Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

ImageUploadedByJamiiForums1430590686.340406.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1430590709.355899.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1430590729.387467.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1430590944.205651.jpg

Grande 🙏
 
Mourinho anajua kuwa shuguli ishaisha ndio maana anachunga kauli zake mwenye ujasili wa kubishana na ukweli kwa makusudi ni Gang Chomba lkn leo tutawachangamsha tu watake wasitake.

cc Gang Chomba
 
Last edited by a moderator:
Mourinho anajua kuwa shuguli ishaisha ndio maana anachunga kauli zake mwenye ujasili wa kubishana na ukweli kwa makusudi ni Gang Chomba lkn leo tutawachangamsha tu watake wasitake.

Teh teh teh, naona vijana mnaanza kutukana mamba ilhali hamjauvuka mto.
Leo mtakutana na buluda aliyeshiba ugali wa muhogo, sato wawili wakubwa pamoja na kisamvu cha karanga, hapa tunashushia na karanga mbichi na mtindi kuwasubiri kina Christina wazame gheto tuseme nao
Nadhani wengi mnajua kuwa 'kikojozi hapati usingizi ugenini'

#ForzaJuve
 
Humu ndani mpo!? Gharika kuu linakuja na nyie bado mmelala tu!?

cc Mourinho

Hakuna gharika wala masika,
naona mnanena kwa mashaka,
mioyoni mkijua aibu yenu ishafika,
Kina Christina mabao tutawapachika,
Miti tutaisimika viuno wakikatika,
Hii ndio Juventus, chama la uhakika

#ForzaJuve
 
Last edited by a moderator:
Hakuna gharika wala masika,
naona mnanena kwa mashaka,
mioyoni mkijua aibu yenu ishafika,
Kina Christina mabao tutawapachika,
Miti tutaisimika viuno wakikatika,
Hii ndio Juventus, chama la uhakika

#ForzaJuve

Teh Teh Teh... kumbe umo hadi katika kupanga vina na tungo kali... basi lazima leo mshikishwe maiki muimbe ala za roho..

#zingiPuliZingiPuli
 
Teh teh teh, naona vijana mnaanza kutukana mamba ilhali hamjauvuka mto.
Leo mtakutana na buluda aliyeshiba ugali wa muhogo, sato wawili wakubwa pamoja na kisamvu cha karanga, hapa tunashushia na karanga mbichi na mtindi kuwasubiri kina Christina wazame gheto tuseme nao
Nadhani wengi mnajua kuwa 'kikojozi hapati usingizi ugenini'

[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=ForzaJuve]#ForzaJuve [/URL]

Maombi yangu yapo pamoja nawe hakika napenda kukuona fainali nawe utuombee mimi na daddy wangu Aleyn tumshinde Bayern fainaly tuwe pamoja. . .......dah!! Itakuwa njema hiyo....

#ForzaJuve
#VarmosBarca
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Road to final in berlin lazima akae,, wapi carlito wapi llorente..

forza juventus
 
ha ha haa! I missed you guys dah!@ Mourinho bhana!

Wakati na log in I had a feeling kwamba ntakutana na ndugu yangu, welcome back, pole na safari na hope ilikua ya mafanikio na umeikuta familia iko okay
Juventus tupo tunalisongesha kibishi na tumejiandaa kuushangaza ulimwengu wa soka usiku huu
#FinoAllaFine
 
Back
Top Bottom