June 30, 1993 alifariki Gavana Rutihinda na kuzikwa Buguruni Malapa. June 15, 2024 anafariki Balozi Ruhinda na kuzikwa Kinondoni

June 30, 1993 alifariki Gavana Rutihinda na kuzikwa Buguruni Malapa. June 15, 2024 anafariki Balozi Ruhinda na kuzikwa Kinondoni

Usichanganye haya majina, hawa sio ndugu kabisa, Gavana Gilman Rutihinda ni mhangaza toka wilayani Ngara,wilaya yenye vinasaba na Burundi,

Bakozi Ferdinand Ruhinda ni mnyambo toka Karagwe mwenye asili ya wahima ndugu wa watutsi,.

Kwa tamaduni na mazoea ya watu wa mkoa wa Kagera huzikwa kwao,watu hawani watu maarufu waliofanyia makubwa nchi hii, japo gavana alifariki akiwa hajafikisha hata miaka 50 alikuwa amejenga hekalu London na mikocheni DSM,cha ajabu kwao Ngara alijenga nyumba ya kawaida sana hata mimi ninaweza kuijenga,sasa kamati ya mazishi ikawaza ikawazua ikasema hapana,huyuni mtu mkubwa msiba wake watahudhuria vigogo akiwemo Rais Mwinyi,tumzike hapa hapa,japo alifia London akazikwa Buguruni Malapa,kaburi lake lipo hata leo,

Prince Ferdinand Ruhinda yeye sina taharifa za kujenga kwao au kutojenga ila ajiwa mtoto wa chifu wa nwisho wa Karagwe inashangaza kwa yeye kuzikwa Dar kutokana na mila ba desturi za kwao,kijana wa kiume huzikwa alipozikwa baba yake unless otherwise.
Ferdinand Ruhinda alikuwa Mbunge wa Buyungu Kakonko kipindi fulani na pale Kakonko anawadogo zake,dada yake(marehemu kama sikosei) na waipwa zake lakini inasemekana alijenga Tanga,Kakonko ana Lodge ambayo aliitengeneza kutokana na kununua nyumba ya muhindi mmoja aliyehamia miaka mingi pale Kakonko aliyeitwa Kassam Hilji.
Wengi walijua huenda alizikwa Tanga alikojenga!
 
Alipapenda Lushoto zaidi,lakini kizazi cha akina mkapa jamii nyingi huzikwa walipozikwa baba na babu zao
Sidhani kama kuna haja ya mtu kujenga kijijini kisa ataenda kuzikwa. Kuna familia ninaifahamu, wote wako vizuri kiuchumi kuanzia baba yao. Ina maana hawa wote kila mtu akamiliki nyumba kijijini kwao? Atakaa nani?
Kisa tu kuimpress jamii kwenye msiba wako?
Kwani marehemu anajisikia aibu?
 
Sidhani kama kuna haja ya mtu kujenga kijijini kisa ataenda kuzikwa. Kuna familia ninaifahamu, wote wako vizuri kiuchumi kuanzia baba yao. Ina maana hawa wote kila mtu akamiliki nyumba kijijini kwao? Atakaa nani?
Kisa tu kuimpress jamii kwenye msiba wako?
Kwani marehemu anajisikia aibu?
Maisha ya mjini wengi wetu tunapenda kujifariji tuu, lakini yana life span. Mda ukfika inabidi usepe tuu otherwise unaanza kuwa karaha kwa wengine. Wengi wa rika lako walishasambaratika. Ukikutana na vijana ni kulalamika hutembelewi. Yes, kijijini pia kuna changamoto zake. Lakini ukipaanda, maisha yanasonga fresh tuu.

mdukuzi personally nimeshangaa mtu mzito kama Balozi Ruhinda kuzikwa Kinondoni.

By the way kama ukiwa na uwezo, kutojenga kijijini kwenu ni ubinafsi. Maana, most likely wategemezi hawatarudi tena kama ukishatangulia mbele ya haki. Lakini pia ni kuchangia uchumi wa kijijini kwenu. Hata Yule Mlinzi na gardener wanapata kitu wanatumia familia zao. Ukivuta umeme ..hata majirani wanachukua kwako..so is water services….

Kama una uwezo nakushauri kajenge kijijini pia.
 
Maisha ya mjini wengi wetu tunapenda kujifariji tuu, lakini yana life span. Mda ukfika inabidi usepe tuu otherwise unaanza kuwa karaha kwa wengine. Wengi wa rika lako walishasambaratika. Ukikutana na vijana ni kulalamika hutembelewi. Yes, kijijini pia kuna changamoto zake. Lakini ukipaanda, maisha yanasonga fresh tuu.

mdukuzi personally nimeshangaa mtu mzito kama Balozi Ruhinda kuzikwa Kinondoni.

By the way kama ukiwa na uwezo, kutojenga kijijini kwenu ni ubinafsi. Maana, most likely wategemezi hawatarudi tena kama ukishatangulia mbele ya haki. Lakini pia ni kuchangia uchumi wa kijijini kwenu. Hata Yule Mlinzi na gardener wanapata kitu wanatumia familia zao. Ukivuta umeme ..hata majirani wanachukua kwako..so is water services….

Kama una uwezo nakushauri kajenge kijijini pia.
Kijijini kwetu kuna nyumba aliyoijenga baba ambayo alianzia maisha huko, hata mimba yangu ilitungwa hapo. Baadae akahamia mjini na ana nyumba zingine pia. Ile nyumba imechakaa kwa sasa yaani ya kizamani ila mzee bado huwa anaifanyia ukarabati. Mimi ndio first born na hakuna ndugu yangu yeyote anaishi pale kati ya watoto wa baba. Babu na bibi walikua wanaishi pale, babu akafariki ila bibi ndio anaishi mpaka leo.
Mimi nikajenge pale, wadogo zangu wengine wakiume 2 nao wakajenge pale, maana wa mwisho ni mwanamke na ameshaolewa. Tutakuwa na nyumba zingine 3 za kazi gani?
Mimi nadhani tuboreshe ile nyumba ya mwaka 1986 aliyojenga mzee iwe mali ya familia na likitokea jambo tunakutana pale.
Kwa sasa ndio nyumba ya makutano ya mambo ya kifamilia na kiukoo kijijini kwetu.
Ngoja nitie nia ya kujenga lakini huku naendelea kutafakari zaidi.
 
Why Sasa upo mjini na hapa ukipata gap la kusepa USA na familia yako wakasome huko huko na mnakuwa raia mbona fasta kabla jogoo hajawika umeshafika airport.
Hujafungwa wewe sio jiwe lazima uishi pale pale ulipoumbiwa hata ancestors walihama kutafuta fertile and green pastures Sasa wewe komaa eti kwetu.
Hakuna anayepakataa Ila unacheki Kila kitu kizuri kopo town.
Nunua coaster weka kwenu si unapapenda. Halafu wanaume tmk sio kuwa ndio SI unit.
Kwanza wale jamaa mababu zao walitokea wapi wakaja dar.
Hata mnyama tu kwa akili ndogo aliyonayo anahama kufuata palipo na maji na nyasi so mie nifie mahala eti ni kwetu.
Ulaya Wenyewe walihamia USA kitambo kutafuta pazuri na wameshapotelea huko.

Babu yake na trump alienda USA kitambo mno.
Kafungue duka ama biashara ama mpaka ufe uwe mzoga eti ndio kwenu wakati hata ajira ama wa kwenu hawapati faida yoyote na wewe.
Umeandika Mambo mengi Sana na wasiwasi na umri wako pia malezi ya udogoni mwako uliyo kulia udogoni mpaka unakua..

Nakubaliana na huu usemi itoshe kusema ""WE ARE DIFFER IN DIFFERENT"
 
barabara ni lami, hivyo watu wanajirusha kula night life town, kisha wanarudi bush asubuhi. angalia kitu hiki kiko Marangu Somanga
View: https://youtu.be/JcAhGT9HYVM?feature=shared hivyo Moshi mgombani ni town kabisa.

P

Halafu anatokea mtu aliyeshiba maji ya Uhai hapa Dar anakwambia kijijini hakuna fursa.
Kwanza angalia hayo mazingira yalivyo masafi na hewa nzuri. Ukiishi mazingira kama hayo si rahisi kuwa na roho mbaya.
Dar tunaishi kwa stress sana.

Asante Pascal. Ingawa kweli wakati ni ukuta. Wote Anna na JPM wameshatangulia mbele ya haki.
 
Kijijini kwetu kuna nyumba aliyoijenga baba ambayo alianzia maisha huko, hata mimba yangu ilitungwa hapo. Baadae akahamia mjini na ana nyumba zingine pia. Ile nyumba imechakaa kwa sasa yaani ya kizamani ila mzee bado huwa anaifanyia ukarabati. Mimi ndio first born na hakuna ndugu yangu yeyote anaishi pale kati ya watoto wa baba. Babu na bibi walikua wanaishi pale, babu akafariki ila bibi ndio anaishi mpaka leo.
Mimi nikajenge pale, wadogo zangu wengine wakiume 2 nao wakajenge pale, maana wa mwisho ni mwanamke na ameshaolewa. Tutakuwa na nyumba zingine 3 za kazi gani?
Mimi nadhani tuboreshe ile nyumba ya mwaka 1986 aliyojenga mzee iwe mali ya familia na likitokea jambo tunakutana pale.
Kwa sasa ndio nyumba ya makutano ya mambo ya kifamilia na kiukoo kijijini kwetu.
Ngoja nitie nia ya kujenga lakini huku naendelea kutafakari zaidi.
I can’t argue with your approach. ila mkuu kwa maneno yako hapo, hiyo nyumba haifai kwa matumizi ya binadamu. Sidhani kama ina mahitaji yote ya muhimu kwa maisha ya kila siku. Ndo maana hata wewe au ndugu zako haiwavutii kwenda kuishi huko.
 
I can’t argue with your approach. ila mkuu kwa maneno yako hapo, hiyo nyumba haifai kwa matumizi ya binadamu. Sidhani kama ina mahitaji yote ya muhimu kwa maisha ya kila siku. Ndo maana hata wewe au ndugu zako haiwavutii kwenda kuishi huko.
Nilisahau kitu kingine, ile nyumba ina maji na umeme. Umeme kijijini kwetu upo siku nyingi kidogo, nyumba iko vizuri tu kwa mfano ina choo cha nje kizuri kuliko vyoo vingi vya mjini hapa. Ina fence na paa lilibadilishwa. Kiufupu bado ni nyumba nzuri kwa kijijini kule.
Sio kwamba haituvutii, ni kwamba hakuna anayetarajia kuishi pale. Dogo mmoja yupo Songea na anafanya kazi huko katokea hapa Dar. Mimi niko Dar na anayenifuatia pia.
Baba na mama wote wapo hapa. Kuna kipindi nilikua naishi Mwanza, lakini nikipata likizo nikisema nikawaone wazazi inabidi nije huku Dar.
Hapo unaonaje?
 
barabara ni lami, hivyo watu wanajirusha kula night life town, kisha wanarudi bush asubuhi. angalia kitu hiki kiko Marangu Somanga
View: https://youtu.be/JcAhGT9HYVM?feature=shared hivyo Moshi mgombani ni town kabisa.

P

Migombani zipo nyumba nzuri sana, lakini nani yuko tayari kulala saa mbili usiku? Hata usipotaka kulala muda huo utakwenda wapi, labda ufunge ssfari kwenda Moshi mjini nako ukifika usiku wanatokomea kusikojulikana.
Kijana anarithi mjengo ambao hamudu kuufanyia usafi huku vyumba vingine havifunguliwi mwaka mzima!
Marangu Mtoni ndiyo mjini japo hapakidhi kwa vijana, Samanga mmmm! Kwa siku mbili utakaa lakini yatatu utapanda Kilimanjaro Ex. Utokomee.
 
Dr Ali juma kwao palikua hafifu mno sidhan hata kama umeme ulikuwepo na alikua vice president
 
Back
Top Bottom