Wakuu.
Haki ya Kanumba italindwa na mwenyezi Mungu, Kanumba alifariki ndio aliko tumuombee na haki dhidi yake itendeke, sio Seth na mama Kanumba ndio wanaoumia tu hapana hata wengine tunaumia, tukutane hapa kujadili mawili matatu.
Kanumba tupo na wewe
Lala salama lakini haki itapatikana.
Haki ya Kanumba italindwa na mwenyezi Mungu, Kanumba alifariki ndio aliko tumuombee na haki dhidi yake itendeke, sio Seth na mama Kanumba ndio wanaoumia tu hapana hata wengine tunaumia, tukutane hapa kujadili mawili matatu.
Kanumba tupo na wewe
Lala salama lakini haki itapatikana.