Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juveeee, Come oooooooon!!!!
Forza forza forza Bianconeri
Jamaa zako juzi wametolewa kamasi na Valencia huku wakisweat kuhusina na afya ya Kroos, sasa ngoja keshokutwa watupangie mtu wa kulala Mwaisera na kichwa maji Ramos tuwachezeshe mdundikoo, mdundikoo (kwa sauti ya Dr.Remmy Ongala)
Wamesema Kroos atakuwepo. Ila naamini Pogba nae ataleta ushindani mkubwa tuu.
Hawana namna lazima wampange hata kama alitakiwa aspend muda huo pale mwaisera
Pogba kapasha juzi na akatupia, so keshokutwa we'll unleashed the Pogboom
Harafu Mkuu mtu kutolewa kwako inaumaaa!!!! We sikia tuu.
Hawana namna lazima wampange hata kama alitakiwa aspend muda huo pale mwaisera
Pogba kapasha juzi na akatupia, so keshokutwa we'll unleashed the Pogboom
huyu blazameni sitegemei kama atawika pale santiago. . .
Umeanza lini kupiga ramri mwanakwetu?
aaah hii sio ramri buluda... hawez kuwaumiza waajiri wake watarajiwa, si nasikia los blancos wanasema dogo mwakan yumo kwao!??
Umeanza lini kupiga ramri mwanakwetu?
Tangu lini Bibi Kizee akacheza fainali????? Fainali El Classico!! Madrid v/s Barca.
Mabuluda ndani ya Bernabeu, Allegri anasema kuna uwezekano mkubwa Nyangema Pogba akaanza game
View attachment 251408
View attachment 251410
View attachment 251411
View attachment 251412
View attachment 251413
hizo imani ndo watu hatutaki kuzisikia.