Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Mnalazimisha tu kama kawaida yenu.
Dini ya kulazimisha.
 
@,!Nadhani hujaelewa lugha iliyo tumika,ni semina inayo endeshwa na Dr.wa philosophy ya imani ya kiislamu.
 
Msihangaike wala kubabaika na wasiomuamini Mungu wa kweli.Ukisto ndiyo dini ya kweli hata hao wanamdahalo(wapagani) wanalijuwa.
Waacheni washindane nanyi kimwili ila kiroho wanashindana na ambaye haijawahi kushindwa (YESU).
Salini sana ndugu zangu katika roho na kweli ili kuwa saidia pia waliopotea(wanaofata imani ya kiarabu).
Mungu wetu ananguvu wala hakuna haja ya mwanadamu kumpigania kama alivyo mungu wawasio a mini.
 
Waislam na wakristo ea Kiafrika wote wajinga tu hamna imani yeni
 
Itakuwa sijamuelewa mtoa mada! Kuna kosa gani kukiwa na mdahalo wa kufungua akili? Nina mashaka kuwa wewe siyo Mkristo! Wakristo huwa hatuhangaiki na vitu vidogo vidogo maana tunajua wazi Yesu Kristo ni nguvu tosha! Just Relax na ujifunze kutoka kwa wengine! Huu mdahalo kama Serikali umeruhusu basi ujue unatija kubwa katika nchi hiii!
 
HUYU JAMAA HUWA SIKU ZOTE ANAJARIBU KUUNGANISHA MADHEHEBU, SIONI AKIKASHIFU, MTAZAMO WAKE NI PAWEPO NA KITU KAMA "CHRSTISLAM" AMBAYO NI NGUMU SANA.
 
Tuanze na aliyeruhusu lengo lake ni nini?
 
Nahisi ni Dr Zakri Naiko au?? Kama ni yeye itakuwa lini?? Kenya mbona vitu vya kawaida hivi,nini hawa watanzania?
 
Hakika Mkuu
 
Katika hali ya kawaida, kati ya Wakristo na waisilamu, ni nani hawana akili? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ya kwamba nyinyi wakristo mnao nunua udongo na chumvi kwa laki moja na kutembea nao kwenye mikoba ili mtajirike bila kufanya kazi ndo mna akili kuwa zidi waisilam?πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ.
 
Ni makosa sana kumfananisha yesu na mtume , mtume ni mhuni wa zama zake ambaye alikuwa amechangamka kuwazidi wenzake, mtume anatakiwa kufananishwa na haile selas , mtume vs king mswati, mtume vs nelson Mandela ,mtume vs bob Marley, maisha ya yesu hapa duniani haihitaji kumtetea anajitetea mwenyewe alishi kitakatifu sana Wala huna haja ya kuumiza kichwa kumtetea mwana wa MUNGU
 
Ya kwamba nyinyi wakristo mnao nunua udongo na chumvi kwa laki moja na kutembea nao kwenye mikoba ili mtajirike bila kufanya kazi ndo mna akili kuwa zidi waisilam?πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ.
huko kwenye maji, udongo na mafuta tunabanana wote, akina Mwanaidi na Fatuma wapo wengi tu wanakuja
 
Kwahiyo mnamngangania Yesu Kristo awe isa?kitu ambacho hawafanani kwa chochote zaidi ya hiyo story ya kuzaliwa na bikra.

Acheni kumdogosha Yesu kristo,hichi ndicho wa kristo hawataki kikisikia.

Huwezi muweka kundi moja Yesu krodto na Muddy pedophile kwanza ni kama mbingu na ardhi.

Acheni upuuzi huu hiyo mada ya huyo ndugu yeni gaidi imekaa kichochezi na ina nia ovu,muislam aongelee ukristo utegemee kupata ukweli au ni upakaji matope wa ukristo.
 
Siku zote nasema tatizo la wakristo ni kujimilikisha vitu na kudhani ni vya kwao tu, wanaamini Yesu ni mali yao wakristo na wakati mwengine husema kuwa Qur'an imekopi maandiko yao ambapo ni Agano la kale wakati hata ukristo haukuwepo.
Kati ya ukristo na usilamu upi umeanza?hapa ndio utapata jibu nani kakopy mwenyie...kaeni mbali na mitume maana motume wote walikua wayahudi kasoro muddy pedophile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…