo kadhaa, mfano changamoto kadhaa zilizopo katika jamii, kutambulisha wageni, kujuliana hali, kusaidiana katika changamoto na shida mbalimbali kama maradhi, magonjwa nk. ni jambo jema, Ikishindikana kukutana mara moja kwa wiki, basi angalau kila mwezi au kila baada ya muda fulani kwa utaratibu maalum ambao jamii itajiwekea.
Ni utaratibu wa kuendelea kuwajengea fensi ya kutokuhama dhehebu. Ndio maana kutoka huwa inakuwa ngumu sana. Ni Kwa sababu ya minyororo kama hii
 
View attachment 3129561
Huu utaratibu wa waumini wa kanisa katoliki kukutana kila Jumamosi kwa ajili ya taratibu zao za Jumuiya nadhani linapaswa kuigwa na liwe jambo la kila Mtanzania.Jumuiya hizi hujengwa na familia kadhaa zisizopungua tano hadi kumi na tano zilizo jirani.Familia hizi hushirikiana katika mambo yote ikiwa ni pamoja na kusali pamoja,kusoma na kushirikishana katika kutafakari Neno la Mungu, kufarijiana,kulea watoto,kusaidia wenye shida,kupanga maendeleo yao,nk.

Mbali na faida za kiimani wanazopata waumini hao kwa kusali pale wanapokutana, Hilo nisingependa kulizungumzia sana, Lakini pia kuna manufaa mengine ya kijamii.

1- Ni chachu ya ushirikiano na umoja kwa wanajamii.

2- Ni sehemu ya kufarijiana na kusaidiana katika changamoto mbalimbali kama za kiafya nk.

3- Husaidia kulea vijana na watoto katika miito na maadili sahihi ili kuwa watumishi bora kwa jamii na taifa.

4- Sehemu rahisi ambayo kila mwanajamii anaweza kutoa maoni, ushauri na mapendekezo yanayohusu masuala mbalimbali.

5- Hutumika kutatua migogoro mbalimbali kama ya wanandoa kwa utaratibu sahihi.

6- Inakuza imani na maadili kwa familia (kaya); hasa baba, mama, watoto na ndugu wanaoishi pamoja wakishiriki kikamilifu.

7- Jumuiya hutoa misaada mbalimbali kwa jamii inayoizunguka.

8- Pia, jumuiya hutumika kujengana kiroho kwa kurekebishana pale mmoja anapoyumba kimaadili.

Kwa hayo machache, nadhani kukutana mara kwa mara, hususan kwa majirani au wanajamii kwa ujumla, Kuzungumza mambo kadhaa, mfano changamoto kadhaa zilizopo katika jamii, kutambulisha wageni, kujuliana hali, kusaidiana katika changamoto na shida mbalimbali kama maradhi, magonjwa nk. ni jambo jema, Ikishindikana kukutana mara moja kwa wiki, basi angalau kila mwezi au kila baada ya muda fulani kwa utaratibu maalum ambao jamii itajiwekea.
Picha ya jumuiya yetu umeshare kwa idhini ya nani ?
 
Waanzillishi hiyo kitu wala sio wakatoliki ni walokole walianza miaka mingi sana kitu kinaitwa ibada za nyumba kwa nyumba miaka mingi kabla hata katoliki hawajagundua hilo

Na ilianza kipindi cha mitume walikuwa wakisali nyumba kwa nyumba na kumega mkate na baadaye ikaendelea kwenye maeneo ambayo kanisa lilikuwa halikubaliki kama nchi za kikomunisti nk ambako ukristo ulikuwa haukubaliki na unapigwa vita

Baadaye kanisa katoliki likaona linapoteza waumini wakaiga na kuanzisha ulokole wa karismatiki ili na katoliki wajisikie nao walokole wakati huku wakiendelea kusali na kuomba bikira Maria nk na hizo jumuiya zilianzishwa kudhibiti waumini wao katoliki wasihame katoliki kwa vitisho vya ohhh kama huhudhurii jumuiya huzikwi au kupewa sacramenti ya ndoa nk na pia kuwa sehemu ya majungu ya nani kaenda kwa Mwamposa nk na pia jumuiya inatumika kama sehemu ya kukusanya pesa za sadaka nje ya zile za kanisani tofauti na ibada za nyumba kwa nyumba za walokole ambao hadi kesho hukutana tu kwa lengo la kusali tu,na kutiana moyo
Babu punguza kuvuta gozo.
 
Soma Biblia kitabu cha Matendo ya mitume walianza kukutana jumuiya miaka hiyo majumbani kabla kanisa katoliki hata halijakuwepo wala mtu kuwaza liwepo

Hata Roho mtakatifu walijazwa nyumbani sio kanisani hiyo sherehe mnaita siku ya pentecoste hawakujazwa kanisani Vatican walijazazwa ibada za jumuiya nyumbani

Usisikilize utapeli wa mapadre na elimu ya kitapeli ya seminary wamesoma soma Biblia kitabu cha Matendo ya Mitume kitakusaidia uelewa kuelewa ibada ya jumuiya nini hasa?

Sikukuu ya pentecoste mwanzo wake ibada za jumuiya sio kanisani wala kanisa la Roma Vatican kwa tapeli mkubwav anajiita mama kanisa

Vatican kuna matapeli wa dunia baba wa utapeli
Wewe mbona kama unahasira sana na wakatoliki?
 
View attachment 3129561
Huu utaratibu wa waumini wa kanisa katoliki kukutana kila Jumamosi kwa ajili ya taratibu zao za Jumuiya nadhani linapaswa kuigwa na liwe jambo la kila Mtanzania.Jumuiya hizi hujengwa na familia kadhaa zisizopungua tano hadi kumi na tano zilizo jirani.Familia hizi hushirikiana katika mambo yote ikiwa ni pamoja na kusali pamoja,kusoma na kushirikishana katika kutafakari Neno la Mungu, kufarijiana,kulea watoto,kusaidia wenye shida,kupanga maendeleo yao,nk.

Mbali na faida za kiimani wanazopata waumini hao kwa kusali pale wanapokutana, Hilo nisingependa kulizungumzia sana, Lakini pia kuna manufaa mengine ya kijamii.

1- Ni chachu ya ushirikiano na umoja kwa wanajamii.

2- Ni sehemu ya kufarijiana na kusaidiana katika changamoto mbalimbali kama za kiafya nk.

3- Husaidia kulea vijana na watoto katika miito na maadili sahihi ili kuwa watumishi bora kwa jamii na taifa.

4- Sehemu rahisi ambayo kila mwanajamii anaweza kutoa maoni, ushauri na mapendekezo yanayohusu masuala mbalimbali.

5- Hutumika kutatua migogoro mbalimbali kama ya wanandoa kwa utaratibu sahihi.

6- Inakuza imani na maadili kwa familia (kaya); hasa baba, mama, watoto na ndugu wanaoishi pamoja wakishiriki kikamilifu.

7- Jumuiya hutoa misaada mbalimbali kwa jamii inayoizunguka.

8- Pia, jumuiya hutumika kujengana kiroho kwa kurekebishana pale mmoja anapoyumba kimaadili.

Kwa hayo machache, nadhani kukutana mara kwa mara, hususan kwa majirani au wanajamii kwa ujumla, Kuzungumza mambo kadhaa, mfano changamoto kadhaa zilizopo katika jamii, kutambulisha wageni, kujuliana hali, kusaidiana katika changamoto na shida mbalimbali kama maradhi, magonjwa nk. ni jambo jema, Ikishindikana kukutana mara moja kwa wiki, basi angalau kila mwezi au kila baada ya muda fulani kwa utaratibu maalum ambao jamii itajiwekea.
Naku unga mkono apo
 
Ni utaratibu wa kuendelea kuwajengea fensi ya kutokuhama dhehebu. Ndio maana kutoka huwa inakuwa ngumu sana. Ni Kwa sababu ya minyororo kama hii
Sasa inakuaje tena madhehebu mengi yameiga huo utaratibu kutoka kwa Wakatoliki manake huku mtaani sikuhz tunaona Anglican,KKKT,TAG,Walokole n.k na wenyewe wanafanya jumuiya hasa siku ya Jumamosi asubuhi.
 
Back
Top Bottom