June 30, 1993 alifariki Gavana Rutihinda na kuzikwa Buguruni Malapa. June 15, 2024 anafariki Balozi Ruhinda na kuzikwa Kinondoni

June 30, 1993 alifariki Gavana Rutihinda na kuzikwa Buguruni Malapa. June 15, 2024 anafariki Balozi Ruhinda na kuzikwa Kinondoni

Amejaaliwa mabinti pisi kali 3, kumbe ni Abahima wa ukoo wa Mkama Rumanyika!. Mabinti wa Abahima... sii mchezo!ila kazkaz ni Abahiru!
P
Yaani ni wahima pure ukoo mzima umejaa piss kali historia ya mke wake inachekesha sana,yeye na Mkapa walikuwa marafiki kitambo sana ,sasa mwalimu akataka kuwapa ubalozi,ndio ikaonekana Ruhinda hana mke akaambiwa bila ndoa No ubalozi ,ikabidi aokote mke fastafasta na kufunga nae ndoa .amekufa katika mazingira magumu maana mke alishatangulia,hizo piss unazozisema zilikuwa busy na mambo yao huku mzee sukari inammaliza akihudumiwa na houseboy
 
Yaani ni wahima pure ukoo mzima umejaa piss kali historia ya mke wake inachekesha sana,yeye na Mkapa walikuwa marafiki kitambo sana ,sasa mwalimu akataka kuwapa ubalozi,ndio ikaonekana Ruhinda hana mke akaambiwa bila ndoa No ubalozi ,ikabidi aokote mke fastafasta na kufunga nae ndoa .amekufa katika mazingira magumu maana mke alishatangulia,hizo piss unazozisema zilikuwa busy na mambo yao huku mzee sukari inammaliza akihudumiwa na houseboy
Duh ...!
P
 
Ni kweli nyumbani Ni nyumbani..inaweza kua FEDHEHA KUBWA ukipata matatizo ikabid urudishwe nyumbani.
Kama Yule msanii wa bongo muvi alivyo pata FEDHEHA KUBWA kwenye msiba wa mama yake..
Unajenga kisa ukifa uonekane na wewe ama usidharaulike. Fanya Mambo yako Ila sio kuangalia ulimwengu. Wewe kwenu unakuja mjini una miaka 15 unakuja kurudipo una miaka 80+ yaani unasubiria Kufa ama ukiwa marehemu Sasa Hilo limjengo utakalowekeza hapo kwenu litatoa faida gani. Yaani ukazike bilioni of money with no return hata nyumba huwezi pangisha ikakupa return. Msifanye Mambo kwa mkumbo ama just to satisfy your environment. Elewa hata Elon musk akapanga hana nyumba na uelewe nyumba ni liability. Watt wako wenyewe ama wewe mwenyewe siku unazoishi ulipozaliwa zinahesabika.
Ukiangalia kusema kwenu wabantu tulioko east Africa asili yetu ni wapi. Kuna wengine tulitoka misri baada ya mwarabu kuivamia so inabidi turudi tukajenge misri. Yaani unaishi mjini zaidi ya miaka 60 kule unaenda once a year or even in ten years Halafu eti unapaita kwenu sure kweli una akili hata hupatumikii na watu wa kule hawakufaidi.
Ni sawa uende ulaya kijana urudi afrika mzee, utamu na vinono vyote umemalizia ulaya na ukiwa umeacha nyumba kweli utapangisha kwa pesa kubwa kuliko bongo.
Kule Kuna nyumba just two bedrooms like in New York unalipwa $8000- $15000 monthly Sasa hizo hapa bara la Giza utazipata wapi. Acheni ushabiki wa kimaandazi. Nyumba mnajenga wanabakia mende,buibui,wachunga ngombe, panya wanaishipo na huku umetumiwa above $20k to $100k ili iweje ukubalike kuwa unapenda kwenu Sasa si uiishipo huku mjini unafuata nini. Hata wanyama wanahama kufuata mahitaji yao. Pindi wakiyapata ndipo kazi yao. Kwani ukizikwa mjini huwezi fufuka ukaenda mbinguni.
Tukirudi miaka 3000 nyuma nadhani unapoishi ama unapopaita kwenu sio kwenu.
 
Hili hua la msingi sana tatizo wengi watoka vijijini hujifanya kwao mjini
Kuna jamaa yangu karibu kajenga nyumba kubwa home kwao tokea 1998 Ile nyumba alitumia pesa nyingi mno na haimuingizii ama haileti faida ama pesa yoyote yaani hawezi pangisha . Nyumba inafungwa zaidi ya mwaka. Naye alijenga kwa mihemuko ya kijamii. Kuna muda ukisikiliza jamii unapotea fanya unaloona kwako ni sahihi.
 
Usichanganye haya majina,hawa sio ndugu kabisa,gavana Gilman Rutihinda ni mhangaza toka wilayani Ngara,wilaya yenye vinasaba na Burundi,

Bakozi Ferdinand Ruhinda ni mnyambo toka Karagwe mwenye asili ya wahima ndugu wa watutsi,.

Kwa tamaduni na mazoea ya watu wa mkoa wa Kagera huzikwa kwao,watu hawani watu maarufu waliofanyia makubwa nchi hii,japo gavana alifariki akiwa hajafikisha hata miaka 50 alikuwa amejenga hekalu London na mikocheni DSM,cha ajabu kwao Ngara alijenga nyumba ya kawaida sana hata mimi ninaweza kuijenga,sasa kamati ya mazishi ikawaza ikawazua ikasema hapana,huyuni mtu mkubwa msiba wake watahudhuria vigogo akiwemo Rais Mwinyi,tumzike hapa hapa,japo alifia London akazikwa Buguruni Malapa,kaburi lake lipo hata leo,

Prince Ferdinand Ruhinda yeye sina taharifa za kujenga kwao au kutojenga ila ajiwa mtoto wa chifu wa nwisho wa Karagwe inashangaza kwa yeye kuzikwa Dar kutokana na mila ba desturi za kwao,kijana wa kiume huzikwa alipozikwa baba yake unless otherwise.
Sijazingatia hao magavana ila nimezingatia jamaa wa kuitwa jiwe.Hivi,yule alikuwa wa nchi gani?
 
Aibu ya nini kwani. Ni lazima kwani uridhishe ulimwengu or just for your self esteem or ego boosting and boasting before others
Kuna UMASKINI na Kuna UMASKINI WA KUTUPA..

sio busara Sana ukawa umejenga ufalme wako Dar es salaam or elsewhere.....kula kunywa na starehe na anasa zotee alaf kwenu unapa sahau kiasi hata mwenyewe kupakataa

Wangapi wamewai kupa kataa kwao hata wazazi na ndugu zao kuwakana kisa wamepauka na kua choka mbaya...

Refer wimbo wa TMK WANAUME_NYUMBANI NI NYUMBANI 😊😊
 
Kuna UMASKINI na Kuna UMASKINI WA KUTUPA..

sio busara Sana ukawa umejenga ufalme wako Dar es salaam or elsewhere.....kula kunywa na starehe na anasa zotee alaf kwenu unapa sahau kiasi hata mwenyewe kupakataa

Wangapi wamewai kupa kataa kwao hata wazazi na ndugu zao kuwakana kisa wamepauka na kua choka mbaya...

Refer wimbo wa TMK WANAUME_NYUMBANI NI NYUMBANI 😊😊
Kabisa mkuu
 
Usichanganye haya majina, hawa sio ndugu kabisa, Gavana Gilman Rutihinda ni mhangaza toka wilayani Ngara,wilaya yenye vinasaba na Burundi,

Bakozi Ferdinand Ruhinda ni mnyambo toka Karagwe mwenye asili ya wahima ndugu wa watutsi,.

Kwa tamaduni na mazoea ya watu wa mkoa wa Kagera huzikwa kwao,watu hawani watu maarufu waliofanyia makubwa nchi hii, japo gavana alifariki akiwa hajafikisha hata miaka 50 alikuwa amejenga hekalu London na mikocheni DSM,cha ajabu kwao Ngara alijenga nyumba ya kawaida sana hata mimi ninaweza kuijenga,sasa kamati ya mazishi ikawaza ikawazua ikasema hapana,huyuni mtu mkubwa msiba wake watahudhuria vigogo akiwemo Rais Mwinyi,tumzike hapa hapa,japo alifia London akazikwa Buguruni Malapa,kaburi lake lipo hata leo,

Prince Ferdinand Ruhinda yeye sina taharifa za kujenga kwao au kutojenga ila ajiwa mtoto wa chifu wa nwisho wa Karagwe inashangaza kwa yeye kuzikwa Dar kutokana na mila ba desturi za kwao,kijana wa kiume huzikwa alipozikwa baba yake unless otherwise.
Ferdinand Kamuntu Ruhinda alikuwa rafiki mkubwa wa Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Marehemu Benjamin William Mkapa.

Kwenye maelezo yake ya awali jana, ambayo ni ushuhuda wa urafiki wao huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 50, Ruhinda alieleza jinsi uhusiano wao ulivyoanza na kuimarika.

Leo Balozi huyu wa zamani nchini Canada na China anasimulia jinsi alivyomsaidia rafiki yake kwenye harakati za uchaguzi wa kwanza wa urais wa vyama vingi hapo mwaka 1995 ambapo Mkapa alishinda.

 
Ferdinand Kamuntu Ruhinda alikuwa rafiki mkubwa wa Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Marehemu Benjamin William Mkapa.

Kwenye maelezo yake ya awali jana, ambayo ni ushuhuda wa urafiki wao huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 50, Ruhinda alieleza jinsi uhusiano wao ulivyoanza na kuimarika.

Leo Balozi huyu wa zamani nchini Canada na China anasimulia jinsi alivyomsaidia rafiki yake kwenye harakati za uchaguzi wa kwanza wa urais wa vyama vingi hapo mwaka 1995 ambapo Mkapa alishinda.

Hao walikuwa marafiki sana, kwa muda mrefu kitaaluma wote ni waandishi wa habari,mkapanara kadhaa alikwenda karagwe
 
Kuna UMASKINI na Kuna UMASKINI WA KUTUPA..

sio busara Sana ukawa umejenga ufalme wako Dar es salaam or elsewhere.....kula kunywa na starehe na anasa zotee alaf kwenu unapa sahau kiasi hata mwenyewe kupakataa

Wangapi wamewai kupa kataa kwao hata wazazi na ndugu zao kuwakana kisa wamepauka na kua choka mbaya...

Refer wimbo wa TMK WANAUME_NYUMBANI NI NYUMBANI 😊😊
Why Sasa upo mjini na hapa ukipata gap la kusepa USA na familia yako wakasome huko huko na mnakuwa raia mbona fasta kabla jogoo hajawika umeshafika airport.
Hujafungwa wewe sio jiwe lazima uishi pale pale ulipoumbiwa hata ancestors walihama kutafuta fertile and green pastures Sasa wewe komaa eti kwetu.
Hakuna anayepakataa Ila unacheki Kila kitu kizuri kopo town.
Nunua coaster weka kwenu si unapapenda. Halafu wanaume tmk sio kuwa ndio SI unit.
Kwanza wale jamaa mababu zao walitokea wapi wakaja dar.
Hata mnyama tu kwa akili ndogo aliyonayo anahama kufuata palipo na maji na nyasi so mie nifie mahala eti ni kwetu.
Ulaya Wenyewe walihamia USA kitambo kutafuta pazuri na wameshapotelea huko.

Babu yake na trump alienda USA kitambo mno.
Kafungue duka ama biashara ama mpaka ufe uwe mzoga eti ndio kwenu wakati hata ajira ama wa kwenu hawapati faida yoyote na wewe.
 
Ferdinand Kamuntu Ruhinda alikuwa rafiki mkubwa wa Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Marehemu Benjamin William Mkapa.

Kwenye maelezo yake ya awali jana, ambayo ni ushuhuda wa urafiki wao huo uliodumu kwa zaidi ya miaka 50, Ruhinda alieleza jinsi uhusiano wao ulivyoanza na kuimarika.

Leo Balozi huyu wa zamani nchini Canada na China anasimulia jinsi alivyomsaidia rafiki yake kwenye harakati za uchaguzi wa kwanza wa urais wa vyama vingi hapo mwaka 1995 ambapo Mkapa alishinda.

Balozi Ruhinda ndie aliyekua mmoja wa waanzilishi wa gazeti la mwananchi na akiwa na Rostam
 
Back
Top Bottom