Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
yesu hapiganiwi bali anatupigania sisi, yeye ni mwelevu sana hivyo mtoa post unapaswa kuwaacha wafanye jambo lao hao watu wasiojua walitendalo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwa una kashfa za kidiniTatizo lipo wapi?
Ni mdahalo, unachohofia ni nini?
Halafu mnasema mnatukanwa? Hayo sio matusi?Huo mdaharo uitwe Muhammad vs mwamposa
YESU KRISTO na Muhammad wapi na wapi jamani
Yaan KRISTO akae meza moja na mbakaji Muhammad aliyebaka kitoto cha miaka 6 kiaisha
Kweli jaman? Hii si sawa hata kidogo
Hichohicho ndio mtoa posti alitakiwa kufanya mtoa mada.yesu hapiganiwi bali anatupigania sisi, yeye ni mwelevu sana hivyo mtoa post unapaswa kuwaacha wafanye jambo lao hao watu wasiojua walitendalo
Mbona mna kelele sasa humu JFUzuri wa wakristo huwa hawahangaiki na mambo madogo madogo.
Walivyo mambumbu wanadhani Yesu ni wa kwao peke yao! Kumbe kwenye uislamu kwetu yupo, ni miongoni mwa mitume ya Allah.Yani wanakurupuka hao.
Wanahamaki,
Wakristilo wa siku hizi hawajiamini, wanashangaza
Mdahalo unamzungumzia Yesu kulingana na uislamu, ila wanajibebesha bango la kudhani mdahalo unaenda kuwaongelea wao na imani yao, hawa watu hawana exposure
Yani mdahalo wala ulikuwa haudili na imani yao, kusikia jina Yesu wamepaparika wandhani Yesu ni wao peke yao wamemuwekea copyright kumbe ni wa wote
Mungu wa Kweli upigana vita vyake mwenyewe. Mungu wa Baali upiganiwa na watu!Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad
Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa,
Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani
Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?
Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu
Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Mbona majini ni tofauti na malaika ila mnalazimisha majini kuwa ndio malaika waliyoasi lakini mnakataa Yesu kuwa sio Issa? Ukiangalia sifa za majini haziendani na asili ya malaika.YESU wa Biblia tofauti na huyo wenu anayeitwq Issa ,
Kwanini mnapenda kujipendekeza kwa Yesu ?
Ingekuwa hivyo papa wenu angekuwa ashakufa zamaniKamala Harris alimdhalilisha Yesu Kristo kwenye kampeni zake, matokeo yake akaukosa Urais.
Acha upumbavu weweKamala Harris alimdhalilisha Yesu Kristo kwenye kampeni zake, matokeo yake akaukosa Urais.
Mambo madogo wakati mnatoa matusi na dhihaka juu ya imani za watu wengine!Uzuri wa wakristo huwa hawahangaiki na mambo madogo madogo.
Dkt. Zakir Naik ni ulishawahi kuhudhuria mdahalo wake popote pale hapa duniani?huwa una kashfa za kidini
Kwa Hiyo Trump Alimsifia Yesu Akashinda Urais.Kumbe kushinda Urais ni Simple kiasi Hicho?Wapi Chadema Urais uko Kwa Yesu Huku!Kamala Harris alimdhalilisha Yesu Kristo kwenye kampeni zake, matokeo yake akaukosa Urais.
Makafiri mtashinda kwa jina la bwana haliyehai .Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad
Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa,
Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani
Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?
Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu
Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Mambo madogo wakati mnatoa matusi na dhihaka juu ya imani za watu wengine!
Acheni unafiki ninyi!
Laiti mngelikuwa mnaiishu manachojaribu kujivisha nacho mfano mzuri na wa wazi ungelikuwa ni hapa Jf.
Lakini imani yenu ipo wapi?
Imani yenu ni kutusi dini za wengine? Imani yenu ni kutusi mitume ya dini nyengine! Imani yenu ni kutusi wake za mitume wa wengine?
Huu ndiyo upendo na amani mnayofundishwa makinisani mwenu na kujivisha hilo joho!
Mungu yupo na Mungu si mnafiki! Ataenda kuhukumu baina ya haya tunayoyatenda.
Baina ya waislamu na wakristo ni wapi wanaoongoza kwa kutoa malalamiko hata mfano mzuri tuchukue humu Jf.Uzuri wa sisi wakristo hatuna mambo mengi, watafanya huo upumbavu wao kwa amani na wala hutosikia kauli yoyote kutoka kwetu.
Ila huo upuuzi ungeandaliwa na Wakristo ungeshangaa magaidi kelele zao.
Wenzako hao😄😄Huo mdahalo ni wa watu wenye akili ndogo ambapo kwa Africa wamejazana kama nyumbu wa serengeti.
Mbona mna kelele sasa humu JF
Haakuna walalamishi kama nyinyi hadi Bakhresa mmemfungulia nyuzi kibao eti ni mdini
UDOM kina udini
Wapumbavu nyie