Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,352
- 2,160
As long as you know. Huu wimbo haipiti siku bila kuusikiliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu wimbo huuIN CASE YOU DONT KNOW
In case you don't knowAs long as you know. Huu wimbo haipiti siku bila kuusikiliza
Huyo mbosso umeanza kumfananisha na jux mara baada ya kwenda wasafi.Jux alichomzidi mbosso ni experience kwenye muziki, RnB sound iliyobaki kwenye mainstream, kujibrand vizuri tu na fashion sense inayomfanya kuwa relevant uswazi hadi ushuani. ila kwenye uimbaji, utunzi na live performance. Hamkaribii mbosso hata kidogo
Sema mbosso kakaa kipwani pwani, hajawahi kuwa na mahusiano ya kumfanya atrend kama Jux lakini pia nguvu ya WCB nyuma yake inamfanya awe kwenye kimvuli cha Diamond na Zuchu "WASAFI" tofauti na jux kama independent artist. Ndio maana unamchukulia poa ila mbosso ni moja ya vipaji halisi & "drama free" vilivyobaki kwenye bongo flava
Hapana hii haijashiba maneno ninayoyataka.In case you don't know
JUUHapana hii haijashiba maneno ninayoyataka.
Ni As long as you know, Nisiulizwe, nitasubiri, uzuri wako na sisikii.
Naam jux akiumizwa ni mtu sana akiingia studioJUU
Huo ndio wimbo nilikua nausikiliza mara mingi nikiwa namna gani
Sio Singer tu pia ni Songwriter mzuriJux ni underrated, nakubaliana na hili. He is one the best singers
Hio mboni inafahamika sana tuSio Singer tu pia ni Songwriter mzuri
Mbosso hana uwezo wa kumfikia jux kivyovyote, iwe kuandika au kuimba Labda Fujo za jukwaani zinazofanya aondoke na kijiji cha wahuni na kuonekana ana fan base kubwa.Kuwa na identity kwenye muziki sio mbaya maana kila mtu anapita chocho yake.. Hata Jux RnB ndio iliomtoa na alivyofanya collabo na G nako na Diamond kupitia amapiano ndio akapata mega hit songs kibongobongo kwa wakati huu.
Pia, Mbosso kwenye Yamoto ndio alikuwa wa pili kwa ukubwa baada ya Aslay ambaye alilibeba kundi. Hivyo, mbosso kufanya vizuri kwa back up ya wasafi sio mbaya na haiondoi ukubwa wake maana hata Aslay ukitoa ile peak yake, ni miaka mingi bado anapambana kurudi katika kilele lakini bado hajaweza
Mind you, Aslay ana back up ya seven Mosha na Rock star, mtu aliyeanza kuwasimamia Jide na TID na hata kumpeleka Kiba international.. Kwa hiyo mbosso kufanya vizuri ndani ya WCB usiichukulie kawaida maana hata WCB yenyewe inamtegemea kwenye utunzi na classic live performances
Nikirudi pale pale, huwezi kumlinganisha mbosso na Jux kwenye kipaji cha muziki. Japo wapo tofauti kwenye genre ila ukiwaweka stage moja, Jux hawezi muingia mbosso hata kidogo maana mbosso can sing
Sisikii ilimpa tuzo ya killi ya mtunzi bora, japo mabeste Anadai aliiandika yeye ile nyimboHio mboni inafahamika sana tu
Kwa hio aliimba yeye?Sisikii ilimpa tuzo ya killi ya mtunzi bora, japo mabeste Anadai aliiandika yeye ile nyimbo
Kwa hio aliimba yeye?
Yes yupo vizuri sanaSio Singer tu pia ni Songwriter mzuri