Juventus vs Real Madrid; Pirlo vs Toni Kroos



hii ni Battle ya Former AC MILAN playes Carlo Ancelotti na Andrea Pirlo...

forza Milan
 
Last edited by a moderator:
Pirlo ni chata lingine kabisaaaaaa....... TUPACified anajifariji tu kwamba ni mzee kwamba damu inayochemka Kroos itamkimbiza.
Nimemfuatilia Pirlo sana misimu hii miwili ya mwisho, na nimemfuatilia Toni sana toka ame-join Madrid. Wengi wanasikia tu au wanajua alichoweza kufanya Pirlo waliyemjua Euro '12, hawajui anachoweza na asichoweza kufanya sasa.

Ana uwezo wa kunifanya nimeze maneno yangu tho, but until then, i'm Kroosing.
 
Last edited by a moderator:


hah hah ndugu yangu mi sitaki kukumiss hapa JF...so siwezi kutia neno lolote hapo
 
Last edited by a moderator:
hii ni Battle ya Former AC MILAN playes Carlo Ancelotti na Andrea Pirlo...

forza Milan
Hahaha nakubali unavyotumia nafasi kutukumbusha kuna club inaitwa Milan. Forza Milan, wapinzani wetu wa ukweli Ulaya.
 
Pirlo vs Iniesta? Kweli we ni mpenzi wa berca, ungekuwa mpenzi wa Barca ningeshangaa.

tutakachoshuhudia leo Ancelotti atatumia ukocha wake, ni kweli rodriques ni hodari atamtumia james na kroos kucheza na pirlo na sio kroos kucheza na pirlo peke yake, pia wasijisahau pepe ameshuka kiwango na teves saivi bado yuko juu, mechi itakua ngumu. kocha akifanya uzembe mnaweza kufanywa kama alivofanywa bayern kule nyumbani kwa fc porto.
 

Safiii, dakika chache zijazo hatutaandikia mate tena.......
 


ni lini Abdalah Pepe aliwahi kuwa na Kiwango?
 
Hahaha, Pirlo na Kroos hawatakabana moja kwa moja, wanazichezesha timu zao wakitokea deep, nachozungumzia hapa ni nani ataichezesha timu yake vyema.

FYI, Pepe ndio Real Madrid's best defender for the past 2 years, Ramos stole the show kwa magoli tu. Pia Tevez akifanikiwa kupita kwa Pepe, atakuwa Varaneted kabla hajaleta madhara.
 
Anayesema juve anashinda either hajui mpira au hafuatilii juventus vizuri


wewe ndo hujui na hufuatilii mpira...shost zako hao uharo unawachuruzika huko tangu wametimba Torino
 
tangu lini kroos akalingana na ''munsinyori'' pirlo?.....aiseee...pirlo ni level nyingine
 
Kwendraaa!! Uache uchonganishi ,tushakujua wewe ni bingwa mengine tuachie......

kisa unateswa na mwanitesa utd na ww ndo unataka unitese diah!??

kiburi na jeuri unatoa wapi mamitoh... Liva huyo anataka top 4, aseno huyo anataka #2 na anakutana na ww..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…