Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Dady daahh!! Acha tu leo tumfariji tu Mou yaani daaahh!! Inaumizaa!!......... Ila na nyie Barca nyie ndo wachawi mlikamia sana Juve ashinde mumcheke RM matokeo kibao kimegeuka!!
Na picha nilishazidownload kwenda kuchafua jukwaa la madrid. Kilichoniuma zaidi ni Ronaldo kuchukua Ballon nyingine.

Usionekane kwenda kutoa pongezi ule mtaa maana wewe kwa kujipendekeza hujambo.
 
Na picha nilishazidownload kwenda kuchafua jukwaa la madrid. Kilichoniuma zaidi ni Ronaldo kuchukua Ballon nyingine.

Usionekane kwenda kutoa pongezi ule mtaa maana wewe kwa kujipendekeza hujambo.
Ayaaaa!!! Ndo nimetokaaa......
 
Yaani hilo ndo lilikuwa kosa kubwa sana daaah!! Dybala anavyolia i feel him.... amekula kiatu sana kipindi cha kwanza,alicheza kwa kujituma anyway ndo mpira huo!! Kila unaporuhusu kosa ndo goli.
Halafu kipindi cha kwanza Juve walikuwa wana advantage, wangeweza hata kuwatafutia red card real Madrid sema basi tu hawana watu wanaojua kucheza kihuni kama ramos!
 
Na picha nilishazidownload kwenda kuchafua jukwaa la madrid. Kilichoniuma zaidi ni Ronaldo kuchukua Ballon nyingine.

Usionekane kwenda kutoa pongezi ule mtaa maana wewe kwa kujipendekeza hujambo.
Pole dady bana hili soka tu usimind wala nini!! Ndo hivyo mwaka wake huo haipingiki take it easy...... kuwa fixed tu!! Spain mwenzio amekulipia kisasi hahah (uwiii napigwa huku)
 
07a233b867914d7d70131b5dbd9db7c7.jpg
 
Lakini kwa upande mwingine juve nao wamajitakia!! Beki zao zimekatika sana Leo utafikiri walikuwa hawachezi na real Madrid na higuan nae sijajua ni kwanini kacheza dakika zote zile
Yap!! Beki ya Leo imezingua aisee,labda huenda walikuwa wanamshangaa Philip Inzaghi.

Kwa mbali D.alves Leo alikuwa anachechemea.
 
Mwili haupo vyema Wakuu, najihisi kuchoka mara kutapika, yaani kama Mjamzito vile.

Everlenk ni_PM.
 
Mwili haupo vyema Wakuu, najihisi kuchoka mara kutapika, yaani kama Mjamzito vile.

Everlenk ni_PM.
Uwiiii dady please!! Embu usikate kwa rohoooo!! Mie dauta wako iko bado kukuhitaji sana pleaseeeeee!! Take it easy banaaaa!!!.....maumivu yaache kwenye TV...... duhhh leo ninalo huku dady huku mupenzi!!
 
Yap!! Beki ya Leo imezingua aisee,labda huenda walikuwa wanamshangaa Philip Inzaghi.

Kwa mbali D.alves Leo alikuwa anachechemea.
Marking ya Leo ilikuwa mbovu sana na tangu first half.

Halafu higuan sio kila mechi anastahili kuanza na pia Eduardo sio kila mechi lazima atokee benchi.
 
Nenda zako London!! ..... upo best?? Missing you.... naona mwaka wako kote kote ng'ari ng'ari!!!

Mimi nikose hapa
Twamshukuru Mungu maana kumeshinda vita kubwa dhidi ya chuki za wanazi wa Barca
 
Shangaa hata wewe!!

Kama vile usiku wa kabla ya mechi wamelala na akina Jasmine Webb wa brazzers brazzers.
Weeee!!! Uwiii matusi hayo sasa!! Tuwasamehe ndo soka lilivyo kupoteza ni fasta siku hazilingani!!
 
Back
Top Bottom