Ernst kipire
JF-Expert Member
- Dec 16, 2019
- 286
- 292
Movie? Oya kuw serious kdg bsKuna ile movie ya" hunter killer"wana wanapiga vita vya baharini si kitoto,tuwekeze kwenye technology ,ili tufike mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Movie? Oya kuw serious kdg bsKuna ile movie ya" hunter killer"wana wanapiga vita vya baharini si kitoto,tuwekeze kwenye technology ,ili tufike mbali.
Kwa taarifa yako ukiifanya nchi kua yenye nguvu za kisasa kijeshi na siraha za kisasa ambazo utake usitake utamhusisha mzungu,elewa huo utakua ndiyo mwanzo wa nchi kuvamiwa,mzungu siyo rafiki, akikuona tu unajiimalisha kijeshi anakuja kwa mgongo wa jirani yako yoyote na anaanza kusema una siraha za maangamizi,rejea Iraq...anakuuzia siraha anachukua pesa,anakuchokoza ili uanze kutumia hizo siraha akuuzie tena zenye uwezo tofauti,maana anakuona una kiherehere, acha waKurya wavunje matofari ili tuponeNimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!
Hiyo ni moja, mbili..
Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.
Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..
Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?
Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!
Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!
Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!
Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!
Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!
Zindukeni dunia imebadilika hii!!
Naomba kuwasilisha!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aiseeeeKwa taarifa yako ukiifanya nchi kua yenye nguvu za kisasa kijeshi na siraha za kisasa ambazo utake usitake utamhusisha mzungu,elewa huo utakua ndiyo mwanzo wa nchi kuvamiwa,mzungu siyo rafiki, akikuona tu unajiimalisha kijeshi anakuja kwa mgongo wa jirani yako yoyote na anaanza kusema una siraha za maangamizi,rejea Iraq...anakuuzia siraha anachukua pesa,anakuchokoza ili uanze kutumia hizo siraha akuuzie tena zenye uwezo tofauti,maana anakuona una kiherehere, acha waKurya wavunje matofari ili tupone
[emoji1787]Nimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!
Hiyo ni moja, mbili..
Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.
Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..
Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?
Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!
Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!
Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!
Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!
Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!
Zindukeni dunia imebadilika hii!!
Naomba kuwasilisha!