kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,080
- 4,914
Huu ni mwiba kwa ma ukawa. Maana yalishaanza oooo diamond basi tena amekwisha kaingia ccm. Jamani mtu na chama chake. Wasanii wa ukawa hata hata award za kata hawawezi kuwa nominated. Viva diamond, kura yangu ni kwa Magufuri
Kura yangu kwa lowassa but ni shabiki wa diamond platinumz hata sie ukawa pamoja na raisi lowassa tunamvotia sana