Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania bana...ndio maana kazi wanachukua wageni.kazi gani kwanza,,,kwa sababu mm sisomei sociology
Watanzania bana...ndio maana kazi wanachukua wageni.
Umeambiwa tuma cv...... au cv yako haina ulichosomea?????
Halafu dharau za sociology wanafunzi nyi muache....maisha hayana kusomea sociology...ni kusoma kupambana na kutoka
Wewe tuma cv.....kwa hiyo nitume cv ya 4m 4 na form 6? hapo nitapata kaz gani sasa?
eagle wings collegeNimegundua kitu kuhusu sababu ya viwango vya elimu ya Tanzania kuendelea kushuka.
Hicho chuo kipo jiji gani?
ShikamooNimegundua wewe unatudanganya
ShikamooNimegundua wewe unatudanganya
Nilichogundua
Wasichana 11
Tufanye kwa kiwango kidogo umetumia gharama ya gest, chakula, outing kwa kiwango cha chini kwa kila mmoja 500000
Kwa wote 11 umeshatumia 5500000
Ungekuwa na kiwanja bunju chenye msingi