Mkuu Gang Chomba. Conte akifanya hivi, Bayern lazima afe. Sema utaona madudu atakayofanya siku hiyo. Ukiona kikosi hiki agiza kahawa unywe.
Bufon
Barzagli Bonucci Chielini
Kwado Pirlo De Ceglie
Pogba Marchisio
Qugliarela Vucinic
Huku Barca keshapigwa kimoja.
Mkuu nani amefumga
Now, we are definitely out of the Champions League!
From will Juventus qualify for the champions league to?
Barca kachomoa baada ya Messi kuingia na jamaa wamepoteana washakubari matokeo.
Painful to watch for any Juve fan. Goli nne?
Mkuu embu funguka hizo 4 zote leo au aggregate?
Painful to watch for any Juve fan. Goli nne?