Jusa ambaye alipewa nafasi ya kipekee na Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalum la Katiba Mh. Pandu Kificho kutoa mchango wake kuunga mkono hoja ya Rasmi ya Kanuni alisema; Kwa namna ya pekee tunamshukuru mjumbe mwenzetu kwa mchango mkubwa na uelewa na utundu wake katika kusoma mambo mbalimbali yahusuyo sheria, kanuni na kuziweka kwenye matendo, kwa kweli ametoa mchango mkubwa sana wa ubunifu na utayarisha bora wa hii kanuni...
Hongera Lissu na wajumbe wenzio kwa mchango wenu kwa Taifa hili. Mungu awabariki.
Hongera Lissu na wajumbe wenzio kwa mchango wenu kwa Taifa hili. Mungu awabariki.