Dr Emma John
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 820
- 195
Washabiki wa Juventus napenda kujua toka kwenu, hivi hili jina la utani la Kibibi kizee (the old lady) lilikujaje kwa hii timu!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Always expect the unexpected MosDef
Mourinho naye alikua chini ya uvungu presha ilimshika ya miguu. Hahahahaaa nimemuona Mourinho anapita kimya kwa LIKE
Tunamsubiri Liverpool nae awe sawa tukumbushie ya Belgium 1986
Juve lazima aage fainali ni Mimi Na mamito wangu hahahahaaa
Hongereni sn kwa kuingia fainali uzembe Wa Madrid ndio umewapa nafasi.
Umeumia sana Bianconeri kutimba fainali eeh?
Vua hiyo miwani ya chuki halafu kaangalie replays za both legs then utajua hatupo hapa by chance ila ni mipango thabiti ya Allegri na team yenye spirit ya ukweli ya kibuluda
#FinoAllaFinale
Kiukweli nimefurahi sana kuwaona Juve wakiingia Final, jana wakati narudi nyumbani nikakutana na vijana maeneo flani wakiwa wanajadili mpira, nikawaambia mechi ya leo ni ngumu sana na Real hawezi mzuia Juve asipate goal pale Bernabeu. Penat waliyopewa ilinikera sana, na Ronaldo haya ndio magoli yake kwa Penalty.
Hongereni sana tena sana kwa Final kwa mbinde, huyu Pogba huyuuu!!! Mtoto hatari sana huyu ana Confidence kubwa sana yaani kama Messi vile au Xavi enzi zake, ningependa kumuona akienda kucheza Barcelona mwaka 2016. Safi sana Pogba.
Kwa kumalizia ni kuwaambia tu kwamba, Kombe la UEFA CHAMPIONS LEAGUE HAMTABEBA, hili kombe linaenda kule katalunya CAMP NOU. Kuanzia sasa jipangeni mnavyoweza ili muweze kuwakabili Neymar, Suarez na Messi. Hakika Barcelona hawataacha mbebe hili Kombe.
Washabiki wa Juventus napenda kujua toka kwenu, hivi hili jina la utani la Kibibi kizee (the old lady) lilikujaje kwa hii timu!?
hakuna kitachotuzuia kubeba ndoo labda fainali ingekuwa home and away kidogo mechi ingetiwa ugumu na marefa ila kwa kuwa fainali ni moja tu kilichomkuta dada mtu real madrid na mdogo wake wa kike barcelona kitamkuta hikohiko...ni mwendo wa kuwazimia fegi wale vigoli wao madoido kina messi.....
signora omicidi!

