Mazembe ni mateam ya EPL, huwa wananunua wachezaji kwa bei za kufuru na mishahara ya kufuru pia, mshahara wa Pogba ukienda EPL utakuta analipwa mtoto wa Academy
Harafu wanachokicheza jeee!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazembe ni mateam ya EPL, huwa wananunua wachezaji kwa bei za kufuru na mishahara ya kufuru pia, mshahara wa Pogba ukienda EPL utakuta analipwa mtoto wa Academy
Twende mbele turudi nyuma, nyie Madrid wazembe sana, hivi ni kweli mnashindwa kumuuza Bale kwa pesa ambayo Man U wanatoa au Chelsea kisha mkasahili Wing nyingine nzuri kuliko yule jamaa. Mpira anaocheza na pesa yake haviringani kabisa.
Harafu wanachokicheza jeee!!??
Ni mbio na kusukumana tu
Hahahahaha kuna MwanaJf mmoja kasema Timu kama Stoke City ilipaswa ipelekwe katika mieleka na sio kwenye uwanja wa mpira wa miguu. Nilicheka sana aseee!!!!
Kwa kuipondea EPL sikuwezi ngoja Man U tumerudi tutarudisha heshima..... Tehe tehe .....
Kwa kuipondea EPL sikuwezi ngoja Man U tumerudi tutarudisha heshima..... Tehe tehe .....
Hivi ikitokea wanacheza United vs Barca, unakaa upande gani?
kweli una mahaba na huyu kibaka Mourinho, yeye ndo kaanza kusema EPL ni kukimbizana na kusukumana, mbona yeye hujamquote!? Dota wangu kipenzi, achana na huyu muhuni, atakuharibia ndoa yako, nisikilize mimi baba yako, nimeona mengi sana chini ya jua.
Ama kweli leo umeshinda buguruni, wewe endeleza siasa zako za majitaka ila kesho me na everlenk tunaingia kanda ya kati kuwashuhudia Bianconeri wakichukua ubingwa wa Ulaya
Mourinho mwanetu huwa anakuja kutupa support mitaa yake ni Chelsea na Liver usifikiri tumejuana mtaa wa Juve? Shauri yako wewe piga majungu utachekwa.......... Lakini wewe babangu ukipita mitaa yetu ni kuachia kicheko kwa binti yako tena siku hiyo nakuwa nimeumizwa utanicheka weeee mpaka uridhike.kweli una mahaba na huyu kibaka Mourinho, yeye ndo kaanza kusema EPL ni kukimbizana na kusukumana, mbona yeye hujamquote!? Dota wangu kipenzi, achana na huyu muhuni, atakuharibia ndoa yako, nisikilize mimi baba yako, nimeona mengi sana chini ya jua.
Mourinho mwanetu huwa anakuja kutupa support mitaa yake ni Chelsea na Liver usifikiri tumejuana mtaa wa Juve? Shauri yako wewe piga majungu utachekwa.......... Lakini wewe babangu ukipita mitaa yetu ni kuachia kicheko kwa binti yako tena siku hiyo nakuwa nimeumizwa utanicheka weeee mpaka uridhike.
Mourinho ushamharibu mwanangu, ona majibu anayonipa!!! Dota umenikera sana yaani sijui hata nikufanyeje.
Oh!! Daddy samehe mimi,daddy n dota are friends...... Kesho tu daddy nipo mikono salama........ Sasa tunahesabu masaa tu kombe lije Spain.....hapa najua utacheka na nimesamehewa...lol
#VamosBarca
#ForzaJuve