Just Imagine Umepokea SMS hii "Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha ...."- Ungemjibu nini?

Just Imagine Umepokea SMS hii "Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha ...."- Ungemjibu nini?

Nimechoka na txt za sensa nimamua tu kublock nisubiri kuhesabiwa

Mie nimetumiwa hizo sms mbili, Moja ikijieleza imetoka Kwa rais wa jamhuri na nyingine wa Zanzibar.

Sijaelewa tunapoambiwa personal sms inamaanisha Nini wakati nnachojua wametuma tu Kwa namba za simu walizonazo na hazisemi ndugu The Monk au Bi Evelyn Salt Kisha maelezo mengine yafuate...

Haiwezekani kuwakoromea kidogo makampuni ya simu kutulazimisha kupokea hizi sms?

Umehesabiwa?
 
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, Rais wa JMT, amenitumia ujumbe mfupi wa maandishi, SMS kuhusu Sensa!.

"Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha kushiriki Sensa tarehe 23 Agosti,2022. Nakusihi utoe taarifa sahihi".

Mimi nimeupata ujumbe huu, vipi wewe mwenzagu, pia umeupata?. Umejisikiaje kupokea SMS ya Rais wa JMT kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu?.

Nani mwenye kumbukumbu yoyote ya Rais wa JMT kuwahi kutuma SMS yoyote kuhusu jambo lolote at person level "
Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha..."

Kwa vile tunatofautiana uelewa, just imagine ungekuwa na uwezo wa kuijibu hii SMS ya Rais Samia, ungekuwa na jambo lolote la kumweleza Rais Samia, ungemwambia nini?.

Mimi kwa upande wangu, ningemsalimia, ningempongeza kwa kazi nzuri, na amini usiamini pia ningemweleza kuwa sitaki uteuzi wowote wa hisani, ila nikiomba kumsaidia kazi katika eneo lolote, kama nina uwezo na eneo hilo, na ninakidhi sifa na vingezo, akubali tumsaidie, tutamsaidia sana na kulisaidia sana taifa letu hili!.

Wewe ungemwambia nini Mama Samia?.
Naendelea kusisitiza tujitokeze kwa wingi kuhesabiwa
Asante Rais Samia kwa SMS ya sensa.
Nawatakia Sensa Njema.
Paskali.
Pascal bwana 😂😂😂😂
 
Nilichomuelewa Pascal anaomba ajira ila style alivyoitumia ni ya kitoto sana kweli nimeamini ukizeeka akili zinarudi za kitoto

P gia uliyoingia nayo haikutoi unaonyesha jinsi ulivyo kata tamaa unatamani upate sehemu ujishikishe upate ugali siku ziende usubiri siku yako

Any way Mungu akupe wepesi maisha ni strategic mapambano
 
Mie nimetumiwa hizo sms mbili, Moja ikijieleza imetoka Kwa rais wa jamhuri na nyingine wa Zanzibar.

Sijaelewa tunapoambiwa personal sms inamaanisha Nini wakati nnachojua wametuma tu Kwa namba za simu walizonazo na hazisemi ndugu The Monk au Bi Evelyn Salt Kisha maelezo mengine yafuate...

Haiwezekani kuwakoromea kidogo makampuni ya simu kutulazimisha kupokea hizi sms?

Umehesabiwa?
Sijahesabiwa boss, nimewawekea taarifa tayari....
IMG-20220823-WA0006.jpg
 
Tutakua lini??? Ni tumbo tuu linatunyanganya akili.
Sensa ni yetu sisi wananchi sii ya raisi wala kiongozi yeyote. Chama,kabila au dini yoyote. Ni wajibu wa raia wa Tanzani kusaidia serekali kukamilisha sensa hii kwa ukamilifu unaostahili ili kuwezeaha serekali kupanga mipango yake ya maendeleo kikamilifu. Hili si swala na raisi bali ni la watanzania wote.
 
Mayala, hiyo ni push message usizuzuke. Cha muhimu pambana na kutafuta hela za kuweza kulisha familia yako. Mambo mengine waachie, usije mwishowe ukaitwa chawa. Uhuru na kazi.
 
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, Rais wa JMT, amenitumia ujumbe mfupi wa maandishi, SMS kuhusu Sensa!.

"Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha kushiriki Sensa tarehe 23 Agosti,2022. Nakusihi utoe taarifa sahihi".

Mimi nimeupata ujumbe huu, vipi wewe mwenzagu, pia umeupata?. Umejisikiaje kupokea SMS ya Rais wa JMT kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu?.

Nani mwenye kumbukumbu yoyote ya Rais wa JMT kuwahi kutuma SMS yoyote kuhusu jambo lolote at person level "
Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha..."

Kwa vile tunatofautiana uelewa, just imagine ungekuwa na uwezo wa kuijibu hii SMS ya Rais Samia, ungekuwa na jambo lolote la kumweleza Rais Samia, ungemwambia nini?.

Mimi kwa upande wangu, ningemsalimia, ningempongeza kwa kazi nzuri, na amini usiamini pia ningemweleza kuwa sitaki uteuzi wowote wa hisani, ila nikiomba kumsaidia kazi katika eneo lolote, kama nina uwezo na eneo hilo, na ninakidhi sifa na vingezo, akubali tumsaidie, tutamsaidia sana na kulisaidia sana taifa letu hili!.

Wewe ungemwambia nini Mama Samia?.
Naendelea kusisitiza tujitokeze kwa wingi kuhesabiwa
Asante Rais Samia kwa SMS ya sensa.
Nawatakia Sensa Njema.
Paskali.
Acha kujikomba
 
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, Rais wa JMT, amenitumia ujumbe mfupi wa maandishi, SMS kuhusu Sensa!.

"Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha kushiriki Sensa tarehe 23 Agosti,2022. Nakusihi utoe taarifa sahihi".

Mimi nimeupata ujumbe huu, vipi wewe mwenzagu, pia umeupata?. Umejisikiaje kupokea SMS ya Rais wa JMT kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu?.

Nani mwenye kumbukumbu yoyote ya Rais wa JMT kuwahi kutuma SMS yoyote kuhusu jambo lolote at person level "
Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha..."

Kwa vile tunatofautiana uelewa, just imagine ungekuwa na uwezo wa kuijibu hii SMS ya Rais Samia, ungekuwa na jambo lolote la kumweleza Rais Samia, ungemwambia nini?.

Mimi kwa upande wangu, ningemsalimia, ningempongeza kwa kazi nzuri, na amini usiamini pia ningemweleza kuwa sitaki uteuzi wowote wa hisani kutoka kwake.

Vipi wewe mwenzagu ungemwambia nini Mama baada ya yeye kukutumia SMS?.

Naendelea kusisitiza tujitokeze kwa wingi kuhesabiwa
Asante Rais Samia kwa SMS ya sensa, tuko tayari kuhesabiwa na tutajiibu maswali kwa usahihi.

Nawatakia Sensa Njema.
Paskali.
"Ndugu mwandishi nguli, mtangazaji na mwanasheria ninakushauri kwa dhati ya moyo wangu ACHANA na na SIASA kwa mtindo wa kujipendekeza (flattering) jikite kwenye uandishi wa vitabu kwa mabo ya taaluma uliyosomea pamoja na falsafa hautakuja kunisahau kamwe..........", mwisho wa kunukuu wazo langu mwenyewe.. Ukishupaza shingo mwishowe........
 
Back
Top Bottom