Uchaguzi 2020 Jumuiya ya Madola yatoa taarifa rasmi kusikitishwa na yaliyotokea Tanzania kipindi cha uchaguzi mkuu ikiwemo udanganyifu na mauaji

Uchaguzi 2020 Jumuiya ya Madola yatoa taarifa rasmi kusikitishwa na yaliyotokea Tanzania kipindi cha uchaguzi mkuu ikiwemo udanganyifu na mauaji

Haya sasa kumekucha...saivi kila info ni tamko kuhusu uchaguzi uliofanyika Tanzania.

Hii ni Taasisi kubwa sana duniani imeripoti hili.

Nina uhakika kwenye haya matamko, Magufuli hataachwa salama na ushindi wake wa kidhalimu.
Dua la kuku hallimpati mwewe........

Utalijua jiji weweeee mchangiaji.....!
 
Haya sasa kumekucha...saivi kila info ni tamko kuhusu uchaguzi uliofanyika Tanzania.

Hii ni Taasisi kubwa sana duniani imeripoti hili.

Nina uhakika kwenye haya matamko, Magufuli hataachwa salama na ushindi wake wa kidhalimu.

tbc live mzee baba anaapishwa kule ndo raisi wako, nadhan wiki ijayo tutaanza rasmi kubadilisha katiba atawale milele
 
Hawa kina Zitto na Lissu na watu wachache Sana wa chadema cjui kitu gani wanataka, hatuna tatizo Kama Ni kuiba hata mbowe anaibaga hela za chadema ni utamaduni wetu Ila Mambo yanaenda, so Magu kashinda kihalali plus na vikura kidogo vya kuchakachua kuwaondoa wabunge wapiga kelele.

Sisi watanzania Ni waangaliaji tunaenjoy Sana drama za siasa Ila kamwe hatushiriki kamwe, naawaambia tunapenda drama.
hawa mabeberu wanatuzingua tu!!
kama wanamaana wangeleta silaha watu tutafutane humuhumu

kura sio dili Demokrasia Hakuna
wazee wa Mavi 8 wanatutesa sana

Kuna maelfu ya vijana wapo tayari kushika mtutu
kama noma na iwe noma
 
Wamekuwa shocked na zile sandarusi pamoja na viroba vya kura fake zilizotapakaa nchi nzima!
Kama zimepatikana si mzipeleke kwa Amsterdam?
Kwa hiyo magufuli alipatabkura 1500 tu hizi zingine zote ni za wizi?
Kwa maana hiyo waliopiga kura hawazidi milioni 5
 
Haya matamko yanatolewa kila siku hayana tija yeyote. Sijui chadema wanafurahia nini hapo.
 
Haya sasa kumekucha...saivi kila info ni tamko kuhusu uchaguzi uliofanyika Tanzania.

Hii ni Taasisi kubwa sana duniani imeripoti hili.

Nina uhakika kwenye haya matamko, Magufuli hataachwa salama na ushindi wake wa kidhalimu.
Yaani hapa ni kuliendeleza fukuto bila kunyamaza ili matamko kama hayo yafikie kuchukuliwa hatua Kali. Tukinyamaza nao watayaweka kwenye makabati ibaki historia
 
Kwa ajili hiyo mnamlipa huyo Muzungu Mamilioni ya US Dollars? kupata tu hayo matamko? Mnafikiri mtamtisha mtu na matamko? Hizo fedha mngewekeza kwenye uchaguzi angalau hata mngekaribia kura alizopata Lowasa.

Low IQ !
Kwa hiyo wewe hujaona ukiukwaji mkubwa wa taratibu katika uchaguzi uliopita?Ama kweli kuipenda kwako Sana CCM kumekufanya uwe kipofu.Jumuiya ya madola ni taasisi kubwa inayoheshimika duniani kote ambayo Tanzania ni mwanachama,haiwezi kuwasingizia!
 
View attachment 1618126View attachment 1618125

My Take
Pamoja na ukweli wa mambo yasiyo ya kawaida,ila ndugu zetu wa damu jumuia za Afrika zinasema mambo yalikuwa shwari.
Waafrika chini ya Jangwa la Sahara tuna kasoro kubwa katika ubongo wetu..

Ndio maana Nchi zetu juu ya utajiri wa rasilimali tulizokuwa nazo lakini ni masikini Duniani..

We always denied the undeniable,and except the unexpected..

Hisia zetu zimetawala uhalisia wa mawazo na maamuzi yetu..
 
Kwa hiyo wewe hawa ndiyo unawaaminj sana kuliko ndugu zako wa damu? Slavery Mentality inakusumbua mkuu.
Kaka funguka kidogo,weka hisia zako pembeni,angalia UHALISIA wa hili jambo

Je uchaguzi ulikuwa wa haki,Je hakukua na ubadhilifu na uvunjwaji wa haki za binaadamu katika huu uchaguzi uliopita?

Kwanini Waafrika chini ya Jangwa la Sahara akili zetu zimekuwa kama watoto Wadogo?hivi kweli hujayaona yote yaliyotokea?
 
Kaka funguka kidogo,weka hisia zako pembeni,angalia UHALISIA wa hili jambo

Je uchaguzi ulikuwa wa haki,Je hakukua na ubadhilifu na uvunjwaji wa haki za binaadamu katika huu uchaguzi uliopita?

Kwanini Waafrika chini ya Jangwa la Sahara akili zetu zimekuwa kama watoto Wadogo?hivi kweli hujayaona yote yaliyotokea?
Sijaona mkuu unless utoe ushahidi mimi kwenye kituo changu cha kupigia kura tulipiga vizuri tu na hakuna matatizo yoyote yaliyotokea!
 
Mugabe alishahojiwa na muandishi mmoja wa wingereza mahojiano yalikuwa kama ifuatavyo

Muandishi:-Mr President you have been a president since 1980.Don't you think it is time you step down and relinquish power to the younger generation?

Mugabe:-Akiwa anaweka miwani yake sawa akakohoa kidogo koooooh akajibu ''Have you ever asked this question to her majesty Queen Elizabeth or these questions are only reserved for African leaders?


Yule muandishi akaomba udhuru kwenda msalani hakumhoji tena



Mwisho wa kunukuu
 
Sijaona mkuu unless utoe ushahidi mimi kwenye kituo changu cha kupigia kura tulipiga vizuri tu na hakuna matatizo yoyote yaliyotokea!
Wewe ndio wale wale, wewe ni mfano wa Mwafrika mweusi, hisia zako zimetawala maamuzi yako

Kama hujaona basi hata kusikia hujasikia,..??

Ndio labda kituo chako cha kupiga kura ulipiga vizuri,he vipi kuhusu vyengine vilipiga vizuri,je ulifatilia

Mpumbavu ni yule anae uona ukweli akaukataa, wewe ni mmoja Waoo

Cha kushangaza zaidi wewe inaonyesha ni mbinafi Sana,unajali yaliyotokea kwako tu,yaliyotokea kwengine hayakuhusu....

IMG_20201108_081338.png
 
Back
Top Bottom