Juzi nimemuona hospitali akiingia CTC

The best way Ni kumpima achana na hayo mambo ya kugues gues
 
Bila shaka ushapatiwa muongozo
 
Pamoja na hayo hii stori ni ya kutunga na mleta uzi ni muongo.

Eti aligeuka mmoja akasema "...tunawahi kuongeza dawa za ukimwi pale CTC...".
NI ngumu sana mtu kutamka hivyo, kwanza wanaficha mno ni ngumu kuwaambia hata ndugu zao.
huo mstari ndiyo umenifanya nione huu uzi ni CHAI
 
Umenusurika panga la shaba

Kama unao uje nikupe algorithm ya kukutibu
Sina mkuu
Hata Kama ulimla c lazima uambukizwe
Sijamla na sidhan kama itawezekana
Muulize mhusika UKIMWI sio laana.... mkalishe muulize..
Leo nimewasiliana nae ili tukutane lakini mambo ni yale yale naona kama ananikwepa. Anadai amepata ugeni hawezi kutoka.
Bila shaka ushapatiwa muongozo
Hakika mkuu nimepata
 
Mbona una makasiriko sana mkuu? Uwezi ukawa unajua kila kitu chini ya jua, lazima uiruhusu akili yako kujifunza kitu kwa kukubali kuwa haujui.
 
Kama unamashaka nae pimeni VVU kabla ya Mambo mengine
Hakuna tena mambo mengine nampotezea jumla kwenye suala la mapenzi.
ninamuacha mkuu nashukuru Mungu kuna mambo huwa sifosi situmii nguvu kubwa kuyafanikisha. Nadhani hii ndio imenifikisha hapa nilipo.
 
Mbona una makasiriko sana mkuu? Uwezi ukawa unajua kila kitu chini ya jua, lazima uiruhusu akili yako kujifunza kitu kwa kukubali kuwa haujui.
Ni kweli nina makasiriko Mkuu!! kwa sababu hukuheshimu hisia za huyo Dada km alivo kupenda! wajameni! sioni sababu kwa nini usi muendee kwa upole na umuelimishe au uhakikishe! ulivo dhania!

siyo umuhukumu haraka ivo sababu tu umemuona akikatiza ctc! ...ctc km nilivo sema ni centre ya watu wote! wazima na wagonjwa!.......hta mwenye HIV anapenda! pia! ni mtu!
 
Hakuna tena mambo mengine nampotezea jumla kwenye suala la mapenzi.

ninamuacha mkuu nashukuru Mungu kuna mambo huwa sifosi situmii nguvu kubwa kuyafanikisha. Nadhani hii ndio imenifikisha hapa nilipo.
Unakua sio wewe kwa uwezo wako ni roho wa Mungu tu anakulinda.
 
chukua ushahuri huu usiumize kichwa nenda naye mkapime
 
Wewe utakuwa unao tu acha kuzunguka mbuyu [emoji23][emoji1]fanya mazoezi ya kutosha hizo story zikutoke kichwani
Acha kuzunguka wewe utakuwa umeshakula huo mzigo unaohudhuria clinic ya kuchukua dawa za ARV
 
Sijamkosea chochote ni vyema nilimuona CTC ikawa hivi sio kwamba nnamuhukumu.
Unakua sio wewe kwa uwezo wako ni roho wa Mungu tu anakulinda.
Hakika mkuu
chukua ushahuri huu usiumize kichwa nenda naye mkapime
Sawa mkuu ikiwezekana hivyo nitafanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…