Nimechoka na txt za sensa nimamua tu kublock nisubiri kuhesabiwa
Kanitumia pia, nimemsalimia na kumuomba aftatu hajanijibu had saivi
Dooh wametuhujumu basi kutuambia imetoka kwa mheshimiwaHata Hana taarifa kwamba Kuna sms umetumiwa kuhusu sensa! Kwamaana hiyo hata hiyo umemjibu hata Kaa aione.
Pascal bwana 😂😂😂😂Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, Rais wa JMT, amenitumia ujumbe mfupi wa maandishi, SMS kuhusu Sensa!.
"Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha kushiriki Sensa tarehe 23 Agosti,2022. Nakusihi utoe taarifa sahihi".
Mimi nimeupata ujumbe huu, vipi wewe mwenzagu, pia umeupata?. Umejisikiaje kupokea SMS ya Rais wa JMT kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu?.
Nani mwenye kumbukumbu yoyote ya Rais wa JMT kuwahi kutuma SMS yoyote kuhusu jambo lolote at person level "
Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha..."
Kwa vile tunatofautiana uelewa, just imagine ungekuwa na uwezo wa kuijibu hii SMS ya Rais Samia, ungekuwa na jambo lolote la kumweleza Rais Samia, ungemwambia nini?.
Mimi kwa upande wangu, ningemsalimia, ningempongeza kwa kazi nzuri, na amini usiamini pia ningemweleza kuwa sitaki uteuzi wowote wa hisani, ila nikiomba kumsaidia kazi katika eneo lolote, kama nina uwezo na eneo hilo, na ninakidhi sifa na vingezo, akubali tumsaidie, tutamsaidia sana na kulisaidia sana taifa letu hili!.
Wewe ungemwambia nini Mama Samia?.
Naendelea kusisitiza tujitokeze kwa wingi kuhesabiwa
Asante Rais Samia kwa SMS ya sensa.
Nawatakia Sensa Njema.
Paskali.
Sijahesabiwa boss, nimewawekea taarifa tayari....Mie nimetumiwa hizo sms mbili, Moja ikijieleza imetoka Kwa rais wa jamhuri na nyingine wa Zanzibar.
Sijaelewa tunapoambiwa personal sms inamaanisha Nini wakati nnachojua wametuma tu Kwa namba za simu walizonazo na hazisemi ndugu The Monk au Bi Evelyn Salt Kisha maelezo mengine yafuate...
Haiwezekani kuwakoromea kidogo makampuni ya simu kutulazimisha kupokea hizi sms?
Umehesabiwa?
Sijahesabiwa boss, nimewawekea taarifa tayari....
View attachment 2332401
Ulikuwa unajipendekeza wala hajawahi kukuomba uzisome[emoji23][emoji23][emoji23]
Pascal Mayalla
Acha kujikombaKwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, Rais wa JMT, amenitumia ujumbe mfupi wa maandishi, SMS kuhusu Sensa!.
"Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha kushiriki Sensa tarehe 23 Agosti,2022. Nakusihi utoe taarifa sahihi".
Mimi nimeupata ujumbe huu, vipi wewe mwenzagu, pia umeupata?. Umejisikiaje kupokea SMS ya Rais wa JMT kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu?.
Nani mwenye kumbukumbu yoyote ya Rais wa JMT kuwahi kutuma SMS yoyote kuhusu jambo lolote at person level "
Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha..."
Kwa vile tunatofautiana uelewa, just imagine ungekuwa na uwezo wa kuijibu hii SMS ya Rais Samia, ungekuwa na jambo lolote la kumweleza Rais Samia, ungemwambia nini?.
Mimi kwa upande wangu, ningemsalimia, ningempongeza kwa kazi nzuri, na amini usiamini pia ningemweleza kuwa sitaki uteuzi wowote wa hisani, ila nikiomba kumsaidia kazi katika eneo lolote, kama nina uwezo na eneo hilo, na ninakidhi sifa na vingezo, akubali tumsaidie, tutamsaidia sana na kulisaidia sana taifa letu hili!.
Wewe ungemwambia nini Mama Samia?.
Naendelea kusisitiza tujitokeze kwa wingi kuhesabiwa
Asante Rais Samia kwa SMS ya sensa.
Nawatakia Sensa Njema.
Paskali.
Kumsifu mtu yoyote sio kumwabudu!. Karibu mitaa hiih Kumkubali, Kumsifu na Kumpongeza ni Kumheshimu, Sio Kumuabudu, Kumtukuza na Kumsujudu!. Wakuabudiwa, Kutukuzwa na Kusujudiwa ni Mungu Pekee!.Ww ndio unamuabudu hadi kuona sms yake ni bonge la bahati. Sisi wengine wala hata akipita hapo pembeni hatumtetemekei kabisa.
Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist, tujifunze kujibu hoja iliyopo mezani,Pascal mbona heka heka nyingi sana ni huu huu Ubunge wa Akina Shyrose.Bhanji na Le mutuz?
"Ndugu mwandishi nguli, mtangazaji na mwanasheria ninakushauri kwa dhati ya moyo wangu ACHANA na na SIASA kwa mtindo wa kujipendekeza (flattering) jikite kwenye uandishi wa vitabu kwa mabo ya taaluma uliyosomea pamoja na falsafa hautakuja kunisahau kamwe..........", mwisho wa kunukuu wazo langu mwenyewe.. Ukishupaza shingo mwishowe........Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, Rais wa JMT, amenitumia ujumbe mfupi wa maandishi, SMS kuhusu Sensa!.
"Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha kushiriki Sensa tarehe 23 Agosti,2022. Nakusihi utoe taarifa sahihi".
Mimi nimeupata ujumbe huu, vipi wewe mwenzagu, pia umeupata?. Umejisikiaje kupokea SMS ya Rais wa JMT kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu?.
Nani mwenye kumbukumbu yoyote ya Rais wa JMT kuwahi kutuma SMS yoyote kuhusu jambo lolote at person level "
Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha..."
Kwa vile tunatofautiana uelewa, just imagine ungekuwa na uwezo wa kuijibu hii SMS ya Rais Samia, ungekuwa na jambo lolote la kumweleza Rais Samia, ungemwambia nini?.
Mimi kwa upande wangu, ningemsalimia, ningempongeza kwa kazi nzuri, na amini usiamini pia ningemweleza kuwa sitaki uteuzi wowote wa hisani kutoka kwake.
Vipi wewe mwenzagu ungemwambia nini Mama baada ya yeye kukutumia SMS?.
Naendelea kusisitiza tujitokeze kwa wingi kuhesabiwa
Asante Rais Samia kwa SMS ya sensa, tuko tayari kuhesabiwa na tutajiibu maswali kwa usahihi.
Nawatakia Sensa Njema.
Paskali.
Kumsifu mtu yoyote sio kumwabudu!. Karibu mitaa hiih Kumkubali, Kumsifu na Kumpongeza ni Kumheshimu, Sio Kumuabudu, Kumtukuza na Kumsujudu!. Wakuabudiwa, Kutukuzwa na Kusujudiwa ni Mungu Pekee!.
P