Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Sikweli tumesoma lugha tunajua ,

YESU kwa kiarabu ni Yasu na maana ni moja

Issa Haina maana moja na Yesu

Mngedili na issa ambaye ni tofauti na Yesu
"Mngedili" kwani mimi nipo kwenye msafara wa sheikh anayekuja kuhutubia mkuu?
 
Hilo ni kongamano sio mdahalo.
Hapo hakuna mabishano kati ya pande mbili za wakristo na waislamu Bali Kuna kongamano la waislamu na wasio waislamu kujua sera walizokuja nazo mitume wote wawili( rehma na amani ziwe juu Yao).
 
Wakimaliza muhadhara tu,wanaenda kwa Mwamposa.Kwa ufupi mambo yamebadilika, unaweza kuta waandaji wanaenda kwenye huo muhadhara wakiwa na chupa za mafuta yameandikwa arise and shine.
 
Kwenye Quran hakuna Yesu Kuna issa ni watu wawili tofauti kabisa ,wenye historia tofauti
Isa (عيس) ndio Yesu kwa lugha ya kiarabu. hata biblia iloandikwa kwa kiarabu inamuandika hivyo

Na hiyo inatokana na kugha ya kiarabu kukosa herufi 'e',

kiasilia hakuna herufi e kwenye kiarabu, simple googling inaweza kukusaidia kujua hilo.

Hivyo mahala popote penye herufi e katika kiarabu basi wanaweka heufi 'i' mara nyingi, ijapokuwa kwenye jina kama Dar es Salaam, kiasilia inapaswa itamkwe Dar As salaam, maana kiarabu hakuna herufi e kiasilia

Halafu, hata lugha nyengine mbina pia zina majina tofauti na mnavyoita nyinyi wakristo wa kiswahili,

Mfamo maarufu, wakristo wa kizungu wanamuita Jesus, wakati waebrania wanamuita Yeshua, lugha nyengine wanamuita Yezus, wa aramaic wanamuita Yiisa,

Kwa hiyo kama hujui kuwa katika lugha majina hubadilika utakuwa elimu yako na exposure ni ndogo

Hata majina ya kawaida huitwa tofauti, mfano Peter wengine huita Piere, George wengine huita Jorge, James wengine huita Haime, Solomon wengine huita Suleiman, Jamal wengine huita Yamal

Hiyo ni lugha tu.

Wewe na jina lako la hamis sijui umejipa hilo jina ama ni muislamu uliyegeuka mkristo hebu jipe elimu uwe unazungumza vitu kwa hoja uache kuropoka.

Maana ishu za dini nikwambie ni masuala ya kuongea kwa hoja, ukiwa unaropoka tu, vitu huna hakika navyo kama kusema katika uislamu hakuna Yesu, sijui kuna Isa, utakuwa huna hoja unajibu kama huna exposure
Kwenye Quran hakuna Yesu Kuna issa ni watu wawili tofauti kabisa ,wenye historia tofauti
 
Isa (عيس) ndio Yesu kwa lugha ya kiarabu. hata biblia iloandikwa kwa kiarabu inamuandika hivyo

Na hiyo inatokana na kugha ya kiarabu kukosa herufi 'e',

kiasilia hakuna herufi e kwenye kiarabu, simple googling inaweza kukusaidia kujua hilo.

Hivyo mahala popote penye herufi e katika kiarabu basi wanaweka heufi 'i' mara nyingi, ijapokuwa kwenye jina kama Dar es Salaam, kiasilia inapaswa itamkwe Dar As salaam, maana kiarabu hakuna herufi e kiasilia

Halafu, hata lugha nyengine mbina pia zina majina tofauti na mnavyoita nyinyi wakristo wa kiswahili,

Mfamo maarufu, wakristo wa kizungu wanamuita Jesus, wakati waebrania wanamuita Yeshua, lugha nyengine wanamuita Yezus, wa aramaic wanamuita Yiisa,

Kwa hiyo kama hujui kuwa katika lugha majina hubadilika utakuwa elimu yako na exposure ni ndogo

Hata majina ya kawaida huitwa tofauti, mfano Peter wengine huita Piere, George wengine huita Jorge, James wengine huita Haime, Solomon wengine huita Suleiman, Jamal wengine huita Yamal

Hiyo ni lugha tu.

Wewe na jina lako la hamis sijui umejipa hilo jina ama ni muislamu uliyegeuka mkristo hebu jipe elimu uwe unazungumza vitu kwa hoja uache kuropoka.

Maana ishu za dini nikwambie ni masuala ya kuongea kwa hoja, ukiwa unaropoka tu, vitu huna hakika navyo kama kusema katika uislamu hakuna Yesu, sijui kuna Isa, utakuwa huna hoja unajibu kama huna exposure
Acha utapeli kijana , Yesu kwa kiarabu ni Yasu sio issa ,sio wote wajinga
 
Ujinga mtupu, midahalo kama hii ishakatazwa tangu enzi za JK. Imelenga upande mmoja tu, mwendesha mdahalo mwenyewe ana kesi kibao hadi sasa anaishi uhamishoni then sisi kwa kuwa nchi imekuwa kama Jalala tunapokea uchafu kama huo, Stupid!!!
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa,

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Hawezi kukubali... RELIGION TOLERANCE ya wa kristo ni kubwa Sanaa..

Refer kwenye mambo ya kuchinja mifugo yetu tumewaachia..

Ujue waislamu wa siasa Kali ni watu hatare Sanaa..ndio chanzo Cha POLITICAL TURMOIL IN ALL OVER THE WORLD 🌎

NIMAHARIBIFU, MACHAFUZI,MAJUAJI,KILA UOVU NI YAO UTAYAKUTA NA MABARAGASHIA YAO.
 
YESU /Jesus /Yehoshua /Yasu zote maana ni moja

Issa Ina maana tofauti kabisa
Hiyo Yasu ni mnalazimisha nyinyi, ila kiarabu kabisa Yesu ni Isa yani tena inaandikwa عيس. Tena inarandana vyema na Jesus ya kingereza. Yasu hiyo kwa sisi tuliosoma koarabu ni jina jipya kabisa
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa,

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Mimi sijaona tatizo lolote la hilo kongomano
 
Yesu ni Mungu hiyo ni kwa imani yenu, kwetu sisi waislamu Yesu ninmiongoni mwa manabii, na katika mdahalo huo kinachoenda kuongelewa ni mafundisho ya Yesu na Muhammad kulingana na Qurani, kwani hapo nyie shida mnaona wapi???
Yesu kristo wa Nazareth wa kwenye biblia takatifu sio Issa bin Mariam wa koran.
Huo mjadala ungefaa uandikwe Mohammad and Issa
 
Back
Top Bottom