Tpdf halipo chini ya wizara ya mambo ya ndani!Ushauri mzuri lakini si raisi hivyo wizara ya mambo ya ndani ina bajeti ndogo mno pili hapa kwetu masuala ya ugaidi na uhalifu si mengi na kama yapo syo ya ukubwa huo hzo iron dome za israel zimewekwa kwa shinikizo maalumu kwa magumu waliyopitia mfano mfumo mzima wa ulinzi na usalama wa USA uliimarika mara 10 zaid baada ya tukio la sept 11 hvyo kwa hapa kwetu bado ni vigumu kufika huko kwa sasa ila kitafanyika ambacho kina umuhimu kwa wakati na mazingira maalumu pekee haya maoni tu wana jamii int
Kenya hii ambayo wanapigwa ovyo na alshabab kuwa serious Kenya Hamna kituMuondoe Kenya hatumuwezi maisha
Kuna ile movie ya" hunter killer"wana wanapiga vita vya baharini si kitoto,tuwekeze kwenye technology ,ili tufike mbali.Nimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!
Hiyo ni moja, mbili..
Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.
Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..
Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?
Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!
Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!
Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!
Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!
Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!
Zindukeni dunia imebadilika hii!!
Naomba kuwasilisha!
Hujaelewa nilicho andika.
Huu ni uzi murua kwenye forum hii mwaka 2021Nimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!
Hiyo ni moja, mbili..
Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.
Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..
Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?
Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!
Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!
Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!
Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!
Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!
Zindukeni dunia imebadilika hii!!
Naomba kuwasilisha!
Haukusikia kifaru kiligoma kulipua huko nangaya(kilikua kibovu)[emoji1]Ushaambiwa maonyesho bado unataka sijui nini
Acha mikwara kwa raia jombaWe mpumbavu kweli wew ...
Hyo israel na parestina ni kama ilala na Temeke.... Town city center tuu!!
Uwez linganisha kwa ukubwa wa nch!!!
Halafu hizo rocket hazipigi zaid ya mail 50 .. . ni jiran mnoo!!!!
Kama uamin!!! Njoo chombon field tukuonyeshe vitu ambavo ujawah kuvifikilia!! M*MAE
Unazungumzia movie bro....achan na hz mambMleta mada hujui usemacho chulia watu wamekuteka nyara wamekunyanganya silaha utapigana kwa teknolojia ipi zaidi ya kutumia ngumi mateke karate na kichwa chako?
Chukulia watu wanaleta vurugu eneo kama kariakoo ,gari haiwezi ingia je utatumia bunduki kuwapiga risasi wote kwenye vichochoro na mitaa iliyobanana ambayo ina vichochoro vingi?
Vita za ardhini mbali na kutumia silaha zinatuimia ngumi ,mateke na vichwa na karate.Wewe unawaza vita tu ya teknolojia utakuja tekwa mjini ulambwe makofi ubaki unalia tu kama bwege usiyeweza hata kujitetea kwa vichwa ,ngumi na mateke
Kwa Hy tiz la kuvunja tofali ni kwa ajili ya vibakUjinga mzigo
Kwa hiyo mfano ukiwa mwanajeshi uko doria mtaani akija akija kibaka kwa nyuma yako akakukaba utabonyeza computer? kuumchomoa kwenye shingo yako kiteknolojia mjinga wewe?
Ila na technology wapo vzr kitot Cha ccmvitoto vya CHADEMA kwa kudanganyana hamjambo .Hapa ni jeshi la marekani hao mnaoita wenye teknolojia wakifanya mazoezi ya kijeshi
hivi wewe Kwa akili zako unavyosikia Hao Alshabab wanajiita migambo unawachukulia poa?Kenya hii ambayo wanapigwa ovyo na alshabab kuwa serious Kenya Hamna kitu
Fanya tafiti man vile vibwagizo hata Korea marekani wanavunja tofali ulitaka kwenye events kama waende na laptop Dunia ya Leo Bado hakuna mbadala wa kutumia nguvu hata hao wamareni Bado miguvu jeshini ipoNimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!
Hiyo ni moja, mbili..
Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.
Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..
Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?
Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!
Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!
Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!
Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!
Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!
Zindukeni dunia imebadilika hii!!
Naomba kuwasilisha!
Vita si kupigana na Askari n tu ni pamoja na kupigana na vibaka kama wewe pia Askari mwili wake wote ni silaha aweza tumia kichwa kukutwanga au teke au ngumi au kofi au au risasi ya pistol au bunduki au rungu au akakutandika hiyo vita ni ya Ana Kwa AnaKwa Hy tiz la kuvunja tofali ni kwa ajili ya vibak
Kupigana na kibaka ni Vita?,hujui ma'an ya Vita..Vita si kupigana na Askari n tu ni pamoja na kupigana na vibaka kama wewe pia Askari mwili wake wote ni silaha aweza tumia kichwa kukutwanga au teke au ngumi au kofi au au risasi ya pistol au bunduki au rungu au akakutandika hiyo vita ni ya Ana Kwa Ana
Ukimtupia tofali halimdhuru linavunjika mwilini tu halafu anakuvaa mbona utamkoma