Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kuogapa ila tunawapa tahadhari kwamba kama mmeona njia hiyo kuwa sahihi itabidi mvumilie na sisi wakristo tukiitisha mdahalo kwenye vyombo vya habari tukifumua uchafu wote wa mtume wenu Mohamed.Unaogopa?
Sam shamoun unampata mkuu?
Kuzuia utakua ni udikteta mkuu, maana yesu so far ni nabii wa pande zote, so hawezi ongelewa vibayaNatoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad
Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa,
Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani
Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?
Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu
Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Sina hakika sjamfatilia in deep, ila kwa kubalance huyo sheikh anakuja kuwapa lecture kwa part kubwa waumini wakiislam, na mwishoni mwa lecture kuna kuna na section ya maswali na majibu hapa mara nyingi wanafavour wasio-waumini wa kiislamu waulize maswali zaidi.Nimeenda kumgoogle kwani nae huwa anaitisha mdahalo uwanja kama wa kwa mkapa?
utadhalilishaje uislam wakati mkutano umeandaliwa na Waislamu tuu hakuna Mkristo aliyekaribishwa, na watakaohudhuria 90% watakuwa WaislamuHuo mdahalo unaweza ukadhalilisha uisilamu pia, hofu ya nini.
Ngoja nisubirie huo mtanange.
Umekurupuka maana huo mdahalo hauitwi Mohammad vs jesus bali unaitwa muhammad and jesus- katika maandiko ya kisslamu, hakuna against wala vs yoyote hapo. Umekurupuka na unataka kuleta taharukiNatoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad
Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa,
Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani
Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?
Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu
Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Umeruka Mavi ili ukanyage MaviUmekurupuka maana hauitwi Mohammad vs jesus bali ni muhammad and jesus, katika maandiko ya kisslamu, hakuna against yoyote hapo. Umekuruouka na unataka kuleta taharuki
Mdahalo ni mabishano baina ya pande mbili, Kama kutakua hakuna mkristo aliyekaribishwa je mdahalo utakua ni kati ya nani na nani?utadhalilishaje uislam wakati mkutano umeandaliwa na Waislamu tuu hakuna Mkristo aliyekaribishwa, na watakaohudhuria 90% watakuwa Waislamu
Kwenye matangazo Nitajie Mkristo mmoja aliyealikwaMdahalo ni mabishano baina ya pande mbili, Kama kutakua hakuna mkristo aliyekaribishwa je mdahalo utakua ni kati ya nani na nani?
Mi sijui! Mi nachosubiria ni mtanange tu.Kwenye matangazo Nitajie Mkristo mmoja aliyealikwa
Mdahalo unaitwa Mohammad and Jesus,Umeruka Mavi ili ukanyage Mavi
YESU ni Mungu ,Yesu anatuma manabii na mitumeKuzuia utakua ni udikteta mkuu, maana yesu so far ni nabii wa pande zote, so hawezi ongelewa vibaya
YESU wa Biblia tofauti na huyo wenu anayeitwq Issa ,Mdahalo unaitwa Mohammad and Jesus,
Hapo kinachoenda kuangaliwa ni mafundisho ya manabii hao wawili kama walivyozungumzwa katika dini ya uislamu, kwani nyie mmeelewaje, au mnadhani waislamu wanamuona vipi Yesu???
Sisi waislamu tunapinga tu mnavyomuita Yesu Mungu, ila still kwenye uislamu Yesu anatambulika kama miongoni mwa wajumbe wa mwenyezi Mungu na masihi
Yesu ni Mungu hiyo ni kwa imani yenu, kwetu sisi waislamu Yesu ninmiongoni mwa manabii, na katika mdahalo huo kinachoenda kuongelewa ni mafundisho ya Yesu na Muhammad kulingana na Qurani, kwani hapo nyie shida mnaona wapi???YESU ni Mungu ,Yesu anatuma manabii na mitume
Usimuweke daraja moja na marehemu Muhammad
Ushapadisha kisukari broo tulia ustadhatiapi ulipodhalilishwa ukristo? We wakristo mbona hamna akili? Yaani ninyi akili zenu ni kisoda
Huo mdahalo umeandaliwa na taasisi gani? Na ajenda zake ni nini?Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad
Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa,
Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani
Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?
Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu
Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
hiyo ni mtizamo wa kikristo, na katika imani nyingine wanamtizamo tofauti. So ni kusikiliza na mwisho kunakukubaliana au kukatiliana.YESU ni Mungu ,Yesu anatuma manabii na mitume
Usimuweke daraja moja na marehemu Muhammad