Juventus Special Thread

Dirisha hili la usajili naona watu wakiongozwa na Conte wanataka kuibomoa kabisa Juve,.......Pogba, Dybala, Morata, Bonucci, Assamoah wote hawa wanaweza kuuzwa kwenye dirisha hili
Sijamsikia Marota hata kidogo, sijui nyie wenzangu
 
Dirisha hili la usajili naona watu wakiongozwa na Conte wanataka kuibomoa kabisa Juve,.......Pogba, Dybala, Morata, Bonucci, Assamoah wote hawa wanaweza kuuzwa kwenye dirisha hili
Sijamsikia Marota hata kidogo, sijui nyie wenzangu

Juve haiwezi kubomolewa Marota ni mmoja ya wataalamu wa usajili barani ulaya kwa sasa,aliyemzidi labda ni Rumeniege wa Bayern kumbuka aliwasajili bure Pogba,Pirlo,Khedira na Tevez,Dybala,Morata,Vidal,Evra na msimu huu Pjanic na Alves wameshatua mchezaji anayeweza kuondoka ni Pogba na Juve itapata hela ya kutosha
 
Ahsante Belo
Unaona mziki tunawapeleka mpelampela warembo wa Belgium?
 
Ahsante Belo
Unaona mziki tunawapeleka mpelampela warembo wa Belgium?
Namkubali sana Conte pamoja na kuwa na wachezaji vimeo(viungo na washambuliaji) lakini i hope Italy itafuzu next round
 
Ulaya kuna chalenge kubwa tangu wauchukue ubingwa wa ulaya mara ya mwisho wameingia fainali 4 na zote wamefungwa.Milan ndio wanaiweza UEFA

Kama serie A imewashinda na inter wake,je UEFA wataweza?
 
Kama serie A imewashinda na inter wake,je UEFA wataweza?

Miaka 10 iliyopita Juventus walikuwa kwenye hali mbaya mno kuliko hali waliyo nayo Milan kwa sasa.Berlusconi ameshindwa kuijenga upya Milan kama akifanikisha kuiuza naamini Milan itarudi
 
Nipo Sweetheart, nimekumiss
Woooohhhh I can't believe aiseeeee usijifiche tena......Leo nitakuota !!!!!......

Nipe Habari za Juve yaani Toka mtuuzie Yule Nyangema basi sijawafatilia tena.....ligi inaendaje? mnalisongesha bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…