JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

Tpdf halipo chini ya wizara ya mambo ya ndani!

Ni wizara ya ulinzi.
 
Ushauri mzuri ila unahitaji gharama kubwa kutekeleza.....anyway kidogo kidogo tutapiga hatua.
 
Kuna maonesho na kazi halisi angalia hata korea nao huwa wanavunja sana matofali kwa kichwa au hata kwa ulimi mbele ya Kim,,, hoja kuu hapo ni Tpdf wajipange zaidi katika silaha za teknolojia kubwa ili kuendana na modern world,,,
 
Kuna njia kuu tatu za kutumia kwenye medani ya Vita Ila nasikitika Sana tpdf bado wanambinu ile ya kizamani ya nchi kavu .
Anga na maji ndio inayotumika kwa Sasa mfano ukanda wote wa
baharini tpdh hawana hata destroyer moja anga ndio kabisaaaa...check wazee wa kazi hawa
 
Kuna ile movie ya" hunter killer"wana wanapiga vita vya baharini si kitoto,tuwekeze kwenye technology ,ili tufike mbali.
 
Huu ni uzi murua kwenye forum hii mwaka 2021
 
Ushaambiwa maonyesho bado unataka sijui nini
Haukusikia kifaru kiligoma kulipua huko nangaya(kilikua kibovu)[emoji1]

Tuwe serious kdg na nchi yetu afu tambua hz changamot unazozisikia ktk secta nyingn cjui,afya,elimu na ktk ulinzi ndio hz hz ukitak amin wait siku tutapoingia ktk serious problem ndio utaamn(siombei)
 
Acha mikwara kwa raia jomba
 
Unazungumzia movie bro....achan na hz mamb
 
Ujinga mzigo

Kwa hiyo mfano ukiwa mwanajeshi uko doria mtaani akija akija kibaka kwa nyuma yako akakukaba utabonyeza computer? kuumchomoa kwenye shingo yako kiteknolojia mjinga wewe?
Kwa Hy tiz la kuvunja tofali ni kwa ajili ya vibak
 
iddi amin alikimbia alipoona vumbi la jeshi letu likimfuata,
 
Kenya hii ambayo wanapigwa ovyo na alshabab kuwa serious Kenya Hamna kitu
hivi wewe Kwa akili zako unavyosikia Hao Alshabab wanajiita migambo unawachukulia poa?
Hakuna vita ngumu kama kupambana na magaidi,kawaulize marekani kilichowakuta Hapo Somalia Kwenye operation zao Hao migambo ni Soo maana muda mwingi hujichanganya na raia wa kawaida na kujifanya innocent muda wa tukio wanachomoa paipu wanaatack wanafyeka na kurudi kitaa wakijifanya kushangaa tukio na wao Hivyo usiwabeze jeshi la Kenya Aisee Wana KAZI ngumu Sana Sana kuwasambaratisha magaidi!
 
Fanya tafiti man vile vibwagizo hata Korea marekani wanavunja tofali ulitaka kwenye events kama waende na laptop Dunia ya Leo Bado hakuna mbadala wa kutumia nguvu hata hao wamareni Bado miguvu jeshini ipo
 
Kwa Hy tiz la kuvunja tofali ni kwa ajili ya vibak
Vita si kupigana na Askari n tu ni pamoja na kupigana na vibaka kama wewe pia Askari mwili wake wote ni silaha aweza tumia kichwa kukutwanga au teke au ngumi au kofi au au risasi ya pistol au bunduki au rungu au akakutandika hiyo vita ni ya Ana Kwa Ana

Ukimtupia tofali halimdhuru linavunjika mwilini tu halafu anakuvaa mbona utamkoma
 
Kupigana na kibaka ni Vita?,hujui ma'an ya Vita..
Afu unaposem kibaka Kam mim,unakuwa unakosea,huu ni mjadala kwnn unaonesh kumind na kuchukulia vitu parsonal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…