Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wazima leo wameshikwa vibaya,wanachezewa nusu uwanja.kweli Milan kushney!tunambwela tu tungepiga hata tano!
Leo hata sina hamu ya kumtania Chomba manake hapa hana timu.hakuna upinzani kabisa!timu mbooovu.beki zao za kati akina Zapata hawaelewani na Conte kawaona akawaingizia "panya" Giovinco.
Definitely, leo tume capitalize kwenye makosa ya Milan, hakuna cha maana tumefanya
Leo Vidal alikua Chile, kazi ikabaki kwa Pirlo, tunamtegemea sana huyu mzee halafu kina Marota wanasuasua kumpa mkataba mpya, na usijekushangaa akaondoka
Team mbovuuu, itakua miujiza kama tutatetea scudeto
Usishangae akatimkia AS Roma next season...
Maana kashamalizana na Inter, AC na sasa yupo under nyie...
Shukran kwa kunistiri mzee mwanzangu...dah
wkiendi hii nzuri sana baada ya GC kupata kichapo cha kiaina toka kwa vibibi nimefurahi sana..
ndio soka hilo bana...hah hah kama mi nilivyofurahi mlivyonusishwa ugolo na Bayern wiki ilopita
Juventus are reportedly contemplating a
January bid for Real Madrid's Fabio Coentrao. The Portuguese star almost left the Santiago
Bernabeu in the summer with Manchester
United close to completing a loan switch, while
the Bianconeri themselves are well know to be
looking for a left-back. According to Mundo Deportivo, the player will
look to leave the Spanish side in the January
transfer window after starting just three La Liga
matches this season....
Ukisikia kuchanganyikiwa ndo huko...watu mna Kwadkwo Asamoah na Giorgio Chielini lakini mnataka kumtumbukiza na huyo dogo...
Badala msake playmaker wa kumlisha Tevenga mnakazi ya kumbwela tu...
Huyo ndio Marrota na Conte wake. Timu inacheza vibaya msimu huu. wenyewe ndio wanaona timu nzurii. Amakweli tunatofautiana mitazamo. Tevez yule ilibidi aambiwe azurure tu uwanjani maana jinsi wanavyomchezesha ni majanga tu. Yan nikimwangalia Gelvinho anavyocheza roma ROHO inaniuma sana.
Siku ya leo haikua nzuri kabisa kwangu, nyumbani mpaka half time tulikua mbele kwa goal tatu, GOAL TATU!
Huko majuu mpaka half time tulikua kifua mbele kwa Bao Mbili.
Jumatano huko Santiago Bernabeu sijui itakuaje, hata sitaki kujua. Ngoja nijipoze na Bacardi + Embassy, nikalale
USENGErema huu!
cc: juve2012, Gang Chomba, bologna
we acha tu!hatuna wakurugenzi wala kocha Juve.nishagundua very serious administrative and technical problem!ngoja nikashangilie river plate kwa muda manake ulaya pachungu!
teh teh leo hii Duka limegeuka Genge?
Yakhe kweli leo hii Conte mavi matupu?