moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Dua la kuku hallimpati mwewe........Haya sasa kumekucha...saivi kila info ni tamko kuhusu uchaguzi uliofanyika Tanzania.
Hii ni Taasisi kubwa sana duniani imeripoti hili.
Nina uhakika kwenye haya matamko, Magufuli hataachwa salama na ushindi wake wa kidhalimu.
Utalijua jiji weweeee mchangiaji.....!