Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Hiyo hoja ninya kwako wewe, ila sisi Waislamu tunajua Yesu wa Nazareth ndio Isa bin Mariam,

Katika uislamu sio tu kazungumziwa yeye, kazungumziwa hadi mamake, yani Mariam mamake Yesu katija uislamu kuna Surah nzima (chapter) imepewa jina lake.

Ndio maana jina Mariam ni maarufu miongoni mwa jamii ya kiislamu, sababu ya kumuenzi bikira Maria
Mnalazimisha tu kama kawaida yenu.
Dini ya kulazimisha.
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
@,!Nadhani hujaelewa lugha iliyo tumika,ni semina inayo endeshwa na Dr.wa philosophy ya imani ya kiislamu.
 
Msihangaike wala kubabaika na wasiomuamini Mungu wa kweli.Ukisto ndiyo dini ya kweli hata hao wanamdahalo(wapagani) wanalijuwa.
Waacheni washindane nanyi kimwili ila kiroho wanashindana na ambaye haijawahi kushindwa (YESU).
Salini sana ndugu zangu katika roho na kweli ili kuwa saidia pia waliopotea(wanaofata imani ya kiarabu).
Mungu wetu ananguvu wala hakuna haja ya mwanadamu kumpigania kama alivyo mungu wawasio a mini.
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Waislam na wakristo ea Kiafrika wote wajinga tu hamna imani yeni
 
Itakuwa sijamuelewa mtoa mada! Kuna kosa gani kukiwa na mdahalo wa kufungua akili? Nina mashaka kuwa wewe siyo Mkristo! Wakristo huwa hatuhangaiki na vitu vidogo vidogo maana tunajua wazi Yesu Kristo ni nguvu tosha! Just Relax na ujifunze kutoka kwa wengine! Huu mdahalo kama Serikali umeruhusu basi ujue unatija kubwa katika nchi hiii!
 
HUYU JAMAA HUWA SIKU ZOTE ANAJARIBU KUUNGANISHA MADHEHEBU, SIONI AKIKASHIFU, MTAZAMO WAKE NI PAWEPO NA KITU KAMA "CHRSTISLAM" AMBAYO NI NGUMU SANA.
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu
Tuanze na aliyeruhusu lengo lake ni nini?
 
Umekurupuka maana huo mdahalo hauitwi Mohammad vs jesus bali unaitwa muhammad and jesus- katika maandiko ya kisslamu, hakuna against wala vs yoyote hapo. Umekurupuka na unataka kuleta taharuki

Yani kwenye posti yako tu nasikia unavohema kwa kuhamaki umekuja mbiombio umekurupuka hebubksome vizuri posti za huo mdahalo.

Tambua kuwa Yesu yupo kwenye maandiko ya kiislamu, ni miongoni mwa mitume katika uislamu, hivyo hakuna baya analoenda kuzungumziwa ymYesu siku hiyo, punguza kukurupuka na kutuwazia unegative waislamu
Nahisi ni Dr Zakri Naiko au?? Kama ni yeye itakuwa lini?? Kenya mbona vitu vya kawaida hivi,nini hawa watanzania?
 
Msihangaike wala kubabaika na wasiomuamini Mungu wa kweli.Ukisto ndiyo dini ya kweli hata hao wanamdahalo(wapagani) wanalijuwa.
Waacheni washindane nanyi kimwili ila kiroho wanashindana na ambaye haijawahi kushindwa (YESU).
Salini sana ndugu zangu katika roho na kweli ili kuwa saidia pia waliopotea(wanaofata imani ya kiarabu).
Mungu wetu ananguvu wala hakuna haja ya mwanadamu kumpigania kama alivyo mungu wawasio a mini.
Hakika Mkuu
 
Katika hali ya kawaida, kati ya Wakristo na waisilamu, ni nani hawana akili? 😂😂😂
Ya kwamba nyinyi wakristo mnao nunua udongo na chumvi kwa laki moja na kutembea nao kwenye mikoba ili mtajirike bila kufanya kazi ndo mna akili kuwa zidi waisilam?😃😃😃.
 
Ni makosa sana kumfananisha yesu na mtume , mtume ni mhuni wa zama zake ambaye alikuwa amechangamka kuwazidi wenzake, mtume anatakiwa kufananishwa na haile selas , mtume vs king mswati, mtume vs nelson Mandela ,mtume vs bob Marley, maisha ya yesu hapa duniani haihitaji kumtetea anajitetea mwenyewe alishi kitakatifu sana Wala huna haja ya kuumiza kichwa kumtetea mwana wa MUNGU
 
Ya kwamba nyinyi wakristo mnao nunua udongo na chumvi kwa laki moja na kutembea nao kwenye mikoba ili mtajirike bila kufanya kazi ndo mna akili kuwa zidi waisilam?😃😃😃.
huko kwenye maji, udongo na mafuta tunabanana wote, akina Mwanaidi na Fatuma wapo wengi tu wanakuja
 
Tunarudi palepale, alisurubiwa kwa imani ya kiksristo, sisi Yesu huku katika usilamu hakusurubiwa.
Ndio tunaamini sisi waislamu hivyo

Ila ni huyohuyo Yesu aliyezakiwa na bikra Mariam, kulingana na sisi waislamu namafundisho yetu

Ukisema huyu wetu siyo Yesu wenu hiyo ni wewe, sisi tunajua ni huyohuyo
Kwahiyo mnamngangania Yesu Kristo awe isa?kitu ambacho hawafanani kwa chochote zaidi ya hiyo story ya kuzaliwa na bikra.

Acheni kumdogosha Yesu kristo,hichi ndicho wa kristo hawataki kikisikia.

Huwezi muweka kundi moja Yesu krodto na Muddy pedophile kwanza ni kama mbingu na ardhi.

Acheni upuuzi huu hiyo mada ya huyo ndugu yeni gaidi imekaa kichochezi na ina nia ovu,muislam aongelee ukristo utegemee kupata ukweli au ni upakaji matope wa ukristo.
 
Siku zote nasema tatizo la wakristo ni kujimilikisha vitu na kudhani ni vya kwao tu, wanaamini Yesu ni mali yao wakristo na wakati mwengine husema kuwa Qur'an imekopi maandiko yao ambapo ni Agano la kale wakati hata ukristo haukuwepo.
Kati ya ukristo na usilamu upi umeanza?hapa ndio utapata jibu nani kakopy mwenyie...kaeni mbali na mitume maana motume wote walikua wayahudi kasoro muddy pedophile.
 
Back
Top Bottom