Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa
Kuna fedheha zaidi ya ile ya Kristo kuangikwa msalabani? uKristo huwa haudhalilishwi bali uDini.

Kinachodhaniwa kwamba ni udhalilishaji hugeuka kuwa kiki kwa uKristo ndo maana wanaofika kwa manabii na mitume asilimia kubwa sio waKristo
 
Ya kwamba nyinyi wakristo mnao nunua udongo na chumvi kwa laki moja na kutembea nao kwenye mikoba ili mtajirike bila kufanya kazi ndo mna akili kuwa zidi waisilam?😃😃😃.
Kwamba kuna sehemu hao walikuja kwako kuomba msaada wa chakula,acha kujipa umuhimu katika maisha ya watu.
 
Wakristo niwapole nandio mana wanawashobokea hivyo, kiboko yao mazayuni ndo anajua kula sahan moja nao
 
Wakristo Ndo Wanalazimisha Kitendo Cha Jesus Kuingia Kwenye Msikiti,Kuwatawaza Wanafunzi Wake Kinaashiria Mfanano Wa Jesus Na Islam.Yesu Hajawahi Kuingia Kanisani Na Hatowahi Kuingia Kanisani Kuna Kitu Ujakichunguza.
Yesu hukuwahi ingia sehemu y ibada tofauti na Hekalu au masinagogi ya wa yahudi,wakati huo hata wazo la kuwa kutakuwepo na dini ya kiislam ulimwenguli halikuwepo.

Kumbuka uislam umeanza mwaka 622 baada ya Kristo.
 
kama unamzungumziq Dr Zakir Naik sijawah kuona ametukana mana huo mjadala kafanya dunia nzima. nadhan unapaswa kuacha uoga uende uwanja wa taifa. au tune peace tv uone huyo uliyesema shehe wa kihindi anqchokifanya
mim ni mfuasi wa jesus pbuh.
 
mim nimeshatizama sana debate za dr zakir naik. amefanya debate mpaka na kina william campebell na waliishia wazungu kuslimu . kwa tz kugha gonganq sijui kama watamuelewa
 
Imani juu ya Mungu wa Kweli haiwezi kutumia nguvu za mwili kushawishi au kupinga acha waendelee.
Labda tu wajue kuwa ile Kamati ya Maridhiano iliuokiwa chini ya Jaji Agustino wamefungulia watukushambulia, wengine tunelia hapa na msahafu wenye fafasri ngingi na Sahih al bukhar tunajua panapovuja vzr mno kuliko huyo shekhe mhindi. Japo inasemekana ni jasusi pia
 
kama unamzungumziq Dr Zakir Naik sijawah kuona ametukana mana huo mjadala kafanya dunia nzima. nadhan unapaswa kuacha uoga uende uwanja wa taifa. au tune peace tv uone huyo uliyesema shehe wa kihindi anqchokifanya
mim ni mfuasi wa jesus pbuh.
Huwezi kuw mfuasi wa Yesu halafu useme phuh labda kama humjui huyo ni zaidi ya Nabii sema uelewa wako uko kama wangu
 
mim nimeshatizama sana debate za dr zakir naik. amefanya debate mpaka na kina william campebell na waliishia wazungu kuslimu . kwa tz kugha gonganq sijui kama watamuelewa
Bongo tolerance ya dini kwa pande zote ni mtihani sana
 
Huyo siyo Jesus ya Yesu. Inamaanisha kitu kingine. Mfano ni yale majina ya warwanda kina binaMungu akaYesu ni majina yasiyo na uhusiano na Mungu au Yesu.
 
WAKRISTO MNAJIDHALILISHA WENYEWE NA HAYO MAKANISA YENU NA MITUME WENU WAHUNI KIMA MWAMPOSA NA KUKOSA KWENU AKILI
 
usiogope mkuu,wa2 waislam wanaompinga kristo wengi wao ni wahuni hawasoma Q'RAN kabisa,,,,,ni wale wanaokariri,,kwani ktk Q'RAN kuna sura inaitwa "SURATUL MARIAM' inaelezea wazi namna mariam alivotokewa na malaika GIBRIL kwenye kona ya msikiti,na kumweleza wazi atamzaa mwana aitwaye ISSA [MASIH] na atakuja kama alama ya kiama,,,na mariam[mama yake issa,ni mwanamke wa daraja la juu kuliko wanawake wote [waliwahi kuwepo,waliopo na watakaokuwepo],,,,,,na huyo muhammad mwenyewe anawaambia waislam wazi kwamba ktk dalili za kiama issa atakuwa ni mooja wa dalili hizo,,,na ukitaka kujua nani yupo juu,,,ndo maan wafuasi wa muhammd husema[tumswalie mtume-kwa sababu nae yupo kuzimu], na wafuasi wa issa husema issa[yesu naomba utuombee-kwa sababu yupo kwenye NURU.......so bro waache watafute laana''''''"DO NOT JUDGE WITH A FOOL BECAUSE YOU MIGHT NOT NOTICE THE DIFFERNDE............................................................................HAWANA ELIMU hao,,,,,wanajificha kwenye makanzu lakini kichwani ZERO
 
Ogopa sana ambaye kila siku ni Mungu wa kweli, dini ya kweli, mara mtume wa kweli. Huku humsikii kabisa akiongelea kuacha madhambi.

Popote utapoenda mtu wa kwanza wa kuwa naye makini ni yule ambaye ameshika DINI sana.
 

Hiyo jumuiya yenyewe inauzalilisha Ukristo, ie; Maghembe VS TAG!

Trash!
 
Rais anapokuwa mkristo huwezi ukasikia upuuzi kama huu,upuuzi kama huu unakuwepo wanapokuwa wao marais.

Wamesubiri magufuli kavuta ndo wameanzisha mavitu yao. Jiwe asingevumilia huo upuuzi ungeshangaa umezimwa kimya kimya!
 
at
ata jirani yangu anaitwa MWAMEDI,alaf anauza supu ya mapupu!!!
 
Huo mdahalo umeandaliwa na taasisi gani? Na ajenda zake ni nini?

Taasisi ya kislamu lengo kuangazia ukubwa wa uislamu kupitia mitume wa dini nyengine kama ukristo, na utarushwa kupitia chombo cha kiislamu azam tv na waalikwa ni waislamu.

Simple!
 
Nyuzi zinazohusu maswala ya dini zinaongelewa kichizi yaani uzi umeanzishwa jana saa 2 lakini mpaka leo unaongelewa.
Laiti tusingefagilia hizi dini kama China na India tungekuwa mbali kimaendeleo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…