Juzi nimemuona hospitali akiingia CTC

Aliemaliza kusoma story nxima niko pale kwa mangi aje nimuagizie kvant kabisa
 
Usipgopeee anaweza kua anamchukulia mwenzake
 
Mbona jibu ushaliweka mwenyewe...

CTC = Care and Treatment Clinic
Pamoja na hayo hii stori ni ya kutunga na mleta uzi ni muongo.

Eti aligeuka mmoja akasema "...tunawahi kuongeza dawa za ukimwi pale CTC...".
NI ngumu sana mtu kutamka hivyo, kwanza wanaficha mno ni ngumu kuwaambia hata ndugu zao.
 
Pamoja na hayo hii stori ni ya kutunga na mleta uzi ni muongo.

Eti aligeuka mmoja akasema "...tunawahi kuongeza dawa za ukimwi pale CTC...".
NI ngumu sana mtu kutamka hivyo, kwanza wanaficha mno ni ngumu kuwaambia hata ndugu zao.

Hahaha

Mkuu mara nyingi huwa tunawajibu hawa raia kwa kadiri ya maswali yao...
 
Ungelamba asali
 
Mleta mada ni pumbavu na takataka. Hadithi ya kutunga halafu aliekwambia ukimwi lazma ufe nani? Halafu hebu weka majibu yako ya vipimo hapa tuone kama huna.
 
Usipgopeee anaweza kua anamchukulia mwenzake
Labda ni hvyo
Pamoja na hayo hii stori ni ya kutunga na mleta uzi ni muongo.

Eti aligeuka mmoja akasema "...tunawahi kuongeza dawa za ukimwi pale CTC...".
NI ngumu sana mtu kutamka hivyo, kwanza wanaficha mno ni ngumu kuwaambia hata ndugu zao.
Wapo watu washavurugwa na maisha hawajali chochote nadhani ujawai kutana nao. Ndio type ya huu mshangazi.
Mleta mada ni pumbavu na takataka. Hadithi ya kutunga halafu aliekwambia ukimwi lazma ufe nani? Halafu hebu weka majibu yako ya vipimo hapa tuone kama huna.
Watu wa aina yako hamkosekanagi kwenye kila bandiko tunga na wewe siwez poteza mda wangu kutunga
 
Kuna wengine huwa wanachukulia ndugu zao dawa.
Lakini Kuna pisi Kali nyingi zilizaliwa 95-2005 Zina moto mkuu.
Ni wale wamezaliwa wakaanza kutumia dawa.
Wana afya nzuri sana. Ukiwaona unameza mate tu.
Be careful. Pima kabla hujala mzigo
 
Kuna wengine huwa wanachukulia ndugu zao dawa.
Lakini Kuna pisi Kali nyingi zilizaliwa 95-2005 Zina moto mkuu.
Ni wale wamezaliwa wakaanza kutumia dawa.
Wana afya nzuri sana. Ukiwaona unameza mate tu.
Be careful. Pima kabla hujala mzigo
Na yupo vizuri, kajaaliwa shepu ni sura tu kanyimwa
 
Mkuu achana kabisa na huyo Dada Mungu anakupenda sana. Katika ulimwengu wa roho malaika wa Mungu alikua anakusaidia sana. usilazimishe broo achana nae kabisa.
Kwa wale watu wa rohoni wanajua ni kwanini Mungu amekupitisha kwenye matukio hayo yote ili ujiridhishe kwamba something bad ilikua inaenda kutokea. Wewe unaweza ona hayo matukio ni kawaida kila mkipanga kuonana kitu kinatokea hamuonani sio ya kawaida katika ulimwengu wa roho. Broo Mungu anakupenda
 
Shukrani kwa darasa mkuu, kwa majibu hayo inawezekana hii pisi imeungua
Hukusoma wewe! pamoja na kigari chako mkweche cha mawazo hiko, kwani akiwa na ukimwi ndo na wewe utapata ukimwi???.......muwe mnasoma hata vijarida basi!

Km akiwa kwa matibabu hawezi kuambukiza mtu ! by de way kuna dawa za kukukinga weye!! km yeye anao na hajaanza dawa!! ni wazi kabisaaa hukusoma hata st kayumba!

Kufa mtu yeyote unaweza kufa mapema kuliko yeye kwa ajali ya kigari chako iko, au Malaria, Meningitis, Pressure nk, hata kuliko huyo mwenye HIV!.........

tena waweza kuta mwenye hiv akawa na nyota kali ya mafanikio kuliko unavo dhania!...usisahau kuwa hata ukioa ambaye hana Hiv! baadaye sana ndoani aweza toa uroda kwa mwenye HIV!

hence forth akauleta kwako! bila weye kujua, na siku ya siku ukapima ukagundurika unao!! je hamjaonana na huyo uliye mkimbia hapo ctc?? bora huyo umejua kuna wengine hutajua kwakuwa na wao hawajui!

Nenda kamuombe samahani! huyo dada halafu umpende!! na ule uroda unya kabisa wewe!..unamtangaza humu ili tumfanyeje sasa wkt weye ndo mburula hujui kupenda!

Hata km Akienda CTC hiyo tu, haina maaana kuwa kaathirika yeye km yeye! kwa sababu aweza enda kumchukulia Jirani yake au ndg yake nk! dawa hizo, isitoshe dadake au mtegemezi wake anawefanya kazi kwenye hiko kitengo!

so akaenda kumtembelea! au akamuita pale ofisini kwake kwa dharula! siyo kwamba mtu ukizurula ctc eti una ukimwi, wanavijiji mna shida sana!!....

kumbuka unaweza ukamkwepa huyo demu mwenye ukimwi, lkn ukampata mwenye Kisukari!

au mwenye fibroids, Myoma, Tasa sugu nk! lkn vipimo vinaonyesha hana ukimwi ila ana magonjwa hayo! uta-mbato weeee! hkn ntonto!! lkn yule mwenye ukimwi akazaa sana tu!! na matoto yake hayo yakakusaidia mbele ya safari!

kaombe msamaha sirafa weye!
 
Distant love kills but congratulation hujawa wale wakware wenzangu na mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…