Juventus Special Thread

Hawa Roma wamepatwa na nini? Kuna kitu hakipo sasa pale clubuni kwao. Hii club si imechukuliwa na mwekezaji? Afanye mabadiliko makubwa akichukuwa ushauri kwa watu kama Sacchi, Lippi na kina Cappello. Ovyo kabisa


majuzi Rudi Garcia alisema kama Roma wangekuwa wanafuata maelekezo yake basi wangeshinda kila mechi
 
Mourinho wee!njoo umuone pweza wetu wa kijerumani kapatia utabiri huku!huyu pweza ni hatari!ngoja tuanze kula kuku manake nusu fainali tumeshaingia.


Mkuu kwa haraka haraka unaweza ukasema umeshaingia nusu fainal....lkn kwa mtazamo wangu hizi timu za Ufaransa sio za kubeza hata kidogo. hasa hawa Monaco ingawa unaweza sema PSG ni wazuri kuliko Monaco lkn mashindano ya UEFa ni magumu sn na timu zinajiandaa sn....ngoja tuone ingawa waitali nao wana sifa zao babkubwa ktk hatua za mitaona km hii.
 
Last edited by a moderator:
Mourinho wee!njoo umuone pweza wetu wa kijerumani kapatia utabiri huku!huyu pweza ni hatari!ngoja tuanze kula kuku manake nusu fainali tumeshaingia.

Mzee mwenzangu nilikua safari kidogo, huyu pweza huyuu! Hahahahahahahahaaa, Uefa hii inaweza kuwashangaza baadhi ya vigogo, ile combo ya Carlitos na Morata hakuna beki inataka kukutana nayo
#FinoAllaFine #ForzaJuve #Juventino
 
Last edited by a moderator:


hao watawasumbua wasichana wenzao bana...
juve msimu huu kakipata kitu alichokitafuta kwa muda sana. juve amemtafuta Dortmund tangu 97...
na alipomkamata nadgani umeona jinsi Dortmund alivyoondoka huku akiwa kalowa masaburi...

sasa next ni kombe ambalo tangu 96 hajalibeba.
juve kwa sasa watacheza huku wakiwa na umakini wa hali ya juu coz ni wazi wanalitaka kombe hili ili heshima ile ya Juve ipate kurudi...na si tu heshima ya Juve bali ni heshima ya Serie A
 


Juve anaweza kupata matokeo mabaya akiwa kwake ktk huo mchezo na hao Monaco kwasababu nimeona timu zinapokua Away ndio zinafanya vzr sn....

Nafikiri Juve kuingia Fainali ya UEFA ya mwisho ni zaidi ya miaka kumi iliyopita pale walipoingia na Ac Milan.....na pia nafikiri wakati ule hizi timu za Italy zilikua imara sn maana wakati huo ata Waitaly wenyewe walikua wana vipaji vingi sn na wanacheza mpira wa kufa mtu....na km unakumbuka hizo timu kubwa wakati huo zilikua tatu Internazionale, Ac Milani na Juve....hizi timu ndio zilikua chachu ya timu ya taifa ya Italy ile iliyo sumbua sn pale Ujerumani na kuchukua kombe la Dunia mwaka 2006.

Hivi vita ni vigumu kwa Juve safari hii ingawa km wataweka nguvu na kurudisha ile hari iliyokuwepo wakati ule basi tunaweza kuiona Juve ikifika mbali...

Mnaweza mkasukuma nje Monaco lkn Monaco watakuja wakiwa tofauti sn tena sio km hawa waliocheza juzi na Arsenal...
 
Ntuzu sabato njema
Tuwe wakweli tu, Monaco ni team mbovu sana, sikutegemea Arsenal atolewe na hawa vibonde kwa kweli. Sisi tunawaza tutakutana na nani kwenye semis na si bao ngapi tutawakamulia hawa vilaza
 
Last edited by a moderator:
juzi Pirlo hakuwepo then Pogba akaumia mapema tu mpira ukiwa 1-0...
je kilichotokea ulikiona?

juve timu pana sana...usipate mawazo

Yule Marchisio ni midfield maestro, balaa sana huyu buluda na Vidal 'El Guerrello' yule generali wa vita anarudi katika ubora wake, Pogba akiwahi kupona atakua bonus tu
 
Ntuzu sabato njema
Tuwe wakweli tu, Monaco ni team mbovu sana, sikutegemea Arsenal atolewe na hawa vibonde kwa kweli. Sisi tunawaza tutakutana na nani kwenye semis na si bao ngapi tutawakamulia hawa vilaza

Nijema sn mkuu na ina mambo mema.

Nakubali kua Monaco ni timu mbovu lkn kwa kawaida ya haya mashindano timu zinajiandaa vzr sn na kumsoma adui sn...kwahiyo tusichukulie kua tutawasukuma nje tu hawa Monaco....PSG kwa chelsea ilikua ni km hivi ata mimi mwenyewe nilikua nafahamu kabisa kua PSG tutawatoa pamoja na kua PSG ni wazuri kuliko Monaco lkn haya mashindano ni magumu sn mkuu.

Juve ana nafasi kubwa km ilivokua kwa Arsenal lkn mambo yalikua tofauti mkuu kwa Arsenal

Anyway, tusiseme mengi tusubiri tuone hapo baada lkn kwa sasa hizi hatua mambo ndo yatakua magumu sn.
 
Last edited by a moderator:

Usiifananishe PSG na Monaco, wakati PSG wameendelea kuimarika hasa psychologically hawa Monaco wamekua weakened kwa kawapoteza wachezaji wao wawili muhimu, Rodrigez na Falcao na kuandamwa na majeruhi ya mara kwa mara hasa kwa maveterani kama Cavalho na Tulalan
Hebu angalia kikosi cha PSG halafu niambie team ngapi Ulaya zinaweza kuimatch PSG kwa individual talent and squad depth, can the same be said about Monaco? Akiumia Moutinho, nani mbadala wake? Ingawa nyie Chelsea mlitolewa kwa uzembe wenu wenyewe.
Juventus sio Arsenal Mkuu, mawazo yetu yapo kwenye semis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…