Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Katibu Mkuu wa Jumuiya wa Watanzania Waishio Nchini China, Alawi Abdallah, ameeleza azimio la jumuiya hiyo kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu.
Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Alawi ameeleza kutoa tamko hilo kwa niaba ya wafanyabiashara wote watanzania kote Duniani kwakua zaidi ya asilimia 98 ya Biashara inayofanyika nchini Tanzania inatokea nchini China, kwahivyo Jumuiya hiyo ikisema basi wafanyabiashara wote wamesema,ikumbukwe katika mkutano mkuu CCM wajumbe wa mkutano huo walipitisha jina la Samia Suluhu kuwa mgombea pekee wa urais kwa mwaka wa uchaguzi 2025 kupitia chama hicho.
Soma Pia: Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
Alawi ameeleza kutoa tamko hilo kwa niaba ya wafanyabiashara wote watanzania kote Duniani kwakua zaidi ya asilimia 98 ya Biashara inayofanyika nchini Tanzania inatokea nchini China, kwahivyo Jumuiya hiyo ikisema basi wafanyabiashara wote wamesema,ikumbukwe katika mkutano mkuu CCM wajumbe wa mkutano huo walipitisha jina la Samia Suluhu kuwa mgombea pekee wa urais kwa mwaka wa uchaguzi 2025 kupitia chama hicho.