Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Happy birthday Mkuu Mourinho nakutakia maisha marefu Na yenye furaha Na amani.
Mungu akubariki Kiongozi.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona oyaoya mwingine huyu hata unachokiandika hujui halafu unataka battle na mabudula, huyo kilikuu kazaliwa Brazil ikichukua kombe la dunia kule America, Juventus ya yule nguli aliyeenda kufundisha team ya kina Ntuzu ilichukua kombe lini?
Haya njoo ufute hizi kamasi kabla watu hawajaziona
Mara ya mwisho ilikuwa '96 almost 19yrs ago. Sema sasa
Hoja yangu mamito ni kwamba second leg bado haijachzwa. Ikichezwa Na tukapata matokeo Yake hapo tutaweza kusema.
Dalili ya mvua ni mawingu atacheza vizuri sana game ijayo we unafikiri na wao hawamtaki mwali? Tena wakichukua itakuwa ni bonge la mafanikio kwao mwaka huu wamedhamiria kuvunja rekodi, wacha wairudishe wairudishe Italy kwenye ulimwengu wa soka, #ForzaJuve
Kamoyo kanauma ila kuchema chiwezi......hahahahaaa keep it up mamito.
Poyeeeeeeee.....wewe si nilikupa ofa ya kunifundisha kisukuma ukaniletea unyangema wa Pogba.... Lol
Teh teh teh, naona kijana bado ana mawenge ya shughuli ya jana mpaka kasahau nyakati.
Leo media yote inamponda mchezaji ghali duniani kwa kuvurunda jana, wamemuandama kijana wa watu bure bila kuelewa ya kuwa hakuwa na cha kufanya mbele ya Chiellini
Niliwauliza juzi hawa kina Salamander kwa nini Khedira hapati namba wakanijibu kisiaasa, sasa jana wakatuletea yule kichwa maji Ramos kwenye Midfield ya Arturo, Marchisio na St.Pirlo, akaishia kurukaruka tu kama kabanwa na mkojo, Vidal katawala dimba kama anacheza na mji mpwapwa vile
Sebuleni kwa Madrid huwa tuna historia ya kupeleka dhahma pale, Del Pierro alishasujudiwa kwa makofi na vigelegele siku tunamtwaa mwali pale, wiki ijayo itakua zamu ya Andrea
Hahahahaaa Pogba akitua darajani msimu ujao mtajuta mamito
ancelloti amekiri kama pirlo aliwavuruga sana pale kati kwani jinsi alivyokuwa akicheza alisababisha viungo wake waache sana nafasi hivyo juve kuwa huru kushambulia.....halafu uzuri pale olympic stadion tuna upepeo napo (tushaingia fainali mechi ya marudiano ni kukamiisha ratiba) kwani mwaka 2006 mafundi wetu watatu wakiwa na Italy ndo walipobebea ndoo ya dunia....
Fellain...