K Kalamu Platinum Member Joined Nov 26, 2006 Posts 12,096 Reaction score 15,393 Jul 21, 2022 #21 Yoda said: Nikiwa Zambia najisikia huru zaidi kuliko Rwanda au Uganda! Click to expand... Uh-Oh! Hiyo Rwanda, hata haijawahi kuingia akilini kwangu kujikuta nipo kule!
Yoda said: Nikiwa Zambia najisikia huru zaidi kuliko Rwanda au Uganda! Click to expand... Uh-Oh! Hiyo Rwanda, hata haijawahi kuingia akilini kwangu kujikuta nipo kule!
instanbul JF-Expert Member Joined Jun 26, 2016 Posts 12,037 Reaction score 17,212 Jul 21, 2022 #22 Kwan nini wasiweke sarafu moja..visa moja na passport moja kama walivyofanya EU
Mzee23 JF-Expert Member Joined Oct 9, 2014 Posts 1,731 Reaction score 3,628 Jul 21, 2022 #23 instanbul said: Kwan nini wasiweke sarafu moja..visa moja na passport moja kama walivyofanya EU Click to expand... Unawajua viongozi wa Afrika.. unawaskia?
instanbul said: Kwan nini wasiweke sarafu moja..visa moja na passport moja kama walivyofanya EU Click to expand... Unawajua viongozi wa Afrika.. unawaskia?
Crimea JF-Expert Member Joined Mar 25, 2014 Posts 25,874 Reaction score 36,030 Jul 21, 2022 #24 Hivi kwanini chadema mnaamini mzungu tu ndio ataewaletea maendeleo?
N Naminipo JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 812 Reaction score 1,028 Jul 21, 2022 #25 Mengine sina mchango lakini kuna wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kama kuna nia ya kweli mbona sisi raia hatufundishwi labda kuanzia shule za msingi kuujua na kuuimba? Au hilo pia linahitaji pesa mingi? Au muda bado?
Mengine sina mchango lakini kuna wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kama kuna nia ya kweli mbona sisi raia hatufundishwi labda kuanzia shule za msingi kuujua na kuuimba? Au hilo pia linahitaji pesa mingi? Au muda bado?
Bufa JF-Expert Member Joined Mar 31, 2012 Posts 12,599 Reaction score 26,263 Jul 21, 2022 #26 Sasa mizungu inaingia vp hapo?