Huyo naye anaweka uchawi gani humu. Watu tunastress humu.
Buluda leo tunaanza kazi rasmi though ningependa sana Dybala angeanza hii match, Morata angeanzia bench
Tutammiss sana Marchisio, wapi sweetheart everlenk? Ziroseventytwo je na Gang Chomba?
Nipo Darling nami nipo na kibarua kizito na hawa waholanzi ila best naamini kwa pamoja tutashinda,nakutakia kila la heri Sweet mwaaaaa!!!!!
Baraka zako Mamy hizo, si unamuona Mandzukic
Nimemuona baba,sweet mwaga nawe baraka zako mimi huku hali mbaya, bebiii uwiii omba leo unaweza kukosa utamu wako.....
Baby hawa si wametangulia kwa baiskeli ya barafu halafu ndio kwanza hata mchana haujafika, am sure wakija pale 'theatre of dreams' watayeyuka kama laizon,
Halafu mambo ya soka yanaishia uwanjani, utamu wangu na soka wapi na wapi?
Baby hawa si wametangulia kwa baiskeli ya barafu halafu ndio kwanza hata mchana haujafika, am sure wakija pale 'theatre of dreams' watayeyuka kama laizon,
Halafu mambo ya soka yanaishia uwanjani, utamu wangu na soka wapi na wapi?
Sweet England hatuna mpira ni porojo tu zimetujaaa,ligi ngumu twajisifia tukifika kimataifa twachemka..........Sweet leo haki ya nani hupati utamu wako sijui uniguse wapi leo....lol
Ugonjwa wako naujua ila leo sitautumia huo, leo nakuja na clips za alichosema Mbatia dk kadhaa zilizopita na ile ya Lissu aliyotoa Mji kasoro
EPL kuna pesa, mpira uko Spain na kwa Mkoloni, huku kwetu tunachechemea turudie enzi zetu
Hahahahhah!!!! Loh sweet unajua ukitaja mabadiliko ushaniweza haya bana nimekukubali!!!!
Ila leo Sweet umejitahidi sana game haikuwa mbaya nadhani kuanzia sasa mambo yataenda vizuri, Mimi nimefurahi tu heshima yako Imerudi maana leo ungechezea kwa city dohh!! Ingekuwa Habari ya mjini,next game jitahidi, nakutakia mafanikio zaidi..........#ForzaJuve
Angalau CL nitaitizama Juventus huu ushindi utaipa Juventus kuanza kujiamini kushinda game za Sirie A pia taratibu ndio mwendo ila kwenye CL hakuna taratibu kuna kuanza kushinda mapema na ndio Juventus walichofanya.
Tehteh unajuwa kwanini mpira wa EPL wanasema mgumu sababu ya marafu kutotumia akili mbiooo tu bila ya kujua wapi mchezaji anaenda sasa wanaona bonge la mpira wakija kufanya mpira wa tabia hizo na timu za nje wa nashangaa zinapigwa gonga za ulaiini mara mtu anachonga kwa kipimo Goli sio kupiga to shuti la kujaribu Kama EPL! EPL beki anapiga mpira jukwaaani kwa kuokoa iwe wa kurusha basi Mashabiki wanashangilia wanaona kafanya la maana, ligi zengine beki akitokea kupiga nje anapiga kwa taratibu na akipiga nje Mashabiki wanamshangaa sana Spain na Ujerumani ligi wanacheza kwa akili tizama Ujerumani wanakimbia mabio ya EPL ila wakifika Mbele wanajuwa kutoa Pasi sio cross inapindia nyuma ya Goli.Sweet England hatuna mpira ni porojo tu zimetujaaa,ligi ngumu twajisifia tukifika kimataifa twachemka..........Sweet leo haki ya nani hupati utamu wako sijui uniguse wapi leo....lol
Nilimwambia bologna hapo juu kuwa buluda anaanza msimu leo hii, wale wanaotubeza waendelee na ngebe zao sisi tushabadili gia hewani pamoja na mejeruhi na kuondokewa na manguli wetu watatu
Kwa hiyo nikija na hizi video clips ntapata 'maji ya dafu', basi nakuletea na naniii ile unaipendaga sana😍
Nino fine thanks ah nishajifunza nimemuomba mungu msamaha! Hehehe ah siku zile Wenye kazi zao walikuwa majukwaa ya siasa hawakuwa na muda na upuuzi ah nasubiri Rogers kuondolewa lasivyo hizi CL nitakuwa natizama za watu Kama kutizama TV kwa jirani.Sawa sawa kabisa leo karata zimechangwa vyema, Pazi nimekuona nimefurahi sana, vipi leo uko sawa mtani wangu? Hahahahaha......nilijua uko banned aiseee!!!!