Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Ni Mimi ,au unasemaje leta utetezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Mimi ,au unasemaje leta utetezi
Humu wote sio mamburura aisee,Hiyo Yasu ni mnalazimisha nyinyi, ila kiarabu kabisa Yesu ni Isa yani tena inaandikwa عيس. Tena inarandana vyema na Jesus ya kingereza. Yasu hiyo kwa sisi tuliosoma koarabu ni jina jipya kabisa
Kabisa viongozi wa siasa wawe makini. YESU KRISTO NI MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA, HURUHUSU MTU KUWA KIONGOZI . AKISEMA HAPANA, MTU ANAWEZA SHINDA UCHAGUZI NA KESHO AKAFA KAMA RAIS MMOJA WA AMERIKA KUSINI, AU AKASHINDWA VIBAYA KAMA KAMALA HARRISWasijinyanganye kwenye jina la Yesu kristo, wataaibika sana mpaka wasiamini
Yesu sio Isa.Tusiandikie mate na wino upo, hii hapa kwenye standard arabic ambayo ndio classical arabic Yesu ni Isa hiyo Yasu ni lahaja za kiarabu, ila standard arabic ni Isa
Hiyo hoja ninya kwako wewe, ila sisi Waislamu tunajua Yesu wa Nazareth ndio Isa bin Mariam,Yesu kristo wa Nazareth wa kwenye biblia takatifu sio Issa bin Mariam wa koran.
Huo mjadala ungefaa uandikwe Mohammad and Issa
Huyo gabacholi angekamatwa na kurudishwa kwao India mara moja akahubiri utumbo wake huko. Kama ikishindikana, waathirika nao wajibu mapigo ingawa dini zote mbili ni kanyabwoya tu.Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad
Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa,
Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani
Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?
Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu
Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
YESU wa Nazareth alisulubiwa ALIKUFA akafufukaHiyo hoja ninya kwako wewe, ila sisi Waislamu tunajua Yesu wa Nazareth ndio Isa bin Mariam,
Katika uislamu sio tu kazungumziwa yeye, kazungumziwa hadi mamake, yani Mariam mamake Yesu katija uislamu kuna Surah nzima (chapter) imepewa jina lake.
Ndio maana jina Mariam ni maarufu miongoni mwa jamii ya kiislamu, sababu ya kumuenzi bikira Maria
Kwani kwenye hizi dini kuna kipi kioya sana kinafundishwa???Kwahy Waislamu mnaenda kufundishana vitu ambavyo mnavijua tayari?
YESU sio Issa , waislamu mnapenda kujipenyeza kwa UyahudiKwahiyo mtoa mada kakurupuka, anadhani sijui waislamu wanamtazama vipi Yesu, ya Rabii, inatia huruma
Wezako Yesu ni nabii wetu, hatuwezi kumtusi huyo.
Leo nitakuombea Mungu akupe hidaya na exposure, uache kukurupuka ewe mtoa mada
Tunarudi palepale, alisurubiwa kwa imani ya kiksristo, sisi Yesu huku katika usilamu hakusurubiwa.YESU wa Nazareth alisulubiwa ALIKUFA akafufuka
Huyo Issa hakusulubiwa wala kufa
Ni watu wawili tofauti
SIFA za Yesu wa Nazareth ni zile zile za Mungu
Anasamehe dhambi, ana hukumu ,ni Alfa na Omega,n.k
Issa hana hizo Sifa ,
Mpaka msemeNatoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad
Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa,
Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani
Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?
Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu
Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
😆😆😆😆 Too lateNatoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad
Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa,
Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani
Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?
Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu
Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Unasema kwa Imani yetu alisulubiwa ,unarudi Tena unasema ni huyo huyo ,upo makini kweli ?Tunarudi palepale, alisurubiwa kwa imani ya kiksristo, sisi Yesu huku katika usilamu hakusurubiwa.
Ndio tunaamini sisi waislamu hivyo
Ila ni huyohuyo Yesu aliyezakiwa na bikra Mariam, kulingana na sisi waislamu namafundisho yetu
Ukisema huyu wetu siyo Yesu wenu hiyo ni wewe, sisi tunajua ni huyohuyo
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad
Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa,
Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani
Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?
Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu
Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Usipotoshe, Yesu si nabii tu wa kawaida kayika uislamu ni nabii na Masihi pia usisahau hiyo pointi kuwa yeye ktka uislamu alikuwa ni masihi pia.YESU sio Issa , waislamu mnapenda kujipenyeza kwa Uyahudi
Mathayo 28:18
Yesu akaja kwao akasema nao akawambia, “nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
Yesu kwa mdomo wake anakiri kuwa Mamlaka yote ya Mbinguni na duniani amepewa yeye na haya madai ni kinyume kabisa na madai ya Allah ambayo yanasema kuwa eti Yesu si chochote kile bali ni Nabii tu. Kumbuka Yesu alisema haya maneno takribani ya miaka 632 kabla ya Allah kuja na kudai kuwa Yesu si chochote kile. Sasa, Allah alikuwa wapi miaka yote hii 632 ? Kwanini Allah asinge sema haya madai kwenye Injir na akasubiri miaka 632 baadae? Hakika Isa wa Quran sio Yesu wa Biblia.