Safari inawadia Bioncaneri
Inabidi title ya zamani ya hii thread irudishwe.
Doh!!
Ukiingia uwanjani kutafuta draw matokeo yake huwa hayana tofauti na haya.
Tunaenda Europa sasa, na najua Conte atakuja kujitetea uwanja mbovu
Sneijder................
Sneijder................
Juve were doing time wasting kumbe.............
Huyu alitufaa sana Old Traford ,na nina wasiwasi huenda Man United akapangwa dhidi ya Gala next round
Huyu alitufaa sana Old Traford ,na nina wasiwasi huenda Man United akapangwa dhidi ya Gala next round
Gala? Sio Dortmund?
Dk ya 80 watu wanaenda kwenye kibendera kupoteza muda.
Hatukustahili kushinda hii match because we didn't do enough to win it
Unfortunately, the Instabul snow didn't save Juventus as the Belgrade fog saved AC Milan.