everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,027
Kwi kwi kwi kwi kwi, tukikaa kimya hawa maoyaoya wanadhani sie madomo zege sijui ingawa mara nyingi tunapenda kuongea kwa vitendo.......huyo Gang Chomba ni nyokolidadu halafu mkuu mwenyewe wa kaya ndiyo huyo myao wa tunduru, nadhani hata ukimuangalia utaelewa huyu ni wakumpa shikamoo
Hahahaha!!! Unaniua kwa cheko hapa maana kila mtu ananishangaa....nyie mmepinda na kunyongorota kabisaaaa!!! Shikamoo wote...... Ntuzu naomba ucheki replay tena hawa jamaa jana wamecheza vizuri wengi hawakutegemea wana haki ya kuongea....
Last edited by a moderator: