Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Hahahahaa kuna mmoja alikua anataka kumuua lissu kwa risasi, ivi alifanikiwa kweli?Hahaha kuna moja alikuwa anazunguzukia media za mabeberu kuichafua Tanzania
Je alifanikiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa kuna mmoja alikua anataka kumuua lissu kwa risasi, ivi alifanikiwa kweli?Hahaha kuna moja alikuwa anazunguzukia media za mabeberu kuichafua Tanzania
Je alifanikiwa?
Kumbe wewe Kichwani uko mweupe kabisaHawezi kufanikiwa, anapoteza muda kijizeesha bure kwa kunenepeana kama..........
TrueKuna watu wanatamani hii nchi ichafuke siku moja! Ila watachafuka wao,Muda utasema.
Ameuulize kabendera yupo wapi na yupojeHalo JF siasa.
Habari za uhakika kutoka chanzo cha uhakika ndani ya wizara ya nje, zimenidokeza juu ya ujio wa taarifa kutoka jumuiya ya Ulaya na baadhi ya Balozi za nchi za Magharibi kushutumu mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Chanzo hicho kimegoma kutaja nchi hizo licha tu ya kuniambia naisubiri tamko lao muda wowote. Hata hivyo chanzo kimetaja jumuiya ya ulaya moja kwa moja kuwa itakuwa ya kwanza kulaani kusiginwa kwa demkrasia nchini.
Naona Tundu Lisu huko alipo Brussels Ubelgiji anataka kutuchonganisha na Mabeberu. Ikumbukwe Brussels ni makao makuu ya EU na huko ndipo mdiaspora Lisu asiyeipenda asiyeitakia nchi hii mazuri anaokoishi kwa sasa.
Pia Lisu amekuwa akitunanga kupitia mataifa makubwa hivyo sishangai hata hao mabalozi uchwara wakiandaliwa cha kusema na mtu kama huyu.
China, Russia, India, chi za kiarabu bado ni wadau wetu wakubwa wa maendeleo.
Mabeberu/Boers tupa kuleeeeeeeee.
Magufuli kanyaga twende baba.
Hamna lolote zaidi ya ccm na Mh JPM kushinda2020 kuna jambo linakwenda kutokea kama uhuni huu utaendelea kulindwa.. Ni hatari sana kwa wenye madaraka kudharau mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja.
Huna akili unajivunia mataifa maskini wezako.badala ujutie waliompiga lisu bingwa washeria duniani ,lisu mkata upepoHalo JF siasa.
Habari za uhakika kutoka chanzo cha uhakika ndani ya wizara ya nje, zimenidokeza juu ya ujio wa taarifa kutoka jumuiya ya Ulaya na baadhi ya Balozi za nchi za Magharibi kushutumu mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa.
Chanzo hicho kimegoma kutaja nchi hizo licha tu ya kuniambia naisubiri tamko lao muda wowote. Hata hivyo chanzo kimetaja jumuiya ya ulaya moja kwa moja kuwa itakuwa ya kwanza kulaani kusiginwa kwa demkrasia nchini.
Naona Tundu Lisu huko alipo Brussels Ubelgiji anataka kutuchonganisha na Mabeberu. Ikumbukwe Brussels ni makao makuu ya EU na huko ndipo mdiaspora Lisu asiyeipenda asiyeitakia nchi hii mazuri anaokoishi kwa sasa.
Pia Lisu amekuwa akitunanga kupitia mataifa makubwa hivyo sishangai hata hao mabalozi uchwara wakiandaliwa cha kusema na mtu kama huyu.
China, Russia, India, chi za kiarabu bado ni wadau wetu wakubwa wa maendeleo.
Mabeberu/Boers tupa kuleeeeeeeee.
Magufuli kanyaga twende baba.
India walitupiga ban kununua mbaazi zetu, sasa unajiuliza wanamsaada gani kwetu?Nimecheka sana kuona india na waarabu kwenye listi.
Sovereignty does not mean to oppress the opposition
Hili bandiko la wiki mbili zilizopita, nilitonywa juu ya hili kutokea na limetokea kama nilivyotonywa.Kama hamuogopi tamko hilo yanini kuandaa uzi humu?kama tamko halina tija tahadhari ya nini?au unawashwa????
Kama hamuogopi tamko hilo yanini kuandaa uzi humu?kama tamko halina tija tahadhari ya nini?au unawashwa????
Watakipata soon, wasitupelekeshe.Waulize Waingereza waende zao kuhangaika na Brexit na hao USA wahangaike ni hilo pumbavu lao kwenye impeachment.
Uganda ilikuwa serikali ya kijeshi. (military rule ambayo iliingia kwa mapinduzi). Muogope Mungu.Ndivyo walivyo madikteta wote!View attachment 1259819
Unadhani maneno ya kwenye kanga ndo yanaongoza nchi.Mwanaume wa shoka hatishwi na wazibuliwa mitaro
Uwepo wa Trump White house ni fadheha sana kwa wamarekeni na vibaraka wao wa NATO kwa ujumla, lakini ni jambo la heri for the rest of the world. Ukiangalia kwa umakini sana utapata jibu kwanini Putin/Rissia walipenda Trump awe Rais wa Marekani.Waulize Waingereza waende zao kuhangaika na Brexit na hao USA wahangaike ni hilo pumbavu lao kwenye impeachment. Ukoloni uliisha muda mrefu tu, Tanzania sio koloni.
Lissu hana mpango na mambo yenu, mjilaumu wenyewe hata kuandaa huu uchaguzi mdogo tu unawashinda, haya sasa wajibuni hao mabeberu wenu ambao muda mwingine mnawaita wadau wa maendeleo.Naona Tundu Lisu huko alipo Brussels Ubelgiji anataka kutuchonganisha na Mabeberu. Ikumbukwe Brussels ni makao makuu ya EU na huko ndipo mdiaspora Lisu asiyeipenda asiyeitakia nchi hii mazuri anaokoishi kwa sasa.
Lini Tanzania ilikuwa safi?Hahaha kuna moja alikuwa anazunguzukia media za mabeberu kuichafua Tanzania
Je alifanikiwa?
Uwepo wa Trump White house ni fadheha sana kwa wamarekeni na vibaraka wao wa NATO kwa ujumla, lakini ni jambo la heri for the rest of the world. Ukiangalia kwa umakini sana utapata jibu kwanini Putin/Rissia walipenda Trump awe Rais wa Marekani.