Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Hawezi kukubali... RELIGION TOLERANCE ya wa kristo ni kubwa Sanaa..

Refer kwenye mambo ya kuchinja mifugo yetu tumewaachia..

Ujue waislamu wa siasa Kali ni watu hatare Sanaa..ndio chanzo Cha POLITICAL TURMOIL IN ALL OVER THE WORLD 🌎

NIMAHARIBIFU, MACHAFUZI,MAJUAJI,KILA UOVU NI YAO UTAYAKUTA NA MABARAGASHIA YAO.
Ndg huko kwenu ndio wanachija huku chuga ,moshi na kanda ya ziwa tunachinja wenyewe na tunakula wote mambo ya kumtafuta omy ,juma ni yakitambo kinoma miaka ya tisini eti
 
Kwanza Yesu sio Issa bali ni ile papatu papatu ya kucopy maandiko ya biblia yakampata na kuleta mkanganyiko tele

Tatizo ni moja mnaanzisha mgogoro ,ukiwa mkubwa ukawashinda mnaanza kutumia kadi ya uvictim. Malalamiko fc
Hivi Yehoshua si Yesu?
Waislamu hawana mgogoro na wakristo bali wana mapenzi makubwa kwa ndugu zao, tunataka maisha ya mafanikio ya duniani na akhera.
 
Sio. Maana Yehoshua ni Joshua na Yesu ni Emmanuel.

Ni ngumu sana kusikia mdahalo ulioitishwa na wakristo kumsasambua mudi au kumjadili.

Ingekua poa kama huyu kanjibai angekuja na mada ya krishna vs Mudi. Why Jesus?
Hivi Yehoshua si Yesu?
Waislamu hawana mgogoro na wakristo bali wana mapenzi makubwa kwa ndugu zao, tunataka maisha ya mafanikio ya duniani na akhera.
 
Sio. Maana Yehoshua ni Joshua na Yesu ni Emmanuel.

Ni ngumu sana kusikia mdahalo ulioitishwa na wakristo kumsasambua mudi au kumjadili.

Ingekua poa kama huyu kanjibai angekuja na mada ya krishna vs Mudi. Why Jesus?
Emmanuel ni Mungu pamoja nasi na Yehoshua ni saved by God Yeshua ni Saviour.
Kuna haja ya kupashana habari ili kujua mafundisho aliyoyaacha Yesu baada ya kuondoka.
 
Back
Top Bottom