MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Always you don't talk about football, ushabiki wako uko kisimba na Yanga zaidi, uliwahi kuandika humu uipendi Barca unampanda Messi. Wewe hukuwa na ubishi na mimi, rejea kwenye comments zangu huko nyuma nimemwelezea Pirlo.
Ha ha ha ha ha hivi ronaldo yule ndio bora zaidi ya Messi ???
lile goli hata drogba huyu anashinda ant-messi njoo uangalie nou camp Messi anavyocheza ni best hata timu yake itakapofungwa
Leo namuangalia Messi akiwa anachezewa rafu bila kulalamika