Tatizo kubwa la Juventus ni ujio wa Ronaldo, Wachezaji wengi wa mbele wamekua wakicheza chini ya kiwango toka atue Ronaldo, Mana mfumo mpya unawalazimu kumtumikia Ronaldo na wanakua hawapo huru kabisa. Masikini Dybala na Costa wamekua wakicheza kwenye wakati mgumu sana.
Niliwahi kuzungumza nikaishia kutolewa povu humu. Kama Ronaldo hatoisaidia Juventus bali ataibovua. Usajili wake haukuhitajika kabisa kwenye timu. Pesa ilikua itumike kuimarisha midfield mana wazee kina Khadira na Pijanic wameshachoka. Ila wakaishia kuingizwa mkenge kwa mihemko yao.