Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

To be fair, City were lucky to have held the lead at all – Kompany clearly fouling Giorgio Chiellini for the opening goal after 57 minutes. ImageUploadedByJamiiForums1442352010.215768.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1442352032.416223.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1442352051.549018.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1442352066.649325.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1442352082.231714.jpg
 
Nino fine thanks ah nishajifunza nimemuomba mungu msamaha! Hehehe ah siku zile Wenye kazi zao walikuwa majukwaa ya siasa hawakuwa na muda na upuuzi ah nasubiri Rogers kuondolewa lasivyo hizi CL nitakuwa natizama za watu Kama kutizama TV kwa jirani.

Hahahahha pole sana hivi siku ile ulikuwa hujatupia mambo yetu yaleee maana sentensi zilikuwa nzito sana......tatizo nyie mnaweza kuivumilia ndoa aiseee!!! Naskia BR kapewa mechi 5 asipofanikiwa ni bye bye....usijali Hapa ndo Home kwako Kwenye CL utakuwa unawasindikiza Juve taratibu.
 
Kutokana na majukumu ya hapa na pale, leo nimekosa kuangalia ufunguzi wa hatua ya makundi.
Ila niwapongeze Juventus kwa kuwachapa Man City. Tuwaache EPL wapige soka l mdomoni ila Spain, Italy na German tucheze soka la maana.
Hongereni sana Juventus kwa kuwabatua vibonde.
 
Hahahahha pole sana hivi siku ile ulikuwa hujatupia mambo yetu yaleee maana sentensi zilikuwa nzito sana......tatizo nyie mnaweza kuivumilia ndoa aiseee!!! Naskia BR kapewa mechi 5 asipofanikiwa ni bye bye....usijali Hapa ndo Home kwako Kwenye CL utakuwa unawasindikiza Juve taratibu.

Me sijatembelea hawa jamaa zangu kule kina MosDef, Janjaweed, Malafyale na majogoo wote maana najua 'mudi' siyo mzuri kule kama ilivyokua hapa kwetu, shukrani kwa matokeo ya leo tutakunywa na maji
Anyway soka linaharibiwa na kiasi kikubwa cha pesa kilichopo siku hizi pamoja na milingula wanayokula kina Blatter, pamoja na kushangilia matokeo ya leo sijaona kitu ambacho ntalala natamani nikione tena ndotoni, sijaona mafundi wa kuchezea mpira, mafundi wa chenga, kanzu, dalizi, tobo, mashuti ya wanaume waliokula wakashiba ila nimeona machezaji yanayocheza kama maroboti tu
Utamu kwenye soka unakwisha kila uchao, watoto hapa ilikua mvutano, wao wanataka kusikiliza UKAWA mie sielewi kitu na Bianconeri yangu, mpaka najiuliza hawa watoto wanapata wapi hamu ya siasa kuliko kabumbu?
Kwa hiyo ndugu zangu wa Liverpool hata siwasikitii sana, hata siku nikiacha kuchangia humu wala msishangae, yamebaki mazoea tu ila lile soka tumekua tunaliona halipo, ndio maana kina Cristiano Ronaldo na wao ni wachezaji bora wa dunia kwa sababu mafundi wa kiwango cha Riquelme tu hawapo dunia nzima
 
Last edited by a moderator:
Me sijatembelea hawa jamaa zangu kule kina MosDef, Janjaweed, Malafyale na majogoo wote maana najua 'mudi' siyo mzuri kule kama ilivyokua hapa kwetu, shukrani kwa matokeo ya leo tutakunywa na maji
Anyway soka linaharibiwa na kiasi kikubwa cha pesa kilichopo siku hizi pamoja na milingula wanayokula kina Blatter, pamoja na kushangilia matokeo ya leo sijaona kitu ambacho ntalala natamani nikione tena ndotoni, sijaona mafundi wa kuchezea mpira, mafundi wa chenga, kanzu, dalizi, tobo, mashuti ya wanaume waliokula wakashiba ila nimeona machezaji yanayocheza kama maroboti tu
Utamu kwenye soka unakwisha kila uchao, watoto hapa ilikua mvutano, wao wanataka kusikiliza UKAWA mie sielewi kitu na Bianconeri yangu, mpaka najiuliza hawa watoto wanapata wapi hamu ya siasa kuliko kabumbu?
Kwa hiyo ndugu zangu wa Liverpool hata siwasikitii sana, hata siku nikiacha kuchangia humu wala msishangae, yamebaki mazoea tu ila lile soka tumekua tunaliona halipo, ndio maana kina Cristiano Ronaldo na wao ni wachezaji bora wa dunia kwa sababu mafundi wa kiwango cha Riquelme tu hawapo dunia nzima

Huku kwetu hamna kipya kwa sasa,tunasubiri tu BR afukuzwe!Hongereni sana "Old lady"walistahili kushinda

Teams za EPL utumbo mtupu na nina wasiwasi UEFA watatupa teams 3 badala ya 4 mwakani
 
Last edited by a moderator:
Me sijatembelea hawa jamaa zangu kule kina MosDef, Janjaweed, Malafyale na majogoo wote maana najua 'mudi' siyo mzuri kule kama ilivyokua hapa kwetu, shukrani kwa matokeo ya leo tutakunywa na maji
Anyway soka linaharibiwa na kiasi kikubwa cha pesa kilichopo siku hizi pamoja na milingula wanayokula kina Blatter, pamoja na kushangilia matokeo ya leo sijaona kitu ambacho ntalala natamani nikione tena ndotoni, sijaona mafundi wa kuchezea mpira, mafundi wa chenga, kanzu, dalizi, tobo, mashuti ya wanaume waliokula wakashiba ila nimeona machezaji yanayocheza kama maroboti tu
Utamu kwenye soka unakwisha kila uchao, watoto hapa ilikua mvutano, wao wanataka kusikiliza UKAWA mie sielewi kitu na Bianconeri yangu, mpaka najiuliza hawa watoto wanapata wapi hamu ya siasa kuliko kabumbu?
Kwa hiyo ndugu zangu wa Liverpool hata siwasikitii sana, hata siku nikiacha kuchangia humu wala msishangae, yamebaki mazoea tu ila lile soka tumekua tunaliona halipo, ndio maana kina Cristiano Ronaldo na wao ni wachezaji bora wa dunia kwa sababu mafundi wa kiwango cha Riquelme tu hawapo dunia nzima

Uwiiii siku ukiacha sweet utaniua, twende hivyo hivyo tutafika tu mdogo mdogo......Sweet mpira siku hizi Hamna kabisa hata kule kwenye chimbo lenyewe la mpira America ya kusini vipaji vimekuwa Nadra sana sikuhizi pesa inatuharibia utamu wa soka. Hao watoto nimewapenda bureeee .....lol.
 
Last edited by a moderator:
Ulinichukulia Nokia Asha yangu, kijana mkabaji wewe.

Ndorobo wewe, kule kimboka huwa unaenda kunywa viroba feki ndio vibaka walipita kwenye mifuko ya kibaka mwenzao mzoefu. Hivi Nokia Asha inafananaje kwanza?
 
Uwiiii siku ukiacha sweet utaniua, twende hivyo hivyo tutafika tu mdogo mdogo......Sweet mpira siku hizi Hamna kabisa hata kule kwenye chimbo lenyewe la mpira America ya kusini vipaji vimekuwa Nadra sana sikuhizi pesa inatuharibia utamu wa soka. Hao watoto nimewapenda bureeee .....lol.

Ntakua nasoma nondo zako darling, siku hizi huwaoni kina juve2012, Viper, myao wa tunduru hata Gang Chomba kuingia humu mpaka awe amepata cha Arusha, kwa sababu hakuna tena msisimko kwenye soka
Ila wewe my darling utamu wako unaongezeka kila uchao, mtamu kuliko mcharo, Aleyn asituletee uchuro, ntakuja kumlaza kwenye mitaro, mie kijukuu cha Bianconero
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1442358052795.jpg
    1442358052795.jpg
    26.5 KB · Views: 45
  • 1442358081963.jpg
    1442358081963.jpg
    19.3 KB · Views: 45
  • 1442358128843.jpg
    1442358128843.jpg
    23.8 KB · Views: 43
  • 1442358150825.jpg
    1442358150825.jpg
    40.5 KB · Views: 44
  • 1442358170225.jpg
    1442358170225.jpg
    42.6 KB · Views: 46
  • 1442358195354.jpg
    1442358195354.jpg
    26.9 KB · Views: 45
  • 1442358219783.jpg
    1442358219783.jpg
    38.1 KB · Views: 45
  • 1442358244813.jpg
    1442358244813.jpg
    20.5 KB · Views: 44
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1442359390640.jpg
    1442359390640.jpg
    46.6 KB · Views: 48
  • 1442359412698.jpg
    1442359412698.jpg
    38.9 KB · Views: 49
  • 1442359432338.jpg
    1442359432338.jpg
    42.8 KB · Views: 44
  • 1442359454867.jpg
    1442359454867.jpg
    41.2 KB · Views: 46
  • 1442359477467.jpg
    1442359477467.jpg
    42.8 KB · Views: 44
  • 1442359517917.jpg
    1442359517917.jpg
    22.5 KB · Views: 44
Juve is back
 

Attachments

  • 1442774822717.jpg
    1442774822717.jpg
    32.3 KB · Views: 56
  • 1442774846012.jpg
    1442774846012.jpg
    40.9 KB · Views: 59
  • 1442774865591.jpg
    1442774865591.jpg
    78 KB · Views: 54
  • 1442774898341.jpg
    1442774898341.jpg
    35.9 KB · Views: 57
  • 1442774928261.jpg
    1442774928261.jpg
    26 KB · Views: 56
  • 1442774956141.jpg
    1442774956141.jpg
    64 KB · Views: 55
  • 1442775029421.jpg
    1442775029421.jpg
    37.8 KB · Views: 56
  • 1442775055441.jpg
    1442775055441.jpg
    56.3 KB · Views: 55
  • 1442775080301.jpg
    1442775080301.jpg
    43 KB · Views: 59
  • 1442775110291.jpg
    1442775110291.jpg
    19.7 KB · Views: 52
  • 1442775148431.jpg
    1442775148431.jpg
    45.4 KB · Views: 50
#ForzaJuve
 

Attachments

  • 1442775223904.jpg
    1442775223904.jpg
    37.2 KB · Views: 51
  • 1442775251491.jpg
    1442775251491.jpg
    42.5 KB · Views: 52
  • 1442775283412.jpg
    1442775283412.jpg
    48.5 KB · Views: 52
  • 1442775316191.jpg
    1442775316191.jpg
    27.3 KB · Views: 52
  • 1442775343031.jpg
    1442775343031.jpg
    24.6 KB · Views: 52
  • 1442775376691.jpg
    1442775376691.jpg
    40.9 KB · Views: 50
  • 1442775410691.jpg
    1442775410691.jpg
    66.9 KB · Views: 52
  • 1442775438499.jpg
    1442775438499.jpg
    34.3 KB · Views: 52
Back
Top Bottom