Jumuiya ya Ulaya na baadhi ya balozi za nchi za Magharibi kutoa tamko juu ya uchaguzi Serikali za Mitaa

Tanzania is a sovereign state.
 
Ni hivi, jiwe ndio anayeharibu chaguzi ili kuhadaa umma kuwa yeye na ccm wanakubalika, ila kiukweli ni mtu anayejiandaa kuingiza nchi hii kwenye machafuko.
Hivi anayesusa na anayeshiriki nani anatafuta machafuko?
 
Changia kwa busara ndugu acha kunitusi basi
 
Hivi anayesusa na anayeshiriki nani anatafuta machafuko?

Kususa ni machafuko? Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kushiriki ushenzi wa aina hiyo. Anayeharibu chaguzi zetu anafahamika. Hata historia inaonyesha alikuwa hashindi uchaguzi kwa kura bali kwa mbinu chafu, na hiyo tabia yake sasa kaileta kwenye uchaguzi wa nchi nzima kupitia madaraka yake.
 
Vp kama ikitokea Jumuiya ya Ulaya na jumuiya nyingine za kimataifa zikatoa tamko la kumpongeza Mzee Meko kwa ununuzi wa madreamlaina kwa kulipa cash, kutakuwa na tatizo?

Things comes in pairs.
Hate for love
Day n night.

Hivyo hivyo kusifiwa na kukosolewa.
 
Nimecheka sana kuona india na waarabu kwenye listi.
Wanao mchango wao mkubwa hasa katika suala la elimu. Vitabu mashuleni na vifaa vya kufundishia ni kutoka kwao moja kwa moja au fedha za kuwezesha hayo.

Utawadharau endapo origin mzima ya familia imesoma IST lakini kama hata mtu mmoja alisoma Private school nyingine huna budi kuwapatia shukrani.
 
Fuatilia vizuri kwenye mipango madhubuti ya maendeleo, nchi za kusini magharibi mwa Asia zimetusaidia nini. Anza na Qatar, Iran, Saudi Arabia, Kuwait, Lebanon, Bahrain, Emirates nk
Walitusaidia kutupa nafasi ya Hijra, ni hvyo navyokumbuka
 
Wahindi wanatupa Condom bure kupitia TFDA kutengo cha propaganda cha HIV
 
Hahaha kuna moja alikuwa anazunguzukia media za mabeberu kuichafua Tanzania

Je alifanikiwa?
Nchi inachafukaje? Athar za kuchafuka kwa nchi unazijua? Kwa taarifa yako haya makaburu walijenga kila kitu kama hayo Maleri lakini walichafuliwa kwa matendo ya kipuuzi kama anavyofanya Hugo kichaa
aliuza nyumba za umma kwa hawala zake na nduguze, anajifungia ndani na watengeneza ndege na kuagiza azitakazo we unajua 10% take no shilingi ngapi au mnadhani Hugo malaika?/mbona haya mile kivuko kibovu kilinunuliwa akiwa wazir na sasa kipo jeshini ? Mbona alijenga hotel I kulee. Chato na kujenga uwanja wa ndege na mbuga ili hotel I ipate wateja
 
Hao "mabeberu" au " washirka" wa maendeleo watachukua hatua siku maslahi yao yakiguswa.
Hata Jiwe aue wangapi, atese wangapi, kama atakuwa hakwamishi mambo yao, hakuna chochote kitaendelea hadi Watanzania waseme inatosha.
 
Bora kuandika ugoro kuliko kufikiri ujinga nioneshe ugoro wangu nawe nitakuonesha ujinga kwenye vimipasho vyako unavyoandika kutwa kucha humu
Pumba zako hizi hapa mkui[emoji116]

Yani mnaandika upuuzi,uwongo na uzandiki

Ungekuwa karibu yangu ungechezea vibao ya kutosha kwa sababu ni hopeless
 

Endelea kukenua meno tu! Kesho utakenua mapengo, tuone kama unaweza kujosofu kama leo!
 
Umoja wa ulaya ushughulikie kwanza tatizo la ushoga kwenye bara lao ndio waje watufundishe jinsi ya kuchagua
Ushoga waonunakuhusu nini wewe hangaika na umaskini wako hapa na ujinga wa kuongozwa na mjinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…