Just Imagine Yanga imecheza bila key players na imetoa Draw kwa Mamemlodi, Ndio maana halisi ya kikosi kipana

Just Imagine Yanga imecheza bila key players na imetoa Draw kwa Mamemlodi, Ndio maana halisi ya kikosi kipana

Kwa kupaki bus nyumbani? Ngoja muende kwao na kikosi kamili sijui mtaficha wapi sura... BTW game ya Simba na Al Ahly ilikua kali kuliko hii
Sawa hatujakataa ilikuwa Kali. Je mlishinda goli ngapi?
 
Mbumbumbu aandaeni kondomu mnaenda kuliwa na Mwarabu kule kwao.
 
Nilipokiona kikosi hakina key platers kina Aucho, Yao na Pacome niliwacheka sana Yanga kwamba wamevamia mtumbwi wa vibwengo, Nilikdiria hazipungui nne 4G ila mambo yamekuwa tofauti.

Japo mmecheza kwa kupaki basi na kuzidiwa possesion tena nyumbani [emoji23] ila mmeweza kuzuia aibu ya kufungwa, salute !!

nichukue nafasi hii kuwapongeza mna kikosi kipana.
Huna jipya
 
Nilipokiona kikosi hakina key platers kina Aucho, Yao na Pacome niliwacheka sana Yanga kwamba wamevamia mtumbwi wa vibwengo, Nilikdiria hazipungui nne 4G ila mambo yamekuwa tofauti.

Japo mmecheza kwa kupaki basi na kuzidiwa possesion tena nyumbani 😂 ila mmeweza kuzuia aibu ya kufungwa, salute !!

nichukue nafasi hii kuwapongeza mna kikosi kipana.
Wangefunguka tu yangewapata ya makolokocho
 
Kwa kupaki bus nyumbani? Ngoja muende kwao na kikosi kamili sijui mtaficha wapi sura... BTW game ya Simba na Al Ahly ilikua kali kuliko hii
Hatuja cheza kutafta mechi iwe kali hongereni kwa kupoteza mechi nyumbani na ku possess mpira
 
Hapa mamelod kama kacheza na mbeya kwanza au mbuni Fc
 

Attachments

  • 20240330_215850.jpg
    20240330_215850.jpg
    1.9 MB · Views: 2
Kuna watu jana walishambulia sana kuitafuta hiyo sare wakashindwa. Kama sare ni kitu chepesi mngeipata jana. Au matokeo yenu ya jana mmeyasahau dakika tano tayari ubao umeshabadilika.
Hata simba angepata sare nyinyi mashabiki mavimaandazi mngesema underdog wanashangilia sare..kila timu ishinde mipango yake.
 
Back
Top Bottom