Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Barcelona kapata slope....mpira ungekua riadha hata bolt angesajiliwa man u
 

Attachments

  • 1431550914074.jpg
    1431550914074.jpg
    34.3 KB · Views: 121
Tunashuhudia fainal moja mbovu sana ambayo haijawahi kutokea, fainal yenye Magoal mengi zaidi.
 
Hongereni sana wana Juve wote.
Mourinho ZIROseventytwo juve2012 Gang Chomba myao wa tunduru

mimi naomba unipe pole mama.Ndio natoka uvunguni saa hizi.Madrid walipopata penati nilizima tv.nikasikia watu wanashangilia huko nje,nikavaa headphone.dogo akawa anakuja chumbani kugonga mlango anipe updates,nikaingia chini ya uvungu na kutulia huko na saa yangu nikisubiri saa tano na dk 40.Ndio natoka sasa.Nimeambiwa tumeingia final ndio presha imenipanda kabisa.Sijui ushabiki gani huu nashindwa kutazama mechi za Juve roho inahamiaga kooni.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom