Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Tatizo kubwa la Juventus ni ujio wa Ronaldo, Wachezaji wengi wa mbele wamekua wakicheza chini ya kiwango toka atue Ronaldo, Mana mfumo mpya unawalazimu kumtumikia Ronaldo na wanakua hawapo huru kabisa. Masikini Dybala na Costa wamekua wakicheza kwenye wakati mgumu sana.
Niliwahi kuzungumza nikaishia kutolewa povu humu. Kama Ronaldo hatoisaidia Juventus bali ataibovua. Usajili wake haukuhitajika kabisa kwenye timu. Pesa ilikua itumike kuimarisha midfield mana wazee kina Khadira na Pijanic wameshachoka. Ila wakaishia kuingizwa mkenge kwa mihemko yao.
Hakika wameingizwa mkenge..!
 
Tatizo kubwa la Juventus ni ujio wa Ronaldo, Wachezaji wengi wa mbele wamekua wakicheza chini ya kiwango toka atue Ronaldo, Mana mfumo mpya unawalazimu kumtumikia Ronaldo na wanakua hawapo huru kabisa. Masikini Dybala na Costa wamekua wakicheza kwenye wakati mgumu sana.
Niliwahi kuzungumza nikaishia kutolewa povu humu. Kama Ronaldo hatoisaidia Juventus bali ataibovua. Usajili wake haukuhitajika kabisa kwenye timu. Pesa ilikua itumike kuimarisha midfield mana wazee kina Khadira na Pijanic wameshachoka. Ila wakaishia kuingizwa mkenge kwa mihemko yao.
Umuhimu wake leo umeonekana.

Klabu Bingwa inahitaji watu wenye uzoefu na mikiki mikiki kama CRISTIANO RONALDO
 
Penaldo mkuu
1552431795703.png
 
Mkuu upo?? Naona leo Juve imefundishwa mpira wa ushindani sio yale mabonanza mliyozoea kucheza huko Italia sijui cagliari na chievo!! Poleni sana jaribuni tena bahati mwakani maana Huko Turin tegemea Simeone kupaki basi mwanzo mwisho.
Tumeona mkuu kapaki basi mwanzo mwisho na alichokitaka amekipata pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu tumeona leo Ronaldo hana msaada wowote katika timu
Tatizo kubwa la Juventus ni ujio wa Ronaldo, Wachezaji wengi wa mbele wamekua wakicheza chini ya kiwango toka atue Ronaldo, Mana mfumo mpya unawalazimu kumtumikia Ronaldo na wanakua hawapo huru kabisa. Masikini Dybala na Costa wamekua wakicheza kwenye wakati mgumu sana.
Niliwahi kuzungumza nikaishia kutolewa povu humu. Kama Ronaldo hatoisaidia Juventus bali ataibovua. Usajili wake haukuhitajika kabisa kwenye timu. Pesa ilikua itumike kuimarisha midfield mana wazee kina Khadira na Pijanic wameshachoka. Ila wakaishia kuingizwa mkenge kwa mihemko yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo kubwa la Juventus ni ujio wa Ronaldo, Wachezaji wengi wa mbele wamekua wakicheza chini ya kiwango toka atue Ronaldo, Mana mfumo mpya unawalazimu kumtumikia Ronaldo na wanakua hawapo huru kabisa. Masikini Dybala na Costa wamekua wakicheza kwenye wakati mgumu sana.
Niliwahi kuzungumza nikaishia kutolewa povu humu. Kama Ronaldo hatoisaidia Juventus bali ataibovua. Usajili wake haukuhitajika kabisa kwenye timu. Pesa ilikua itumike kuimarisha midfield mana wazee kina Khadira na Pijanic wameshachoka. Ila wakaishia kuingizwa mkenge kwa mihemko yao.
Rudia tena kuongea
 
Juve na man u lazima comeback mkuu umetishaa


Yaani watu hawaamin kabisaa
Naona umeiwekea Mdhamana Athletico ila nakupa pole maana atatoroka na jela utaingia wewe... Athletico ni wahuni fulani usiwaamini shauri yako ni kama Westhama tu wale.... Juve imefunzwaje Mpira wakati game waliitawala yote Hadi Griezzman aligeuka beki mkuu

Juve na ManU Lazima zitacomeback tu wala usikhofu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom