Bwana wee, kuna wachezaji wanakua overlooked kwa kweli, huyu Mkhitaryan nilianza kumpenda toka yupo Shakhtar Donetsk, Liverpool wakambwelambwela naye mpaka akatua Dortmund. Jamaa anajua sanaaa, yaani hawa ordinary no.10s wanaosifiwa kwenye ligi makelele kina Ozil, Oscar, Mata hawamgusi hata kidogo
Hao jamaa naweza sema walifanya wrong choices, unapoenda Madrid, Bayern au Man United ujue unaenda kwenye clubs kubwa kabisa duniani, pressure ya kufanya vizuri ni enormous and a stiff competition for first IX positions
Gotze sijui ni utoto au ulimbukeni, mashavu ya Bayern kuna Robben na Ribery, Sahin alikua mjinga kudhani atachukua namba kwa Alonso na Khedira, Kagawa hakupewa nafasi kwa kweli, ila Lewandoski ni kubaniwa tu, jamaa yuko vizuri sana, kama Ibra alibaniwa na Pep hata sishangai kwa Lew